Sababu Lissu kuomba muda zaidi, Mahakama yatoa kauli

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu ameiomba Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, impe muda apitie uamuzi wa kesi zilizowasilishwa na upande wa mashtaka walipojibu hoja za pingamizi lake alizowasilisha katika kesi ya jinai inayomkabili. ‎Katika kesi hiyo, Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume cha kifungu…

Read More

Nida kubadili muundo vitambulisho vya Taifa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) iko mbioni kuanza kutoa aina mpya ya Vitambulisho vya Taifa ambavyo vimeboreshwa na kuongezewa huduma nane ndani yake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vitambulisho wa Nida, Edson Guyai katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika Jumatatu, Februari 23, 2026. Wanufaika wa vitambulisho hivi vipya watakuwa…

Read More

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

Ni sahihi kusema hakuna unyonge! Simba imemaliza uteja wa kupoteza michezo mitano dhidi ya Yanga baada ya kulazimisha suluhu kwenye mchezo mkali wa Dabi ya Kariakoo uliopigwa kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Simba wanaitawala Yanga kwa dakika nyingi katika michezo ya hivi karibuni, huku ikiwatumia wachezaji wake wapya, Libase Gueye,…

Read More

Serikali Yazindua Mtumiaji App Kuimarisha Mawasiliano na Kulinda Watumiaji Nchini

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Agellah Jasmine Kairuki, amezindua rasmi mfumo wa kidijitali wa kuhudumia watumiaji wa huduma za mawasiliano ujulijanao kama Mtumiajiapp ulioandaliwa na TCRA-CCC , leo Tarehe 23/03/2024 katika ukumbi wa Millennium Towers uliopo jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo umehudhuriwa na wadau wa sekta ya mawasiliano pamoja na wananchi mbalimbali….

Read More

Kongole NECTA kwa mpango kupanda miti 150,000 kutunza mazingira

………….. Na: Dk. Reubeni Lumbagala Utunzaji wa Mazingira ni jukumu letu sote. Uwe mtoto, kijana, mtu mzima au mzee. Uwe mwanamke au mwanamme, uwe msomi au usiwe msomi, suala la utunzaji mazingira linakuhusu. Faida za utunzaji mazingira zinatunufaisha sote. Madhara ya uharibifu mazingira yanatuathiri sote. Hakuna aliye salama mazingira yakiharibika. Ndiyo maana ni vyema mikakati…

Read More