
Dk Mwinyi aeleza umuhimu wa taasisi imara za kusimamia uwekezaji
Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanywa katika muhimili wa Mahakama, kunahitajika kuwa na taasisi imara za kusimamia changamoto za sheria zinazojitokeza katika uwekezaji. Amesema amesema uimara wa taasisi hizo unajengwa na uwajibikaji na kuwepo kwa mazingira wezeshi ya kazi, ikiwemo ujenzi wa majengo yanayotoa nafasi ya kutenda…