Staa wa zamani wa Bongo Fleva asimikwa kuwa mchungaji
Dodoma. Miaka kadhaa iliyopita jina la Ainea lilisikika sana kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva, akitamba na vibao vilivyotikisa redio na majukwaa ya burudani. Lakini leo, sauti hiyo iliyowahi kuwaburudisha mashabiki imegeuka kuwa chombo cha kuhubiri neno la Mungu. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Kedmon Ainea maarufu kama Ainea, sasa ameanza rasmi maisha mapya ya…