Wakili wa hali ya hewa wa UNICEF anawasihi viongozi wa ulimwengu ‘ni pamoja na watoto’ katika majadiliano ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Zunaira, mtetezi wa vijana wa UNICEF, anaongea katika hafla katika Unicef ​​House katika kando ya kikao cha 80 cha Mkutano Mkuu wa UN. Mikopo: Tadej Znidarcic/Unicef na Naureen Hossain (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Septemba 26, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 26 (IPS)-Wiki ya Mkutano Mkuu wa UN (22-30 Septemba) imekuwa…

Read More

MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS MAXENCE MELLO AOMBA KUJIUZULU UJUMBE WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI

:::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, @jamiiforums Maxence Melo, ameomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya kujiuzulu ujumbe wa Bodi katika Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi.  Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijami wa Instagram wa Melo @macdemelo amechapisha taarifa inayosomeka “Leo, Septemba 06, 2025 nimemuandikia rasmi Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari juu…

Read More

Watoto ni tunu, tuwaenzi, tuwalinde na kuwatunza

Dar es Salaam. Watoto ni zawadi ya kipekee kutoka kwa Mungu na ni hazina ya jamii yoyote ile. Ndani yao kuna ndoto, matumaini na mustakabali wa kizazi kijacho. Watoto wanapozaliwa, huja na mioyo isiyo na chuki, malengo ya maisha ambayo bado hayajachafuka na uwezo mkubwa wa kujifunza na kuleta mabadiliko. Kwa msingi huo, ni wajibu…

Read More

Datius ajipa tumaini Mtibwa | Mwanaspoti

BAADA ya kupewa miaka miwili na Mtibwa Sugar, beki wa kulia Datius Peter amesema klabu hiyo itafufua matumaini mapya kwake ya kuendeleza kipaji alichonacho kwa kucheza soka la ushindani. Peter alijiunga na Mtibwa katika dirisha la usajili kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Kagera Sugar aliyodumu nayo tangu mwaka 2022, ambapo ameiacha baada ya kushuka…

Read More