‘Utashi wa kisiasa kikwazo mabadiliko sheria ya ndoa’

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mabadiliko ya Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 hayajatekelezwa kwa sababu mbalimbali ikiwamo kukosekana kwa utashi wa kisiasa kutoka kwa baadhi ya viongozi pamoja na kuwapo kwa mila na desturi potofu kwenye jamii, imeelezwa. Mwaka 2016 Mwanaharakati, Rebecca Gyumi alishinda kesi aliyofungua mahakamani kupinga Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971…

Read More

ZEC yashtuka, yaonya makarani uandikishaji daftari la mpigakura

Unguja. Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji Aziza Iddi Suweid, amesisitiza kuwa tume haitarajii kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi waliokosa kuandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura iwapo wanakidhi vigezo. Amewataka wakuu wa vituo na makarani wa uandikishaji kuhakikisha kila mwenye sifa anapata haki yake ya kuandikishwa. Akizungumza leo Jumamosi, Februari…

Read More

EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.

 Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…

Read More