MCHENGERWA APONGEZA KIBAHA KWA UFAULU, ATOA MAELEKEZO MAHUSUSI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe, Mohamed Mchengerwa ameupongeza uongozi wa Shule ya Sekondari ya Kibaha kwa kuendelea kuwa na matokeo ya ufaulu mzuri huku akiwataka kutoshuka. Mhe. Mchengerwa ametoa kauli hiyo jana wakati alipotembelea shule hiyo na kukagua miundombinu ya madarasa, mabweni,maabara na baadaye kushuhudia wanafunzi waliokuwa wakijiunga na kuzungumza…

Read More

WASIRA ATOA SULUHISHO KERO YA TUMBAKU, KULIPWA MWEZI HUU

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira  Na Mariam Mkamba, Tabora MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira amewaahidi wakulima wa tambaku mkoani Tabora kuwa fedha zao za ruzuku Sh.bilioni 14 wanazodai kwa muda mrefu watallpwa mwishoni kwa Aprili mwaka huu. Wasira ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza katika mkutano…

Read More

TAKUKURU MIRERANI WATOA MSAADA WA VYAKULA LIGHT IN AFRICA

Na Mwandishi wetu, Mirerani TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kituo cha Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imetoa msaada wa vyakula kwa ajili ya kusaidia kituo cha watoto yatima na wenye uhitaji maalum wa Light In Africa. Mkuu wa TAKUKURU Mirerani, Sultan Ng’aladzi akizungumza wakati wa kukabidhi misaada hiyo ya unga, sukari, mafuta…

Read More

Balozi wa Pamba nchini alia na uzalishaji hafifu

Na Samwel Mwanga, Maswa BALOZI wa Pamba nchini, Agrey Mwanri, amesema kuwa uzalishaji mdogo wa zao la pamba kwa ekari unasababishwa na baadhi ya viongozi ambao hawatimizi wajibu wao katika kusimamia wakulima wa zao hilo kulima kwa kufuata sheria na kanuni zinazoongoza kilimo cha zao hilo. Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Wilaya…

Read More

Coastal Union yaanza na kiungo wa boli

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wameanza usajili wa kimya kimya kwa kuibomoa Ken Gold kwa kuamua kumsajili kiungo Kiala Lassa wa timu hiyo iliyoshuka daraja, ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2025-26. KenGold, imeshuka daraja na msimu ujao itashiriki Ligi ya Championship kutokana na kutokuwa na mwenendo mzuri hadi sasa, ikiburuza mkiani na pointi…

Read More

TBS YATOA ELIMU UDHIBITI UBORA KWENYE MAONESHO YA KIMATAIFA YA WAWEKEZAJI WA ZABIBU

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu kuhusu masuala ya udhibiti ubora kwa wananchi waliotembelea banda la TBS kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Wawekezaji wa Zabibu, yaliyofanyika katika Viwanja vya Mashujaa, mkoani Dodoma. Katika maonesho hayo, Afisa Udhibiti Ubora Mwandamizi (TBS) Bi. Sifa Chamgenzi ameeleza umuhimu wa viwango vya ubora katika bidhaa za zabibu,…

Read More

Unavyoweza kuwa mtu mwenye bahati maishani

Bila shaka ulishawahi kusikia watu wakisema mtu fulani ana bahati katika maisha yake, hii ni kutokana mambo mengi katika maisha yake yanaonekana kufanikiwa kwa wepesi zaidi kuliko wengine. Binafsi nilikuwa najiuliza ni kitu gani watu wamefanya hadi wanakuwa na bahati kiasi hicho, nami nilikuwa natamani sana hilo lije kutokea siku moja katika maisha yangu, niwe…

Read More