Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA

Dar es Salaam. Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025. Tanzania imedondoka kwa nafasi kutoka ya 103 ambayo ilikuwepo awali hadi nafasi ya 107 kwa viwango vilivyotolewa leo na FIFA. Kufanya vibaya…

Read More

Rais Samia atoa ujumbe wa siku ya wanawake duniani

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amehimiza kuendeleza juhudi za kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki na usawa ili kuchochea maendeleo jumuishi ya Taifa. Rais Samia ametoa wito huo leo Machi 8, 2026 katika ujumbe wake kwa Taifa wa  maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, akieleza  siku hii ni muhimu kwa kutambua mchango mkubwa…

Read More

TANZANIA YATAKIWA KUWEKA VIWANGO VYA UBORA WA HUDUMA ZA RADIOLOJIA KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA

………….. Wataalamu wa huduma za mionzi tiba na uchunguzi kutoka Taasisi za dini, Hospitali ya Taifa, Kanda, Maalum pamoja na zile binafsi wametakiwa kuhakikisha wanaweka na kuzingatia viwango vya ubora wa huduma vinavyokubalika kimataifa ili kuongeza tija na ufanisi katika utoaji wa huduma hizo. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Huduma za Radiografia kutoka Wizara…

Read More

Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons

KOCHA mpya wa maafande wa TZ Prisons, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ amesema malengo makubwa aliyonayo kwa timu hiyo ni kuhakikisha timu hiyo inajinasua na janga la kushuka daraja, licha ya ushindani mkubwa uliopo msimu huu katika mechi za Ligi Kuu Bara. Nsajigwa aliyeachana na Transit Camp inayoshiriki Ligi ya Championship msimu huu, alitambulishwa rasmi kukiongoza kikosi…

Read More

Glakoma: Adui wa macho anayesababisha upofu

Mwanza. Wakati idadi ya watu wenye matatizo ya macho ikiendelea kuongezeka duniani, wataalamu wa afya wameibuka na tahadhari juu ya kasi ya kuenea kwa ugonjwa wa glakoma (shinikizo la macho), unaotajwa kuwa miongoni mwa visababishi vikuu vya upofu wa kudumu. Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kimataifa, ikiwemo utafiti wa Taasisi ya Ophthalmology ya Uingereza,…

Read More