Dk Mwinyi aeleza umuhimu wa taasisi imara za kusimamia uwekezaji

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa katika muhimili wa Mahakama, kunahitajika kuwa na taasisi imara za kusimamia changamoto za sheria zinazojitokeza katika uwekezaji. Amesema amesema uimara wa taasisi hizo unajengwa na uwajibikaji na kuwepo kwa mazingira wezeshi ya kazi, ikiwemo ujenzi wa majengo yanayotoa nafasi ya kutenda…

Read More

Columbia Africa Yaingia Tanzania kwa Kuinunua IST Clinic

Columbia Africa Healthcare Limited imetangaza ununuzi wa IST Clinic, kituo maarufu cha huduma za afya kilichopo Dar es Salaam. Kupitia ununuzi huu wa hisa kwa asilimia 100, Columbia Africa inaimarisha uwepo wake katika Ukanda wa Afrika Mashariki, ikiongeza Tanzania kwenye mtandao wake wa kliniki uliopo Nairobi, Kenya. Ununuzi huu ni hatua muhimu katika mkakati wa…

Read More

Bado Watatu – 22 | Mwanaspoti

Kwa vile nilikuwa na ahadi na mtu, usingizi uliniruka. Nilikwenda kukaa sebuleni hadi saa tano na nusu nikiangalia televisheni. Baada ya hapo nilizima televisheni, nikaenda kupenua pazia la dirisha na kuchungulia nje.Nilikuwa nimezima taa, hivyo mtu wa nje asingeniona, isipokuwa mimi ndiye ningeweza kumuona. Nilisimama hapo dirishani kwa dakika nyingi nikiangalia nje. Nilikuwa ninataka nimuone…

Read More

Mawakili waketi wakiwasubiri majaji kesi ya Mpina

Dodoma. Mawakili wa Chama cha ACT -Wazalendo na wale wa Serikali wameshaingia na kuketi kwenye viti vyao mahakamani tayari kwa ajili ya kesi ya Luhaga Mpina aliyeenguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Leo Jumatatu Septemba 8, 2025 katika Mahakama Kuu Masijala Kuu-…

Read More

Namna ya kumsaidia mtoto anayemaliza darasa la saba

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakitarajia kufanya mitihani yao ya kumaliza elimu ya msingi Septemba 10 na 11 mwaka huu, wadau wameainisha njia nzuri ya kuishi nao kwa miezi mitatu ijayo. Kipindi hiki cha likizo kinatajwa kuwa fursa nzuri kwa wazazi na walezi kusaidia kukuza vipaji vya watoto wao, hivyo kupata…

Read More

Anayedaiwa kuwa kinara wa bangi Mara anaswa na tani sita

Dar es Salaam. Ule usemi wa siku za mwizi ni 40 umetimia kwa Masero Ryoba Muhabe (44), anayedaiwa kuwa kinara wa biashara ya bangi mkoani Mara baada ya kukamatwa akiwa na tani 6.5 za bangi. Mfanyabiashara huyo anadaiwa kutumika kama daraja kati ya wafanyabiashara kutoka nchi jirani wanaofadhili kilimo cha bangi na wakulima wanaolima zao hilo….

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI JAPAN

………   WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemtaka balozi wa Tanzania Nchini Japan Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni pamoja na kudumisha diplomasia ya uchumi kwa kuhamasisha uwekezaji na upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani.   “Ni jukumu lako kwenda kutangaza fursa zilizopo hapa nchini, tumia vizuri mahusiano yetu…

Read More