TRAMEPRO – TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKUTANO WA WADAU WA TIBA ASILI NA TIBA MBADALA NCHINI TANZANIA

Sisi, Shirika la Dawa Asilia na Ulinzi wa Mazingira Tanzania, tunapenda kuutaarifu umma pamoja na vyombo vya habari kuwa tumeitikia rasmi mwaliko wa Wizara ya Afya kushiriki katika mkutano muhimu wa wadau wa Tiba Asili na Tiba Mbadala, utakaofanyika jijini Dodoma, Wilaya ya Chamwino, katika Mji wa Serikali Mtumba, tarehe 25 Machi 2026. Tunautambua mkutano…

Read More

Auawa akitoka msikitini, familia yataka uchunguzi

Tanga.  Tukio la mauaji ya kikatili ya Swalehe Shekanga (60), mkazi wa kijiji cha Mawei, kata ya Soni wilayani Lushoto, limeacha majonzi na hofu kubwa miongoni mwa wakazi baada ya kuuawa na watu wasiojulikana. Shekanga aliuawa kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake akitokea msikitini Machi 21, 2026, na mwili wake kukutwa Machi 22, ukiwa…

Read More

WATAALAM WA USTAWI JAMII WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Na. OWM- KAM ‎Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo amewataka wataalamu na wadau wa Ustawi wa Jamii kufanya kazi kwa weledi, uadilifu katika utendaji kazi hususani kwa watoto na wananchi wanyonge. Ameyasema hayo Machi 24, 2026 Jijini Dodoma wakati alipofungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama…

Read More

Mchengerwa aagiza waganga wa tiba asili wasiosajiliwa wabanwe

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amesema yeyote atakayejitangaza kutoa huduma za tiba sili awe amesajiliwa. Mchengerwa ametoa maagizo hayo kwenye banda la Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), alilotembelea katika mkutano wake na  watoa huduma wa tiba asili unaofanyika Dodoma leo Jumatano, Machi 25, 2026. Waziri huyo amesema lazima watu…

Read More

Auwawa kikatili akitoka msikitini | Mwananchi

Tanga.  Tukio la mauaji ya kikatili ya Swalehe Shekanga (60), mkazi wa kijiji cha Mawei, kata ya Soni wilayani Lushoto, limeacha majonzi na hofu kubwa miongoni mwa wakazi baada ya kuuawa na watu wasiojulikana. Shekanga aliuawa kwa kukatwa sehemu mbalimbali za mwili wake akitokea msikitini Machi 21, 2026, na mwili wake kukutwa Machi 22, ukiwa…

Read More

Wasiotumia mizani ya kidigitali wapewa ole

Dodoma. Vyama vya ushirika kote nchini vimeagizwa kutumia mizani ya kidigitali wakati wa kupima mazao ya wakulima, ikiwa ni hatua ya kuondoa udanganyifu na kulinda maslahi ya wazalishaji hao. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege, kupitia waraka aliowaandikia wenyeviti na wajumbe wa bodi wa vyama vya…

Read More