Bado Watatu – 10 | Mwanaspoti

NIKAGEUKA na kumtazama mtu huyo aliyekuwa nyuma yangu na kumuuliza. “Ndiye yeye….amepatwa na nini sijui…?” “Inaonekana amejinyonga au amenyongwa.” “Ndiyo maana tangu jana sijamuona. Kumbe…!” Nikageuza uso tena na kuitazama ile maiti iliyokuwa inaning’inia. “Kama si wewe nisingetambua kama yeye ndiye Frank. Huyu jamaa anaishi na nani humu ndani?” “Anaishi peke yake. Aliwahi kuniambia kuwa…

Read More

Wananchi wa Ubungo wameridhika, wapo tayari kuichagua CCM

………………. Na: Mwandishi Wetu, Ubungo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda amesema wananchi wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam wamemuhakikishia kuwa Oktoba 29, 2025, watachagua wagombea wote watokanao na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani wameridhika na utekelezaji wa Ilani Jimboni hapo. Chatanda ameyasema hayo Septemba 29, 2025 , katika…

Read More

Kufadhili Uhifadhi wa Bioanuwai barani Afrika kwa Usaidizi wa Wafadhili Unaopungua – Masuala ya Ulimwenguni

Luther Bois Anukur, Mkurugenzi wa Kanda wa IUCN ESARO, alihojiwa katika Makao Makuu ya Kanda ya IUCN jijini Nairobi, Kenya. Credit: Isaiah Esipisu/IP na Isaya Esipisu (nairobi) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service NAIROBI, Machi 3 (IPS) – Wakati jumuiya ya kimataifa ikiadhimisha Siku ya Wanyamapori Duniani 2026 leo (Machi 3), lengo la mwaka…

Read More

Mkenya anukia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MABOSI wa Tanzania Prisons wanaendelea kukisuka kimyakimya kikosi hicho kwa ajili ya kuleta ushindani msimu ujao na kwa sasa inafanya mazungumzo na aliyekuwa kiungo mkabaji wa KCB ya Kenya, Mkenya Michael Mutinda. Mutinda aliyezaliwa Desemba 27, 1995, ni miongoni mwa mapendekezo ya kocha mpya wa timu hiyo Mkenya mwenzake, Zedekiah ‘Zico’ Otieno, aliyetambulishwa kukiongoza kikosi…

Read More

MWENGE WA UHURU KUPITIA MIRADI YA BILIONI 1.6 CHATO

Vyumba viwili vya madarasa shule ya msingi Nyabilezi Shule ya Sekondari Kitela ikiwa ni miongoni mwa miradi itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru Nyumba ya kulala wageni(The Grace Hotel) iliyopo kata ya Bwanga ambayo miongoni mwa miradi itakayowekewa jiwe la msingi na mwenge wa uhuru. ……….. JUMLA ya miradi yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.6 inatarajiwa…

Read More

Cornel amrithi Almas Kasongo TPLB

ALIYEKUWA mkurugenzi wa Fedha wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cornel Barnabas, ameteuliwa kuwa ofisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB). Tangu Juni, mwaka jana, nafasi hiyo ilikuwa ikikaimiwa na Ibrahim Mwayela baada ya rais wa TFF, Wallace Karia kumsimamisha aliyekuwa akihudumu katika nafasi hiyo, Almas Kasongo, kufuatia mgogoro ulioibuka baada…

Read More