Staa wa zamani wa Bongo Fleva asimikwa kuwa mchungaji

Dodoma. Miaka kadhaa iliyopita jina la Ainea lilisikika sana kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva, akitamba na vibao vilivyotikisa redio na majukwaa ya burudani. Lakini leo, sauti hiyo iliyowahi kuwaburudisha mashabiki imegeuka kuwa chombo cha kuhubiri neno la Mungu. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Kedmon Ainea maarufu kama Ainea, sasa ameanza rasmi maisha mapya ya…

Read More

Tumaini jipya elimu kuoanishwa Afrika Mashariki

Dar es Salaam. Wahitimu wa Kitanzania, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakikabiliana na changamoto ya ajira, sasa wanaweza kuzitafuta Kenya,Uganda au kwingineko Afrika Mashariki kutokana na kuwekwa mfumo wa pamoja wa mikopo na vigezo vya pamoja vya masomo. Vivyo hivyo, mwanafunzi aliye katikati ya muhula wa masomo Tanzania anaweza kuhamia chuo kikuu nchini Rwanda au…

Read More

Muelekeo mpya ukusanyaji wa mapato

Dar es Salaam. Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi imependekeza mabadiliko katika sekta ya kodi, ikiwamo kubadili jina la Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kuitwa Huduma za Mapato Tanzania (TRS). Tume hiyo iliyoongozwa na mwenyekiti wake, Balozi Ombeni Sefue, ilianzishwa Julai 31, 2024 na kuanza kazi Oktoba 4, 2024 imekuja…

Read More

Watatu mbaroni Njombe Tuhuma za kuuza mbolea feki

Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuchakachua mbolea na kuwauzia wakulima mbolea bandia katika Halmashauri ya Mji wa Makambako, huku mfanyabiashara mmoja akitafutwa na polisi akidaiwa kuhusika katika mtandao huo. Watuhumiwa hao wanadaiwa kubadilisha mbolea aina ya Fomi na kuipakia katika mifuko ya mbolea aina ya DAP kisha…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Usanifu wa Jinsia wa Usaliti: Acha Kutokujali Wasomi – Masuala ya Ulimwenguni

Ulimwengu utakusanyika katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York kwa ajili ya Kamisheni ya Hali ya Wanawake (CSW70)– jukwaa kubwa la kila mwaka la Umoja wa Mataifa linalohusu usawa wa kijinsia na haki za wanawake. Kinachotokea hapa huathiri sheria, sera, ufadhili na uwajibikaji katika nchi na vizazi. Lengo la mwaka huu liko…

Read More

Mgambo wadaiwa kumuua raia Mwanza

Mwanza/Dar. Utata umeibuka kuhusu taarifa ya chanzo cha kifo cha Rashid Nyandonga (31), kufuatia ukinzania baina ya kinachoelezwa na Polisi Mkoa wa Mwanza dhidi ya maelezo ya familia na mashuhuda. Wakati polisi wakisema amefariki dunia baada ya kuishiwa nguvu akiwa mikononi mwa askari mgambo, familia na mashuhuda wamedai kuwa, umauti wake umesababishwa na kipigo cha…

Read More