Tanzania Prisons, Kagera acha tuone itakuwaje!

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa kwenye viwanja tofauti, huku macho na masikio yakiwa ni kutaka kujua timu gani itaungana moja kwa moja na KenGold kushuka daraja na zile zitakazocheza ‘play-off’ ya kubakia. Mechi ya mapema leo, itapigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya, ambapo wenyeji Tanzania…

Read More

Lina Tour yatibua kambi ya timu ya taifa

TIMU ya Taifa ya Wanawake ya Gofu, inaendelea na mazoezi kujiandaa na  Mashindano ya Ubingwa wa Gofu Afrika, yatakayofanyika mjini Agadir Morocco, Novemba 28 hadi 30 mwaka huu. Wacheza gofu wa timu hiyo wanaendelea na mazoezi yao katika viwanja vya Arusha na Dar es Salaam gymkhana baada ya kuahirishwa kwa michuano ya Lina PG Tour …

Read More

Siku 39 Ramovic alivyoibadili Yanga

Sead Ramovic alitambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga ikiwa ni muda mchache baada ya klabu hiyo kutangaza kuachana na Miguel Gamondi. Ramovic ambaye ametua Yanga akitokea TS Galaxy ya Afrika Kusini, leo Desemba 24, 2024 ametimiza siku 39 tangu utambulisho wake huo ufanyike huku akifanikiwa kuiongoza timu hiyo kucheza mechi sita za kimashindano. Katika mechi…

Read More

Cheza Beach Penalties ndio mpango mzima leo

  MPANGO mzima kwasasa ni kupiga penalty tu kupitia mchezo mpya wa Kasino wa Beach Penalties, Mchezo huu umegeuka kua mchezo pendwa kwakua watu wanashinda mkwanjakirahisi kutoka na uwepesi wake wa kucheza. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilionikupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More