Ukamataji wa makandarasi waibua mjadala wa kisheria

Dar es Salaam. Baadhi ya viongozi wa Serikali wamekuwa wakitoa amri ya kukamatwa kwa makandarasi wanaodaiwa kuchelewesha utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ambapo imeelezwa hatua hiyo inakiuka misingi ya utawala wa sheria. Katika matukio mbalimbali yaliyoripotiwa, viongozi kadhaa wameonekana hadharani wakitoa maelekezo ya kuwakamata makandarasi waliochelewesha ujenzi wa barabara, shule, vituo vya afya na miradi…

Read More

Kiama wapigaji fedha za bima ya afya, NHIF kikaangoni

Dar es Salaam. Waziri wa Afya, Mohammed Mchengerwa, ametoa onyo kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na watoa huduma dhidi ya wizi, ulaghai na ubadhirifu wa fedha za bima ya afya kwa wote. Aidha, amevipa rungu vyombo vya habari kuibua changamoto za kimfumo kupitia kalamu zao, hatua zitachukuliwa pale ambapo makosa yatabainika….

Read More

KAGERA SUGAR WAICHAPA TRANSIT CAMP NYUMBANI

Kocha wa Kagera Sugar  Juma Kaseja Na Khadija Kalili, Kibaha TIMU ya soka ya Kagera Sugar ya Bukoba jana wametoka kifua mbele kwa ushindi wa magoli 2-1 dhidi ya Timu ya Transint Camp kwenye mchezo wa ligi daraja la kwanza waliocheza mwishoni mwa wiki katika Uwanja wao wa Nyumbani Filbert Bayi Mkuza Wilayani Kibaha Mkoani…

Read More

Mbunge Pinda aibana Serikali ataka barabara

Dodoma. Serikali imesema kuwa wakandarasi wa ujenzi wa barabara kutoka Tanganyika hadi Uvinza wamesharudi kwenye maeneo yao. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumatatu Februari 2, 2026 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Godfrey Kasekenya ambaye ameeleza kulikuwa na changamoto kidogo kwenye utekelezaji wa ujenzi wa mradi huo. Kasekenya ametoa kauli hiyo wakati akijibu swali la mbunge…

Read More

UZIO WA UMEME HIFADHINI SULUHISHO LA MIGOGORO BAINA YA BINADAMU NA WANYAMAPORI WAKALI

Na Saidi Lufune, Dodoma KATIKA kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa wananchi wanaozunguka hifadhi na mapori tengefu Serikali imeendelea kubuni na kutumia teknolojia mseto ikiwemo uzio wa umeme ili kuimarisha ulinzi na usalama kwa wananchi dhidi ya Tembo wanaoingia katika makazi na mashamba. Hayo yamesemwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na…

Read More