
Samia ageukia Mtwara kusaka kura, ampokea mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo
Mtwara. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea na mikutano ya kampeni ya kunadi ilani ya chama hicho na leo amewomba ridhaa wananchi wa Mkoa wa Mtwara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Samia ambaye ameanza kampeni mkoani humo leo Jumanne, Septemba…