Iliyopigwa 10 ina kazi kwa Singida Black Stars

VIBONDE wa michuano ya Kombe la Cecafa Kagame, Garde-Cotes ya Djibout ambayo imechapwa jumla ya mabao 10-0 katika mechi mbili zilizopita, itakuwa na kibarua kizito leo, Jumatatu katika kundi A cha kukabiliana na Singida Black Stars kwenye uwanja wa KMC. Garde-Cotes ndiyo timu iliyoruhusu mabao mengi zaidi msimu huu katika michuano hiyo iliyoanzishwa 1967, ilianza…

Read More

Kipa Simba ajipeleka Dodoma Jiji

BAADA ya Simba kutangaza rasmi kuachana na aliyekuwa kipa wa timu hiyo, Ally Salim inadaiwa Dodoma Jiji ilikuwa katika hatua ya mwisho ya kumbeba, japo JKT Tanzania nayo ilikuwa ikimpigia hesabu kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili usiku wa jana. Kipa huyo aliyekuwa akisubiri mbele ya Aisha Manula, kisha Moussa Camara msimu uliopita alikuwa…

Read More

Lissu kujibu shitaka la uhaini leo kwa mara ya kwanza

‎Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo anapandishwa kizimbani, Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili, kwa ajili ya usikilizwaji wa awali (preliminary hearing – PH). Kesi hiyo imepangwa kusikilizwa leo, Jumatatu Agosti 8, 2025 katika hatua hiyo  na Jaji Mfawidhi…

Read More

Kelvin ana kibarua kizito Denmark

LICHA ya kuanza vizuri msimu akiwa na timu ya Aalborg BK inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Kelvin John ‘Mbappe’ amekiri ana kibarua kizito  katika kikosi hicho kwa vile ushindani ni mkubwa kwenye nafasi anayocheza. Kelvin amefunguka hayo wakati akizungumza na Mwanaspoti ambapo aliweka wazi kuwa eneo la ushambuliaji katika kikosi…

Read More

Mechi mbili za maamuzi CECAFA

MASHINDANO ya CECAFA kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa wanawake yanaendele leo na timu mbili zitapigania nafasi ya nusu fainali, Rayon Sports ya Rwanda itakuwa kibaruani dhidi ya Top Girls ya Burundi, huku JKU ya Zanzibar ikiumana na Yei FC ya Sudan Kusini. Mashindano hayo yanayoendelea Nairobi Kenya, kwa siku 10, yanajumuisha timu tisa na…

Read More

Sapraizi Simba… Magori, Barbara waanzia hapa!

DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu uliopita, huku winga aliyekuwa akitajwa huenda angefyekwa, akisalimika kama utani. Simba iliyotangaza sura za kazi kwa kuwarejesha vigogo wa maana katika safu ya uongozi ya Bodi ya Wakurugenzi akiwamo Barbara Gonzalez,…

Read More

Mashirikiano PURA, ALNAFT kuimarisha ufanisi wa utendaji

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya Nchini Algeria (ALNAFT) kwa lengo la kujadili mashirikiano yatakayowezesha, pamoja na mambo mengine, kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo katika eneo la udhibiti wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na…

Read More