
Morocco yaibeba Stars, ikiifumua Zambia
LICHA ya kuwa nchi ya kwanza kufuzu fainali za Kombe la Dunia za 2026, Morocco jioni hii imeifumua Zambia ikiwa kwao kwa mabao 2-0 na kuilainishia Tanzania kumaliza nafasi ya pili katika Kundi E. Mabao yaliyofungwa kila moja kipindi kimoja katika mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja la Levy Mwanawasa, jijini Ndola, lilififisha tumaini la wenyeji…