Urusi kuifaidisha Tanzania na kukuza ushirikiano wa kibiashara

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni ,Sanaa na Michezo Gerson Msigwa amewaalika wawekezaji kutoka nchini russia wafanyabiashara na sekta binafsi ya Urusi kuja kuchangamkia fursa nyingi ambazo bado hazijatumika Tanzania ikiwemo gesi. Akifungua mkutano baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na Russia kwenye kongamano la kibiashara ambalo limepewa jina Russia Day(Siku ya Russia).alisema kuna maeneo mengi…

Read More

Sh26 bilioni kujenga skimu ya umwagiliaji Tabora

Tabora. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imeingia mkataba na mkandarasi mzawa wa Kampuni ya Samota Limited kujenga mradi wa skimu ya umwagiliaji wa Mwamapuli, Kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga Mkoa wa Tabora wenye thamani ya Sh26.9 bilioni. Mkataba huo umeingiwa leo Jumatano, Juni 4, 2025 katika hafla iliyohudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora,…

Read More

Gharama kikwazo matibabu kwa wenye tatizo la afya ya akili

Dar es Salaam. Gharama za matibabu na unyanyapaa ni baadhi ya vikwazo vinavyotajwa kutatiza watu wenye changamoto ya afya ya akili kupata huduma za afya. Imeelezwa kuwa  wagonjwa hushindwa kugharimia huduma kutokana na ugumu wa maisha jambo linalochangia ndugu kuwatekeleza wodini kwa muda mrefu. Changamoto hizo zimeelezwa na Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Akili…

Read More

JAMII YAHIMIZWA KUOKOA MAISHA YA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO

……………………… Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam 15/09/2025 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea msaada wa shilingi milioni  250 kutoka kwa BAPS Charity Tanzania fedha  zitatumika kulipia matibabu ya moyo ya watoto wanaotoka katika familia zenye uwezo mdogo kiuchumi.   Akipokea msaada huo jana jijini Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo…

Read More

MTANDA AKEMEA KAMATI ZA SIASA NA MA-DC ,UPAMBE KWA WAGOMBEA

NA BALTAZAR MASHAKA,ILEMELA . MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza,Said Mtanda amewataka wajumbe wa kamati za siasa wakiwemo wakuu wa wilaya(Ma-DC),wasiwe wapambe wa watu kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu. Pia watumishi wa umma waweke taswira nzuri ya CCM na serikali kwa wananchi kwani kuchukiwa kwa…

Read More

Fadlu: Tupo kazini, Simba ya moto inakuja

KOCHA wa Klabu ya Simba, Fadlu Davids, amefunguka kuhusu hali ya kikosi chake, programu ya maandalizi wakiwa kambini nchini Misri, changamoto za usajili na matumaini yake kuelekea msimu mpya wa mashindano ya ndani na kimataifa. Kupitia mahojiano maalum na mtandao wa klabu hiyo upande wa Youtube, Fadlu ameeleza wanavyoijenga upya Simba, akitumia maandalizi hayo kama…

Read More