
Watu kadhaa wauawa katika shambulio la bomu huko Somalia wakitazama Euro 2024
Bomu lililotegwa ndani ya gari lilipiga mgahawa uliokuwa umejaa mashabiki wa soka wakitazama fainali ya Euro 2024 kati ya Uhispania na Uingereza mjini Mogadishu Jumapili usiku. Idadi ya watu waliofariki kutokana na mlipuko katika mgahawa mmoja katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu imepanda hadi tisa, vyanzo vya usalama vililiambia shirika la habari la AFP siku…