NIRC Yaridhishwa Na Kasi Ya Ujenzi Wa Skimu Ya Makwale-Kyela – Global Publishers

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) kupitia Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uendelezaji wa Miundombinu, Mhandisi Leopord Runji, imefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ujenzi wa skimu ya Umwagiliaji Makwale, iliyopo Kyela mkoani Mbeya. Katika ziara hiyo Mhandisi Runji ameeleza kuridhishwa na kazi inayoendelea na kumtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kuongeza nguvu ili kukamilisha…

Read More

Wananchi watahamaki kupatwa kwa mwezi Dar

Dar es Salaam. Jana, Jumapili Septemba 7, 2025, Tanzania ilishuhudia tukio adimu la kupatwa kwa mwezi ambalo limeacha simulizi tofauti miongoni mwa wananchi. Wakati baadhi ya makundi yalionekana kujikusanya mitaani kushuhudia kwa mshangao anga likibadilika na mwezi kufunikwa kwa kivuli cha dunia, wengine walihisi hofu kubwa na kujifungia ndani kwa imani kuwa ni ishara ya…

Read More

Kocha BK Hacken amsifU Sabri

KWENYE moja ya mahojiano, kocha wa BK Hacken, Sven-Agne Larsson, amemtaja kiungo mshambuliaji wa Kitanzania, Sabri Kondo, kuwa mmoja wa wachezaji wenye njaa ya mafanikio. Sabri, ambaye msimu uliopita alicheza Coastal Union kwa mkopo, awali alienda katika timu hiyo inayokamata nafasi ya 10 katika msimamo wa ligi ya Sweden, ikicheza mechi 17 na kukusanya pointi…

Read More

27 wajitosa mbio za magari za Afrika

MADEREVA 27 wa Tanzania walikuwa wamejiorodhesha kushiriki raundi ya tano ya ubingwa wa mbio za magari barani Afrika hadi kufikia mwishoni mwa juma kabla ya mbio hizo kutimua vumbi katikati ya mwezi huu mkoani Morogoro. Mbio hizo zinajulikana kama Mkwawa Rally of Tanzania na zitafanyikia kwenye hifadhi ya msitu wa Mkundi mkoani Morogoro kati ya…

Read More

MBETO :AMANI NA UMOJA FUNGUO ZA MILANGO YA MAENDELEO

::::::” Na Mwandishi wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi kimesema hakitaacha kuzihimiza Serikali zake zizidishe mkazo na kuhakikisha hakuna mtu au kikundi chochote kinachoweza kuvuruga Amani na Umoja.  Vile vile chama hicho kimefichua siri ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika Awamu ya Nane Zanzibar ni kuwepo kwa Ustawi wa Amani na Utulivu . Hayo yamebainishwa…

Read More

MARY CHATANDA AMUOMBEA KURA DK.SAMIA MKURANGA, AMPIGIA DEBE ULEGA MKURANGA

Na Mwandishi Wetu,Mkurunga  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mary Chatanda amesema Chama hicho  kimewateua wagombea wanaokubalika kuelekea Uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Hivyo amesema jukumu kubwa la wananchi ni kuhakikisha wanawachagua wagombea wa Chama hicho kuanzia nafasi ya Urais ,wabunge na madiwani kwa  kuwapa…

Read More

ABDALLAH ULEGA AZINDUA KAMPENI ZA UBUNGE KWA KISHINDO JIMBO LA MKURANGA

  Amuombea kura mgombea Urais CCM Dk.Samia …agusia Katiba Mpya Na Mwandishi wetu, MGOMBEA Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)Jimbo la Mkuranga mkoani Pwani Alhaj Abdallah Ulega amewataka watanzania kama wanataka katiba mpya basi wanapaswa kumchagua Dkt Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Amesema hata katika uzinduzi wa kampeni kitaifa zilizofanyika jijini Dar…

Read More