Fundi wa boli Fountain gate ala kiapo

KIUNGO fundi wa mpira wa Fountain Gate, Elie Mokono aliyeisumbua ngome ya Simba jana usiku kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara amekula kiapo akisema anaamini kikosi chao kitarejea katika mwenendo mzuri kama ilivyokuwa mwanzoni mwa  2024/25. Fountain Gate iliyolazimika kuivaa Simba ikiwa na wachezaji 13 na kupasuka kwa mabao 3-0 awali ilianza msimu kwa kuchapwa…

Read More

Tumia viungo hivi kuondoa harufu mbaya kwapani

Harufu mbaya ya kwapa ni tatizo linalowakumba watu wengi katika jamii, na mara nyingi husababisha usumbufu wa kijamii na kupunguza kujiamini. Tatizo hili hutokana na mambo mbalimbali yanayohusiana na mwili wa binadamu, mazingira, na mienendo ya maisha ya kila siku. Kuelewa sababu hizi ni hatua muhimu katika kukabiliana na tatizo hili. Moja ya sababu kuu…

Read More

MKUU WA MKOA KATAVI AAGIZA UTII WA SHERIA ZA TASAC

Na Mwandishi Wetu,Katavi Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, ameagiza wadau wote wa usafiri majini na shughuli zinazohusiana na uendeshaji wa vyombo vya majini mkoani humo kuhakikisha wanatii kikamilifu sheria na taratibu zinazosimamiwa na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC). Mrindoko ametoa maagizo hayo leo tarehe 27 Februari, 2026, alipokutana na watalaam wa…

Read More

Ombwe la midahalo mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya shangwe, shamrashamra na furaha zinazoshuhudiwa katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, kukosekana kwa midahalo ya wagombea urais inayorushwa mubashara kunatajwa kuwa ombwe katika demokrasia ya Tanzania. Hii si ajali ya kisiasa ya msimu huu pekee. Ni utamaduni uliojengeka kwa zaidi ya miongo mitatu tangu kuanza kwa mfumo wa siasa za…

Read More

Wataalamu walaani kuwanyima watoto haki za msingi

Tanga. Wataalamu wa malezi na makuzi ya watoto mkoani Tanga wametahadharisha kuwa kuwanyima watoto haki zao za msingi za kucheza, kupumzika na kukua katika mazingira salama na yenye afya kunahatarisha maendeleo yao ya kimwili na kiakili. Wataalamu hao wanasema vitendo hivyo vinaweza kuathiri si tu ukuaji wa kimwili wa watoto, bali pia maendeleo yao ya…

Read More

Mpina aondolewa mbio za urais, akwaa kwa Samia

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imemuondoa mgombea urais kupitia Chama cha ACT – Wazalendo, Luhaga Mpina kwenye mbio za urais, baada ya pingamizi lililowekwa dhidi yake na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari kukubalika. Wakati huo huo, pingamizi aliloweka Mpina dhidi ya mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia…

Read More

Kwa Slotopia Ya Meridianbet, Sasa Kila Mzunguko Unakupa Ushindi

Soko la burudani ya kasino mtandaoni sasa limepata nguvu mpya baada ya Meridianbet kuijumuisha Slotopia, mtengeneza michezo anayelenga kuwapa wachezaji burudani isiyo na kikomo pamoja na bonasi na zawadi kemkem. Uzinduzi huu unaashiria kipindi kipya cha ushindi, ambapo kila mzunguko wa mchezo ni fursa ya kuongeza mapato. Slotopia imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kila mchezaji…

Read More