ATIDI Yajadili Uwekezaji wa Dola Bilioni 7.8 Tanzania

 Waziri wa Fedha wa Tanzania, Khamis Mussa Omar umza wakati wa mkutano huo uliofanyika leo Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam wakati kujadiliana juu ya uwekezaji na biashara yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 7.8 nchini Tanzania katika mkutano wa Bodi ya taasisi hiyo. AFRICAN Trade & Investment Development Insurance (ATIDI) imejadili uwekezaji na…

Read More

Tengeneza Jamvi Lako la Ushindi Kupitia Meridianbet

JUMATANO ya ushindi na Meridianbet imefika, Timu zote zinawania nafasi ya kufuzu hatua ya 16 bora kwenye michuano ya UEFA mkondo wa pili kuchezawa leo. Wewe unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet. Atalanta atakipiga dhidi ya Borussia Dortmund ya kule Ujerumani ambapo mechi ya mkondo wa kwanza wlaipokutana, wenyeji walipoteza. Mechi hii ya leo ndio…

Read More

Kero tano zinavyopigiwa chapuo na wagombea urais

Dar/Mikoani. Upatikanaji duni wa huduma ya maji safi na salama, migogoro ya ardhi, miundombinu, uhaba wa ajira na kipato kwa wananchi, ndizo changamoto zilizoteka vinywa vya wagombea urais wa vyama mbalimbali vya siasa ndani ya siku tano za mwanzo za kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Tayari kampeni hizo zimeshafanyika katika mikoa ya Dar…

Read More

Taifa Stars mzigoni tena | Mwanaspoti

BAADA ya kumaliza kazi kwenye Fainali za CHAN 2024 zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda, kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars usiku wa leo kitakuwa kibaruani ugenini katika mechi ya kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia za 2026. Tanzania itavaana na Congo Brazzaville kwenye Uwanja wa Alphonce Massamba-Debat ikiwa…

Read More

Tanzania inavyoweza kukabili ongezeko bei ya mafuta duniani

Februari 28, 2026, Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi yao kwa Iran, yaliyosababisha vifo vya kiongozi mkuu wa taifa hilo, Ayatollah Ali Khamenei, pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Iran. Baada ya mashambulizi hayo Iran ilianza kujibu ikilenga kambi za kijeshi za Marekani na Israel lakini pia maeneo ambayo mataifa hayo ya maslahi, Hivi sasa vita…

Read More

TPDC: Kuna mafuta yakutosha miezi mitatu, yatapanda bei

Dar es Salaam. Serikali imesema Tanzania ina hifadhi ya mafuta yanayoweza kutumiwa kwa miezi mitatu kuanzia Mei hadi Julai mwaka huu, huku ikiweka bayana kuwa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) ndiyo litakalo sambaza mafuta kwa kipindi hicho. Hiyo ni baada ya TPDC kupata wasambazaji wenye uwezo wa kuleta mafuta kwa gharama nafuu kuliko…

Read More