MBAWE JOGGING CLUB YAHAMASISHA USHIRIKI WA KURA NA AMANI

:::::::::: Na Mwandishi Wetu Mbawe Mji Mpya Jogging Club imefanya matembezi ya jogging jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kudumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza asubuhi hii mara baada ya kumaliza matembezi hayo, Mwanzilishi na Mweka Hazina wa klabu hiyo, Bi…

Read More

Wakili Mwasipu afunguka yanayomkabili Heche

‎‎Dar es Salaam. Ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Jeshi la Polisi limkamate John Heche ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Wakili wake, Hekima Mwasipu amesema kiongozi huyo anatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi, muda wowote atafikishwa mahakamani.‎ ‎Wakili Mwasipu amesema tuhuma za ugaidi zilizoibuliwa kwa mteja wake zinahusiana…

Read More

Bei ya petroli, dizeli yapaa Agosti

Dar es Salaam. Bei ya petroli na dizeli ya rejareja kwa Agosti 2024 imepanda katika mikoa inayochukua mafuta hayo kwenye bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ikilinganishwa na Julai. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Agosti 7, 2024 kwa…

Read More

Aussems kushusha vyuma Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikiendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa timu hiyo umesema umemuachia jukumu Kocha Mkuu Patrick Aussems kuamua nani aingie au kutoka kuhakikisha anafikia malengo ya nafasi nne za juu. Timu hiyo ambayo awali ilifahamika Ihefu ikianzia makao yake Mbarali mkoani Mbeya kabla ya kuhamia mkoani Singida na tayari imebadili…

Read More

Kweleakwelea wazua vilio kwa wakulima Mbarali, watalaamu waingilia kati

Mbeya. Wakati wakulima wa zao la mpunga wilayani Mbarali, mkoani Mbeya, wakijiandaa kwa msimu wa mavuno, taharuki imetanda kufuatia mashamba kuvamiwa na ndege aina ya kweleakwelea, hali inayowaweka wakulima katika mashaka na kuwafanya waombe msaada wa haraka kutoka serikalini ili kunusuru mazao yao. Ndege hao wanadaiwa kuanza kuvamia mashamba hasa katika kipindi cha kuelekea mavuno,…

Read More

Wananchi Shinyanga walia ajali za barabarani

Shinyanga. Wananchi wa Kata ya Itwangi, Halimashauri ya Wilaya ya Shinyanga, mkoani Shinyanga, wameiomba Serikali kuweka matuta katika barabara kuu ya eneo hilo kufuatia wimbi la ajali zinazodaiwa kusababisha vifo vya watu, wakiwemo wanafunzi. Wananchi hao wamesema ajali zimekuwa zikijirudia mara kwa mara kutokana na madereva kuendesha kwa mwendo kasi na kutokuheshimu alama pamoja na…

Read More

Siku ya Ulimwenguni kwa barafu za barafu

Khumbu Glacier katika mkoa wa Mt. Everest huko Nepal. Ripoti mpya inasema Glacier Melt huongeza hatari ya kupata athari na athari za kuongezeka kwa uchumi, mazingira, na jamii, sio tu katika mikoa ya mlima bali katika kiwango cha ulimwengu. Mikopo: Tanka Dhakal/IPS na Tanka Dhakal (Bloomington, USA) Jumamosi, Machi 22, 2025 Huduma ya waandishi wa…

Read More

MBEGU ZA MITI YA ASILI KUONGEZA UHIFADHI ENDELEVU

  Wataalamu na taasisi zinazohusika na utoaji wa taaluma na utafiti wa Misitu wametakiwa kutumia taaluma zao kufanya tafiti zitakazo saidia kuishawishi Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzisha ‘stoo’ ya mbegu ya muda mrefu (Genebank) ya miti ya asili ili kuepuka na kukabiliana na hatari za kupoteza vizazi vya miti ya asili na…

Read More

ELIMU YA KODI MLANGO KWA MLANGO YAWA KIVUTIO MOROGORO

Morogoro, Baadhi ya Walipakodi mkoani Morogoro wameeleza kuvutiwa na elimu ya kodi mlango kwa mlango inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kueleza namna linavyowasaidia kutatua changamoto zinazowakabili wakiwa katika maeneo yao ya biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti walipotembelewa na timu ya kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango mkoani morogoro iliyongozwa na Meneja…

Read More

UDOM kuongeza nguvu katika tafiti zinazotatua changamoto kwenye jamii

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimesema kimejielekeza kufanya tafiti zinazotoa majibu ya changamoto mbalimbali zinazoikabili jamii kuhakikisha kunakuwa na ustawi kwa Watanzania. Akizungumza Julai 3,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba Naibu Makamu Mkuu wa chuo hicho (Mipango, Fedha na Utawala), Profesa Wineaster Anderson, amesema tafiti…

Read More