Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye! – Global Publishers

HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri ya anayependa! Lakini sasa, kuna kitu nilichogundua miongoni mwetu, kitu ambacho tusipokuwa makini nacho tunaweza kujikuta tunajilazimisha kuishi…

Read More

DK.NCHIMBI AWASHURUKURU KALAMBO KUJITOKEZA KWA WINGI MKUTANO CCM

Na Mwandishi Wetu MGOMBEA mwenza wa Kiti cha Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amewashukuru wananchi wa jimbo la Kalambo kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano wa kuomba kura za mgombea Urais kupitia Chama hicho Rais Dk.Samia Suluhu Hassan. Akitokea jimbo la Kwela,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini,Dkt.Nchimbi amewashukuru Wananchi…

Read More

TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA MABADILIKO YA HALI YA HEWA

…………….. Dodoma; Tarehe 8, Septemba, 2025. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini.  Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Mhe. Jaji Mshibe Ali Bakari alisema hayo wakati akifungua mkutano wa 24 wa wadau katika kujadili…

Read More