Charles Barnabas Kiongozi wa Ubia na Uhusiani wa Mradi wa masuala ya Nishati wa Services Modern Energy Cooking ambao unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la

Wanataka uamuzi wa kubadilishwa, kuonya inaweza kudhoofisha mfumo mpana wa haki za binadamu wa kimataifa. Vizuizi vilitangazwa na Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ametembelea na kukagua maboresho yaliyofanyika katika mtambo wa kuzalisha maji Ruvu Juu na kutoa maagizo kwa Mamlaka

Dar es Salaam. Benki ya NMB kwa kushirikiana na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE), wamezindua ushirikiano wa kimkakati na wa kidijitali kwa

Dar es Salaam. Kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya umeme kila siku, Serikali imetangaza kuanza kutekeleza mpango wa ujenzi wa kituo cha kuzalisha umeme wa

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Mtetezi wa Mama unatarajia kufanya Kongamano litakalowahusisha wanachama wake zaidi ya 3000 kutoka Tanzania Bara na Visiwani, lenye lengo la

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi,WF, Dar es Salaam Baraza la Masoko ya Mitaji nchini Tanzania (CMT) limetafuta ufumbuzi wa migogoro ya umiliki na kucheleweshwa

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salumu Mwalimu amesema namna pekee ya kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani siyo kusubiria mabadiliko

Capetown. Mataifa ya Afrika yametakiwa kubadili mtazamo wa kutegemea kusaidiwa na mataifa yaliyoendelea na badala yake, yajikite katika kukuza ujasiriamali kwa kuwa na mikakati thabiti

Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya pili ya Mpango