Wanasayansi kushiriki ajenda ya nishati safi kwa kufanya tafiti

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikitekeleza mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia (2024-2034), wanasayansi wameingia kazini kuunga mkono ajenda hiyo kwa kufanya tafiti zenye ushahidi wa kisayansi. Tafiti hizo zinalenga kubaini namna Watanzania wanavyopokea mabadiliko ya matumizi ya nishati safi, hasa matumizi ya gesi ya kupikia (LPG) katika maisha ya kila…

Read More

Simulizi ya mwalimu aliyegeukia ushonaji viatu

Sengerema. Wakati baadhi ya vijana nchini wakilia ukosefu wa ajira baada ya kuhitimu masomo katika vyuo vya kati na vyuo vikuu, kwa Anordy Theonest (25), hali ni tofauti. Alihitimu stashahada ya ualimu mwaka 2018 katika Chuo cha Ualimu Vikindi kilichopo Mkuranga mkoani Pwani, lakini muda mfupi baada ya kuhitimu akageukia ushonaji viatu kukabiliana na ukosefu…

Read More

Harris akubali kushindwa, ampongeza Donald Trump – DW – 07.11.2024

Kwanza, kama ilivyo kwa utamaduni uliozoeleka kwenye mataifa ya kidemokrasia, Bibi Harris alimpigia simu Trump kukubali kushindwa na kumpongeza rais huyo wa zamani wa Marekani kwa ushindi aloupata utakaomrejesha ikulu ya White House kwa miaka mingine minne. Kwenye hotuba yake ya kukubali kushindwa, Harris amewarai Wamarekani “kutokata tamaa” akiwataka waendelee “kupambana”. “Ingawa ninakubali kushindwa kwenye…

Read More

Netanyahu na Ikulu ya Marekani wanaendelea kutoelewana hadharani kuhusu madai ya Marekani kunyima silaha wakati Israel inapigana na Hamas.

Vita vya maneno vya hadharani kati ya Israel na Marekani viliendelea Alhamisi huku Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu akijibu moja kwa moja Ikulu ya White House baada ya utawala wa Biden kukanusha tena madai yake kwamba Marekani inainyima Israel silaha wakati wa mapambano yake huko Gaza na Hamas. Jibu lake lilikuja muda mfupi baada ya msemaji…

Read More

ZIARA YA DKT. BITEKO BUKOMBE YAWAKOSHA WAKAZI KATA NAMONGE

Waipongeza Serikali ya Rais Samia kuboresha huduma za jamii Waomba kujengewa Barabara kusafirisha mazao Dkt. Biteko aagiza kukamilishwa, kutumika Zahanati Kijiji Ilyamchele Awahakikishia ukarabati wa Barabara ipitike nyakati zote Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Wananchi wa Kijiji cha Ilyamchele, Kata ya Namonge Wilayani Bukombe wameipongeza Serikali kwa kuboresha huduma mbalimbali…

Read More