ZUNGUSHA NA USHINDE KIRAHISI, CHEZA KASINO

MOJA ya habari njema kuwahi kutokea ni uwepo wa historia ya kale kuhusiana na miungu, na maisha ya zamani, hadithi hizi zinafurahisha na kuelimisha sana. Kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni na Playtech wanashirikiana kukuletea mchezo wa Age of the Gods Spin a Win. Age of the Gods Spin a Win ni mchezo wa kasino ya mtandaoni ambao unaweza kukuletea ushindi wa kushangaza….

Read More

Ngoma bado ngumu mgomo Kariakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema ngoma bado ngumu katika soko la Kariakoo, baada ya hotuba ya takribani dakika 17 iliyotolewa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwashawishi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kushindwa kufua dafu. Hiyo ni baada ya saa mbili tangu kuondoka sokoni hapo saa 6 mchana, lakini mpaka sasa 8…

Read More

Kriketi Tanzania yapania Kombe la Dunia T20

TIMU ya Taifa ya Kriketi ya Tanzania, imeanza mkakati wa kuitafuta tiketi ya kucheza kombe la dunia ya mizunguko 20 (T20) inayoanza mwishoni wa juma, mjini Windhoek, Namibia. Tanzania iliibuka na ubingwa wa michuano ya kumbukumbu ya Kwibuka nchini Rwanda, baada ya kuifunga Zimbabwe katika fainali, huku Uganda ikishika nafasi ya tatu. Ikiwa na wachezaji…

Read More

WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU MIRADI YA BRT, AAGIZA IKAMILIKE KABLA YA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA.

Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Waziri Ulega ameagiza miradi hiyo ikamilike kabla ya msimu wa…

Read More

MSAFARA WA VODACOM TWENDE BUTIAMA 2024 WAHITIMISHWA BUTIAMA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Msafara wa kihistoria wa Vodacom Twende Butiama 2024 umekamilika rasmi mnamo tarehe 13 Oktoba kwa mafanikio makubwa, ukihitimishwa wilayani Butiama, kijijini kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Julius K. Nyerere katika mkoa wa Mara.  Msafara huo, uliowakutanisha waendesha baiskeli zaidi ya 100 kutoka Tanzania na nchi jirani, ulifanyika kuanzia tarehe 29 Septemba na kupita katika…

Read More

YANGA SC MABINGWA NBCPL 2024-2025

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Yanga imeibuka mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara (NBCPL) baada ya kufanikiwa kushinda mechi yao ya kiporo dhidi ya mahasimu wao Simba Sc ambao nao walihitaji ushindi kwenye mchezo huo ili waweze kuwa mabingwa. Katika mchezo huo ambao ulikuwa vute ni kuvute, Yanga iliweza kuukamata mchezo katika…

Read More