DART yatoa safari nne za bure kwa wataonunua kadi
Na Mwandishi Wetu Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) imesema kuwa katika msimu wa siku kuu za mwisho wa mwaka wanatoa sh.30000 kwa safari Nne kwa watakaonunua kadi kwa ajili ya kutumia katika safari za mabasi yaendayo haraka. Hayo amesyasema Mtendaji Mkuu wa DART Dkt.Athuman Kihamia wakati akizungumza na waandishi habari kuhusiana na matumizi ya…