TANZANIA KUWA KINARA UTOAJI HUDUMA ZA KIMAABARA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
▪️Waziri Mavunde aweka jiwe la Msingi wa Ujenzi wa Maabara ya kisasa ▪️Ni maabara kubwa ya uchunguzi wa sampuli za madini Afrika Mashariki ▪️Kugharimu Tsh Bilioni 14.3 ▪️Rais Samia atajwa kinara wa mageuzi sekta ya madini Tanzania imeanza ujenzi wa maabara kubwa na ya kisasa ya uchunguzi wa sampuli za madini ambayo itakuwa ni kubwa…