Viongozi watatu Chaumma wajiuzulu nafasi zao

Dar es Salaam. Mambo yameanza kuchangamka ndani ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), baada ya viongozi watatu wa kitaifa kujiuzulu nafasi zao, wakitaja sababu ni kukipa chama hicho fursa ya kuwapata viongozi wengine watakaoendeleza gurudumu mbele. Waliotangaza kujiuzulu ni Katibu Mkuu wa chama hicho Mohammed Masoud Rashid, Naibu Katibu Mkuu Bara, Rahman Rungwe na…

Read More

Mgombea urais apigwa risasi, mtoto atiwa mbaroni

Bogota. Katika hali isiyo ya kawaida  mtoto (15) amekamatwa kwa tuhuma za kumshambulia kwa risasi Seneta wa Colombia anayewania kuwa rais ajaye wa nchi hiyo. Katika tukio hilo,  seneta Miguel Uribe Turbay (39) akihutubia mkutano wa hadhara kwenye kampeni yake uliofanyika Bogota nchini humo alijeruhiwa vibaya katika shambulio la mtoto huyo. Kwa mujibu wa Ofisi…

Read More

Gamondi ashtukia mchongo, afanya maamuzi ‘KONKI’

YANGA ina uhakika mkubwa wa kuimaliza mechi ya marudiano dhidi ya Vital’O ya Burundi kwenye Uwanja wa Mkapa Jumamosi baada ya ushindi mabao 4-0 wikiendi iliyopita. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi mwili wake upo Dar es Salaam lakini akili ipo Addis Ababa, Ethiopia kwenye mechi ya marudiano ya CBE ya huko na…

Read More

Pamba yarejea kwa straika Mzenji

BAADA ya mabosi wa Pamba Jiji FC kumkosa mshambuliaji wa Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’, katika dirisha dogo la Januari 2025, inaelezwa wameanza tena harakati hizo upya, ili kuhakikisha msimu ujao anakichezea kikosi hicho cha ‘TP Lindanda’. Pamba ilianza harakati hizo tangu Januari 2025 za kumpata mshambuliaji huyo, ingawa hazikuweza kuzaa matunda, baada ya kuelezwa alisaini…

Read More

Huko UN, OSCE anaonya juu ya mmomonyoko wa kanuni za usalama huku kukiwa na migogoro ya Ukraine – maswala ya ulimwengu

Akihutubia mabalozi, Waziri wa Mambo ya nje wa Ufini Elina Valtonen, ambaye kwa sasa anakaa mataifa 57, alielezea mzozo huo kama changamoto ya usalama kwa usalama wa Ulaya katika miongo kadhaa na kushambuliwa moja kwa moja kwa misingi ya Agizo la Kimataifa linalotegemea sheria. “Vita vya Urusi vya uchokozi dhidi ya Ukraine ni vita kubwa…

Read More