Nafasi ya elimu ya watu wazima zama za dijitali

Elimu haina mwisho ni methali inayobeba ujumbe kwamba kujifunza ni mchakato wa maisha yote; haijalishi mtu yupo katika hatua ipi ya maisha. Nchini Tanzania, elimu ya watu wazima si jambo jipya, bali ni urithi uliojengwa tangu Taifa likiwa changa kimaendeleo, na leo hii imekuwa nyenzo muhimu katika zama hizi za kidijitali. Hii ndiyo sababu imeifanya elimu…

Read More

Mkuu wa UN analaani mashambulio ya Urusi dhidi ya Ukraine, Mgogoro wa Gaza unaendelea, kulinda raia katika DR Kongo – Maswala ya Ulimwenguni

Katibu Mkuu António GuterresAlisema Iliashiria “kuongezeka zaidi” kwa mzozo. Mamlaka yaliripoti majeruhi zaidi ya 80 wa raia, pamoja na mfanyikazi wa kitaifa ambaye sio wa kiserikali (NGO) na mtoto wake wa miezi miwili huko Kyiv. Miji mingine iliyoathiriwa ni pamoja na Zaporizhzhia, Odesa, Chernihiv, Kharkiv, Kremenchuk, Kryvyi Rih na Kherson. Miundombinu ya nishati pia ilipigwa,…

Read More

Taifa Stars Stars v Niger Mechi ya hesabu

KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…

Read More

Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye! – Global Publishers

HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi…

Read More