Mkali wa mabao KenGold akimbilia Namungo

KLABU ya Namungo iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa mshambuliaji wa KenGold, Joshua Ibrahim baada ya kufikia makubaliano binafsi na nyota huyo, aliyekitumikia kikosi hicho cha jijini Mbeya kwa mkataba wa miezi sita tu. Straika huyo ndiye kinara wa mabao wa wageni hao wa Ligi Kuu wanaoburuza mkia kwa sasa akiwa na…

Read More

EWURA YATOA LESENI 580 ZA BIASHARA YA MAFUTA NCHINI

               ::::::::  Hadi Machi 2025, EWURA ilitoa leseni 580 za biashara ya mafuta ambapo kati ya hizo, leseni 204 zilikuwa mpya na 376 zilikuwa zimehuishwa. Aidha, Serikali kupitia EWURA imeendelea kusimamia mkondo wa kati na chini wa Sekta ndogo ya mafuta ili kuhakikisha upatikanaji wa uhakika, usalama na ubora…

Read More

Droo ya Klabu Bingwa Dunia kufanyika leo

Droo ya mashindano mapya ya kombe la Dunia kwa ngazi ya Klabu itafanyika leo Marekani ambapo jumla ya timu 32 zitagawanywa kwenye makundi nane ya timu nne. Awali, mashindano haya yalikuwa yanafanyika kila mwaka na kushirikisha timu saba bora kutoka mabara sita (AFC, CAF, Concacaf, Conmebol, OFC, na UEFA) lakini sasa yatakuwa na timu 32…

Read More

Zaidi ya watu milioni moja wakimbia Rafah – DW – 03.06.2024

Shrika la UNRWA lilisema Jumatatu (03.06.2024) kuwa maelfu ya familia sasa wanapata hifadhi katika maeneo na miundombinu zilizoharibiwa katika jiji la Khan Younis, ambapo shirika hilo linatoa huduma muhimu licha ya changamoto zinazoongezeka. Shirika hilo limesema linafanya kazi katika mazingira magumu. Kulingana wizara ya afya ya Gaza watu wasiopungua 19 waliuwawa katika mashambulizi ya Israel usiku…

Read More

Mbeya inavyomkumbuka Sauli kwa mageuzi sekta ya usafirishaji

Mbeya. Umoja wa Wasafirishaji na Wafanyabiashara katika Stendi Kuu ya mabasi mkoani Mbeya, umesema kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila ni pigo kutokana na mageuzi aliyofanya katika sekta ya usafirishaji na kusaidia jamii. Sauli alikutwa na mauti jana Jumapili, Agosti 4 baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongwa kwa nyuma…

Read More