Miloud Hamdi aanzia jeshini | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Yanga wanataka kuona mavitu ya kocha mpya wa timu hiyo, Miloud Hamdi wakati atakapokiongoza kikosi hicho katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya JKT Tanzania, utakaopigwa saa 10:15 jioni Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Kocha huyo aliyetua nchini kwa mara ya kwanza Desemba 30, mwaka jana kuinoa Singida Black Stars, alitambulishwa…

Read More

Joto la majimbo juu bungeni, Zungu awatuliza akitoa mbinu

Dodoma. Kadri Bunge la 12 linavyoelekea ukingoni, joto la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 linazidi kupanda, hali inayosababisha baadhi ya wabunge kutumia jukwaa la mjadala wa bajeti kujinadi kwa mafanikio ya kazi walizofanya majimboni mwao. Wengine, wakitambua ushindani unaotarajiwa, wanatumia fursa hiyo kutoa mbinu na ushauri kwa wenzao kuhusu namna ya kukabiliana na mchakato wa…

Read More

Ouma: Singida Black Stars bado kidogo tu

KOCHA Msaidizi wa Singida Black Stars, David Ouma amesema timu yao imetumika kwa asilimia 70 mzunguko wa kwanza hivyo bado wana mikakati imara mzunguko wa pili ili kufikia malengo ya kucheza michuano ya kimataifa msimu ujao. Singida Black Stars ipo nafasi ya nne kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 16 ikifanikiwa kukusanya poiti 33, imeshinda…

Read More

Dau la Ecua Yanga kiboko

YANGA imemtambulisha mmoja ya washambuliaji wapya kutoka Ivory Coast, Celestin Ecua aliyemaliza Ligi ya nchi hiyo akiwa na mabao 15 na asisti 12 na huku mtandaoni mashabiki wa klabu hiyo wanatamba, lakini ni kwamba dau lililomfanya atue Jangwani sio la kitoto. Straika huyo…

Read More

Hatima ya Sugu, Msigwa Kanda ya Nyasa ni suala la muda tu

Njombe. Wakati uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa ukifanyika leo Mei 29,2024 wajumbe na makada wa chama hicho wamejitokeza kwa wingi kushiriki hatua hiyo. Uchaguzi huo ni kuwapata viongozi wa mabaraza ikiwa ni Baraza la Wanawake (Bawacha), Wazee (Bazecha) na Vijana (Bavicha) na Mwenyekiti,  Makamu na Mweka Hazina….

Read More

Fountain Gate yaikomalia Coastal Mkwakwani

COASTAL Union imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Fountain Gate kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa Uwanja wa CCM Mkwakwani Tanga. Fountain ilikuwa ya kwanza kupata bao mwishoni mwa kipindi cha kwanza kupitia kwa Juma Abushiri ‘Chuga’ aliyepiga shuti la taratibu lililomshinda kipa wa Coastal Union, Wilbol Maseke. Hadi kipindi cha kwanza kinatamatika…

Read More

Polisi, Chadema lugha gongana kuhusu madai ya Temba

Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha limekana tuhuma za Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha ) Kanda ya Kaskazini, Gasper Temba (30), anayedaiwa kutekwa jijini Arusha. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Justine Masejo leo Jumamosi Agosti 30, 2025, imesema kuwa inamshikilia Temba kwa tuhuma…

Read More

Diarra apewa mitatu Yanga | Mwanaspoti

KIPA wa Yanga, Djigui Diarra amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho hadi mwaka 2027. Hatua hiyo imejiri katika utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi la kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao ambapo Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said alitangaza kumuongezea mkataba mpya nyota huyo. Diarra alijiunga na kikosi…

Read More

TANZANIA INAVYOTANGAZA FURSA ZAKE KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA OSAKA-2025

Na Mwandishi Wetu TANZANIA ni miongoni mwa nchi ambazo zinashiriki kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Osaka (World Expo Osaka 2025) yanayoendelea nchini Japan, ambapo pamoja na mambo mengine inatumia maonesho hayo kama fursa ya kudani vivutio mbalimbali vilivyopo nchini vikiwemo vya utalii, uwekezaji nchini Hatua inayokana na maonesho hayo kujumuisha mataifa mengi ambayo yanashiriki maonesho…

Read More