Malale aibukia KVZ, aanza na Mlandege

KLABU ya KVZ inayoshiriki Ligi Kuu Soka Zanzibar, imemtambulisha Malale Hamsini kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, huku ikielezwa anakwenda kuongeza nguvu kwa kushirikiana na Ali Khalid Omar. Katika taarifa yao, KVZ imesema: “Karibu nyumbani kwa mabingwa kocha Malale Hamsini.” Malale ametua KVZ baada ya Novemba 30, 2025 kusitishiwa mkataba kwa makubaliano ya pande mbili…

Read More

Türk alaani shambulio ‘la kuchukiza’ huko Sydney, mkuu wa UNHCR atoa wito kwa mshikamano na wakimbizi, Ukraine hivi punde – Masuala ya Ulimwenguni

Volker Türk alisema ufyatuaji risasi “mbaya” uliolenga sherehe ya Hannukah kwenye Ufuo wa Bondi ulifichua tena kwamba “chuki dhidi ya Wayahudi ni ya kweli, na ni ya kuchukiza.” Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese alisema kwamba mauaji hayo yamechochewa na “itikadi kali”. Watu wanaodaiwa kufyatua risasi waliotajwa kama Sajid Akram, 50, na mwanawe Naveed, 24,…

Read More

ALUMANUS AWATAKA WADAU MBOZI KUHAMASISHA MICHEZO/ACHANGIA MIPIRA SHULE YA MSINGI WASA

::::::::::: Wadau wa michezo wamehamasishwa kuendelea kuunga mkono sera ya michezo mashuleni hususani katika maeneo ya vijijini ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanajifunza kwa nadharia na vilevile wanapata muda wa kufanya michezo ili kuibua vipaji na kuimarisha afya zao Rai hiyo imetolewa Wilayani Mbozi mkoani Songwe na Julius Mkwesera wakati akikabidhi mipira miwili kwa niaba ya…

Read More

150 zachuana kutafuta kina Novatus wengine

JIJI la Arusha limeendelea kung’ara kwenye ramani ya soka la vijana barani Afrika baada ya jumla ya timu 150 kushiriki mashindano ya African Chipkizi Cup 2025 yanayofanyika kwa msimu wa 16 mfululizo. Mashindano hayo yanahusisha timu za vijana wa kike na kiume chini ya umri wa miaka 7, 9, 11, 13, 15, 17 na 20…

Read More