Hatima ya Mpina yabaki mikononi mwa majaji kwa siku tatu

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma itatoa uamuzi wake Alhamisi, Septemba 11, 2025, katika kesi inayomhusu aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT–Wazalendo, Luhaga Mpina, dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kesi hiyo ipo mbele ya jopo la majaji watatu, Abdi Kagomba, Evaristo Longopa, na…

Read More

Makada sita wa Chadema washikiliwa na Polisi Mbeya

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia makada sita wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa tuhuma za kufanya mikusanyiko isiyo halali na kupanga kufanya maandamano. Maandamano hayo yalipangwa kufanyika jana, Jumapili, Septemba 7, 2025, nchini kote, ikiwa ni kuadhimisha Siku ya Mashujaa kimkoa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga, ameliambia…

Read More

SALMA KIKWETE AANZA KAMPENI RASM LINDI

……………. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mchinga mkoa wa  Lindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), . Salma Rashid Kikwete, amezindua rasmi kampeni zake jana 7 septemba,2025, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Uzinduzi huo umefanyika katika kata ya Rutamba Manispaa ya Lindi na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa chama na…

Read More

Gor Mahia kuwasili  leo kuwahi Simba Day

Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema timu ya Gor Mahia kutoka Kenya ambayo itacheza mechi ya kirafiki kwenye kilele cha wiki ya Simba Day itawasili usiku wa leo hapa nchini. Leo Simba ilitembelea na kutoa msaada katika Kituo cha Kutunza Watoto Wenye Uhitaji cha Twarika Kadiliya kilichopo Mabibo, Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi…

Read More

Hatima ya Mpina yabaki mikononi mwa majaji

Dodoma. Hatima ya kugombea urais kwa Luhaga Mpina kupitia Chama cha ACT -Wazalendo sasa imebaki mikononi mwa majaji kwa siku tatu zijazo baada ya kesi hiyo kupangwa kusikiliza Septemba 11, mwaka huu. Leo Jumatatu Septemba 8,2025 katika Mahakama Kuu Masijala Kuu- Dodoma, Mpina na mgombea mwenza wake Fatuma Fereji wameshiriki kesi hiyo iliyokuwa mbele ya…

Read More

FCC YAWAVUTIA WAWEKEZAJI KWENYE MAONESHO YA IATF NCHINI ALGERIA

Tanzania imejipambanua kama nchi salama na yenye ushindani katika kuvutia uwekezaji kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika (Intra African Trade Fair – IATF) yanayofanyika mjini Algiers, Algeria kuanzia Septemba 4 hadi 10, 2025 ambapo maonesho hayo yanawakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika kujadili ushirikiano na fursa za biashara. Katika maonesho…

Read More

Dk Migiro aeleza ahadi ya CCM kwa wananchi

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dk Asha-Rose Migiro, amesema chama hicho kitaendelea kuonesha mshikamano wa kisiasa na kijamii kwa wananchi katika kusimamia utekelezaji wa sera na ilani zake ili kuimarisha maendeleo ya Taifa. Amesema hayo leo, Septemba 8, 2025 wakati akizungumza na wanachama na wapenzi wa CCM katika mapokezi ya kumkaribisha…

Read More

Dk Mwinyi aeleza umuhimu wa taasisi imara za kusimamia uwekezaji

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa katika muhimili wa Mahakama, kunahitajika kuwa na taasisi imara za kusimamia changamoto za sheria zinazojitokeza katika uwekezaji. Amesema amesema uimara wa taasisi hizo unajengwa na uwajibikaji na kuwepo kwa mazingira wezeshi ya kazi, ikiwemo ujenzi wa majengo yanayotoa nafasi ya kutenda…

Read More