Azam yaifuata Simba fainali Muungano

USHINDI wa mabao 5-2 ilioupata Azam FC dhidi ya KMKM, umeifanya timu hiyo kufuzu fainali ya Kombe la Muungano, michuano inayofanyika kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Azam imepata ushindi huo kupitia mabao ya Abdul Sopu dakika ya 7 na 42, huku wafungaji wengine wakiwa ni Nathaniel Chilambo (dk 9), Iddy Seleman (dk 49)…

Read More

Msaidie hivi mtoto kukabiliana na hisia

Sauda (39) ni mama wa Rahma (11) anayesoma darasa la sita. Rahma, pamoja na kuwa na uwezo mkubwa darasani, ana tabia ya kulia bila sababu za msingi. Mara nyingi hushitaki wenzake kwa makosa madogo, ambayo kwa mujibu wa mama yake, angeweza kuyashughulikia bila kulazimika kusema. Mbali na tabia hiyo ya kudeka, Rahma ana shida ya…

Read More

Talaka zinavyoathiri wanawake kumiliki ardhi Pwani-4

Katika toleo lililopita tuliangazia jinsi migogoro ya ardhi inavyoongezeka kutokana na mkanganyiko wa sheria na mianya katika usimamizi wa ardhi, huku wataalamu wakipendekeza marekebisho ya sheria na elimu ya kisheria kwa wananchi ili kupunguza migogoro hiyo. Endelea.. Kuvunjika kwa ndoa ni miongoni mwa changamoto inayotajwa kuchochea wanawake kukosa haki ya kumiliki ardhi nchini, hususani katika Mkoa…

Read More

Aliyeimyima ushindi Simba afunguka ishu mambo mazito

UKIMUONA Diarra Djigui akichezea mpira kwa mbwembwe akiwa langoni usishangae kwani alishawahi kuwa mchezaji wa ndani akitumika kama kiungo, lakini unaambiwa Hashim Omary alivishwa jezi ya kipa wa Fountain Gate na kuibania Simba jana  mjini Manyara hajawahi kudaka kokote kule kabla ya jana. Mshambuliaji huyo wa Fountain Gate alilazimika kukaa langoni baada ya kipa John…

Read More