WAWILI MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI NGURUDOTO.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili Kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiwa na watuhumiwa hao mei 20, 2024 huko katika Kijiji cha Ngurudoto Kata ya Maji ya chai wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha mei 25,2024. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi…

Read More

Taharuki Kariakoo, moto ukiteketeza duka moja kati ya 100

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wa Kariakoo leo wamekumbwa na taharuki baada ya moto kuzuka katika jengo moja lililopo katika makutano ya mitaa ya Aggrey na Sikukuu na kuharibu chumba kimoja cha duka kati ya vyumba 100 vilivyopo katika jengo hilo.Tukio hilo limetokea leo Agosti 31, 2025 saa 5:30 asubuhi na kuwashtua wafanyabiashara na wateja waliokuwa…

Read More

Aucho ampa mzuka Gego Singida Black Stars

KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Habib ‘Gego’ amesema ndoto imetimia baada ya uongozi kuinasa saini ya Khalid Aucho, mchezaji ambaye amekuwa akimfuatilia na kujifunza vitu kutoka kwake sasa atacheza naye timu moja. Mwanaspoti liliwahi kufanya mahojiano na kiungo huyo ambaye alidai kumkubali Aucho kipindi anacheza Yanga , ila sasa ni rasmi watacheza pamoja msimu…

Read More

Kupotea watoto kwaisukuma E.A.G.T Temeke kufanya maombi maalumu

Na Winfrida Mtoi Kanisa la Evangelistic Assemblies of God  (E.A.G.T), Temeke linatarajia kufanya semina na maombi maalumu  kuliombea Taifa, viongozi pamoja na kuomba  ili kuondokana na tatizo la watoto kupotea. Semina hiyo inatarajiwa kufanyika Agosti 4 -11,2024, viwanja vya  Temeke Chang’ombe jijini Dar es Salaam, huku neno kuu likiwa ‘ Yote Yanawezekana kwa Mungu Wetu’….

Read More

BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 105 MKOA WA ARUSHA 

  MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha SEHEMU ya wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda (hayupo pichani) ,akizungumza  mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji…

Read More

Ishara hizi katika kucha hutabiri hali ya afya yako

Dar es Salaam. Licha ya kucha kuwa urembo asili unaoongeza uzuri kwenye miguu na vidole vya mikono kwa binadamu na wanyama, wataalamu wa afya wanataja kuwa zina taarifa muhimu kuhusu hali ya afya ya binadamu. Ni muhimu kuzingatia mabadiliko ya rangi kwenye kucha zako, na vipengele vingine vinavyotumika kama tahadhari kwa magonjwa mengi. Mabadiliko kwenye…

Read More

Malijendi wakoshwa na kiwango CHAN

MASHINDANO ya msimu huu ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024) yametajwa kuwa bora zaidi kiushindani na wajumbe wa masuala ya kiufundi ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF TSG) na yameonyesha maendeleo makubwa kuliko yaliyopita. Wajumbe hao, akiwemo Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ethiopia, Abraham Mebratu na mchezaji wa…

Read More

Ouma akalia kuti kavu Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za awali za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya David Ouma, huku Abdihamid Moallin wa KMC akitajwa kwenda kuchukua mikoba kwa ajili ya msimu ujao. Mbali na mchakato huo wa kusaka kocha mkuu, tayari kikosi hicho kimemuongeza aliyekuwa kocha wa Fountain Gate, Ngawina Ngawina ili awe…

Read More