Singida Black Stars, KMC vita mpya Ligi Kuu Bara

UTAMU wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa michezo miwili, huku macho ya mashabiki yakiwa kwenye Uwanja wa Liti mjini Singida wakati Singida Black Stars itakapovaana na KMC, huku kocha Patrick Aussems akitamba kuendeleza ubabe. KMC mazoezini Singida ilianza msimu kwa kishindo kwa kupata ushindi katika mechi mbili mfululizo ikiwa ugenini, ikianza kwa kuichapa…

Read More

Mwenge waikubali miradi yote 51 ya Manyara

Hanang. Mwenge wa uhuru mwaka 2025 umepitisha miradi yote 51, iliyokagua, kuzindua, kutembelea na kuweka jiwe la msingi kwenye mkoa wa Manyara, yenye thamani ya Sh71.3 bilioni. Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameyasema hayo leo jumamosi Julai 19 mwaka 2025 kwenye eneo la Sagara akimkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa mkoa wa Singida…

Read More

Wabunge walia na madeni ya makandarasi, fidia

Dodoma. Wabunge wameitaka Serikali kuandaa mkakati maalumu wa kulipa madeni ya makandarasi na wahandisi washauri, huku Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu ikisema hadi kufikia Februari 2025 deni limefikia Sh1.29 trilioni. Wameyasema hayo wakati wakichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi wa wizara hiyo kwa mwaka 2025/26 bungeni leo Jumatatu Mei 5, 2025….

Read More

Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda. Ndiyo, kama ambavyo Simba ilivyokuwa Kwa Mkapa kuhitimisha tamasha la Simba Day na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda au kama jana…

Read More

Cholera inazidi ulimwenguni, sasisho la DR Kongo, ambaye anaongoza mazoezi ya dharura ya afya ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Shirika la Afya la UN lilisajili karibu kesi 810,000 na vifo 5,900 kutoka kwa ugonjwa unaoweza kuepukwa mnamo 2024; Hiyo ni asilimia 50 ya juu kuliko mwaka uliopita, kulingana na Dk Philippe Barboza, ambaye anaongoza WHOTimu ya Cholera. Alisema kesi za hivi karibuni zilizoripotiwa ni za karibu kabisa na kwamba ugonjwa unaendelea kuathiri nchi ambazo…

Read More