
CRDB YABORESHA MFUMO WA KIDIGITALI KUENDA NA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA
::::::::::::: Benki ya CRDB imefanya maboresho makubwa ya mfumo wake wa kidigitali ili kuimarisha utoaji wa huduma na kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia ya kimataifa. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela, amesema maboresho hayo yamehusisha kubadilisha mfumo wa zamani na kuweka mfumo mpya wenye uwezo wa kutoa huduma kwa…