DART ilivyojichongea mahakamani, yageuziwa kibao

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imewageuzia kibao Wakala wa Serikali wa Uendeshaji wa Mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka, Dar Rapid Transit Agency (DART), na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) walioishtaki kampuni ya Spark Venture (T) Limited, wakilalamikia kuvunjwa kwa mkataba wa kibiashara. DART, msimamizi wa mfumo huo wa Mabasi Yaendayo…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi, kesi ya Lissu Mahakama Kuu Dar

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akitarajia kupandishwa kizimbani leo katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizwaji wa hoja au maelezo ya awali ya kesi ya uhaini inayomkabili, ulinzi umeimarishwa kuanzia nje, getini hadi ndani ya Mahakama. Ulinzi huo umeimarishwa na askari…

Read More

Baharia anayeamini 2025 ni zamu yake kuwa Rais

Mambo mengi yanajenga kumbukumbu kuhusu Mei 18, 1966. Chombo cha anga cha Surveyor 1, kilichobuniwa na kuundwa na Shirika la Sayansi ya Anga la Marekani (Nasa), kilitua kwa mara ya kwanza mwezini kwa majaribio. Kwa Canada, ni kumbukumbu mbaya kwani magaidi walilipua jengo kuu la Bunge la nchi hiyo kwa mabomu yaliyotegwa. Kinyota, Mei 18…

Read More

Adarus Walii aingiza sokoni filamu mpya “Mke wa Mama”

Na Mwandishi Wetu MUONGOZAJI wa filamu nchini Tanzania, Adarus Walii ambaye pia ni msanii, ameingiza sokoni filamu yake inayojulikana kwa jina la ‘Mke wa Mama’ hivi karibuni katika mitandao mbalimbali ya kijamii ukiwemo ‘YouTube’. Walii amewahi kutamba na filamu mbalimbali kama ‘Muuza Genge’, ‘Aisha’, ‘Namtaka Mwanangu’, ‘Bondo DSM’, ‘Slay Queens’ na ‘Mapenzi na Muziki ambazo…

Read More

Shambulio la Urusi laua wanne, lajereuhi 18 Ukraine

Kyiv, Ukraine. Watu wanne, akiwemo mama na mtoto mchanga, wamefariki dunia huku wengine 18 wakijeruhiwa kufuatia shambulio la anga lililofanywa na vikosi vya Urusi nchini Ukraine. Kwa mujibu wa Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko, mashambulizi hayo yamefanyika usiku wa kuamkia leo, yakihusisha ndege zisizo na rubani na kufuatiwa na makombora yaliyolenga maeneo ya makazi Klitschko…

Read More

Mukwala anahesabu saa tu Msimbazi

DIRISHA la usajili la usajili linatarajiwa kufungwa usiku wa leo, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kutema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama zali. Ipo hivi. Msimu uliopita, Simba iliongozwa eneo la mbele ya washambuliaji Steven Mukwala na Leonel Ateba kila mmoja…

Read More

Kachwele aanza na kishindo Marekani

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Cyprian Kachwele anayekipiga Whitecaps FC 2 amesema amekuwa na wakati mzuri tangu alipotoka kwenye kipindi cha kuuguza majeraha ya nyama za paja mwezi Juni mwaka huu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More