“Kosa lilianzia kichwani”, Ali Kamwe aanika sababu za kichapo cha Taifa Stars
Wakati mashabiki wa soka nchini Tanzania wakiendelea kutafuta majibu ya namna gani timu ya Taifa “Taifa Stars” imepoteza mchezo mbele ya Liechtenstein, Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameibuka na uchambuzi mchungu akidai kuwa kipigo hicho kimesababishwa na tatizo la kisaikolojia zaidi kuliko ufundi. Licha ya Tanzania kuwa na kikosi chenye “Quality” kubwa…