Serikali Kuangalia Upya Tozo za Tiketi za Ndege Kuelekea Bajeti Kuu
Suala la gharama za usafiri wa anga nchini limechukua sura mpya baada ya Serikali kukiri kupokea malalamiko ya wananchi kuhusu bei kubwa za tiketi ambazo zimekuwa zikionekana kama mzigo kwa Mtanzania wa kawaida. Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amebainisha kuwa, licha ya uwekezaji mkubwa unaofanywa katika ujenzi wa viwanja vya ndege nchini, nia kuu…