Ofisa wa benki ahukumiwa kulipa Sh152 milioni kwa wizi

‎Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa ofisa wa benki ya Equity Tanzania Limited, Lilian Koka (27), kulipa fidia ya Sh152 milioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi. Mbali na adhabu hiyo, Koka ambaye ni mkazi wa Ukonga, amehukumiwa kifungo cha nje cha miezi 12, akitakiwa kutotenda kosa lolote la…

Read More

RC CHALAMILA AANDAA IFTAR MAALUM

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 27,2026 ameandaa Iftar maalum kwa wakazi wa Mkoa huo hafla ambayo imefanyika katika ukimbi wa Diamond Jubilee. Katika hafla hiyo viongozi mbalimbali wa Dini na Serikali pamoja na wananchi kutoka maeneo tofauti ya Jiji la Dar es Salaam wamehudhuria. Mgeni rasmi katika tukio…

Read More

Mkakati wasukwa kupunguza utegemezi maziwa ya nje

Morogoro. Serikali kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa Tanzania (TDB) imeweka mikakati ya kuongeza uzalishaji na kuboresha ubora wa maziwa nchini, hatua inayolenga kupunguza utegemezi wa uagizaji kutoka nje unaogharimu zaidi ya Sh23 bilioni kila mwaka. Takwimu zinaonyesha Tanzania huagiza wastani wa lita milioni 11.6 za maziwa, licha ya kuwa na idadi kubwa ya mifugo….

Read More

Polisi Dar wakazia marufuku matumizi ya njia za mwendokasi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesisitiza marufuku kwa magari binafsi, ya serikali pamoja na pikipiki kutumia barabara maalum za mabasi yaendayo haraka (BRT), likieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuzuia ajali zinazoweza kusababisha madhara makubwa kwa abiria. Tamko hilo linakuja kufuatia kuendelea kwa ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani…

Read More

Ni Wakati wa Kugeuza Simulizi – Masuala ya Ulimwenguni

Rais wa Baraza Kuu Annalena Baerbock Maoni na Annalena Baerbock (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 10, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 10 (IPS) – Tumesikia yote: Wakati mwanamke anapaza sauti yake, ana hisia nyingi mno. Anaposimama imara, yeye ni mgumu sana. Anapoongoza, anatamani sana. Ikiwa amevaa suti nyeusi wananong’ona ‘mbona yeye huwa…

Read More

Kongole Wizara ya Maji kwa mafanikio ya programu ya WSDP

Na: Dk. Reubeni Lumbagala Wizara ya Maji inatekeleza programu mbalimbali za kimaendeleo zenye lengo la kuboresha usambazaji wa maji kwa wananchi wake na kufanikisha miradi mingine ya umwagiliaji ambayo ni kichochea muhimu kwa ustawi wa shughuli za kiuchumi kama kilimo, viwanda na huduma nyingine za kijamii. Miongoni mwa mipango inayosimamiwa na Wizara ya Maji yenye…

Read More

Namungo, City FC Abuja hakuna mbabe

MCHEZO wa Kundi C katika michuano ya Tanzanite Pre-Season International baina ya Namungo ya Tanzania Bara na City FC Abuja kutoka Nigeria, umemalizika kwa sare ya bao 1-1. Mshambuliaji wa Namungo, Heritier Makambo alifunga bao la mapema dakika ya tatu kwa ustadi mkubwa kufuatia pasi ya Abdulaziz Shahame. Bao hilo liliwafanya wachezaji wa Namungo kucheza…

Read More