Lissu avuka kikwazo cha kwanza kesi ya rasilimali Chadema
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amevuka kikwazo cha kwanza katika maombi yake ya kujumuishwa katika kesi ya madai ya mgawanyo usio sawa ndani ya chama hicho baina ya Bara na Zanzibar baada kushinda pingamizi. Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya mwaka 2025 imefunguliwa na Makamu Mwenyekiti…