Bado Watatu – 54 | Mwanaspoti

AKANIULIZA: “Lakini bado umesema wazi kwamba katika uchunguzi wako wa alama za vidole hukugundua kwamba mshitakiwa aliwaua hao watu?”“Uchunguzi mwingine ndio ulionyesha hivyo.”“Mimi nimekuuliza kuhusu uchunguzi wako wewe.”“Mimi sikugundua kama mshitakiwa aliua.”“Asante sana.”Wakili akakaa na kusema kuwa amemaliza maswali yake.Nikiwa nimekaa katika safu ya mbele karibu na meza za mawakili, nilijiambia kwamba wakati mwingine maswali…

Read More

Baraza la Haki za Binadamu linazingatia Iran, Syria, Venezuela – Maswala ya Ulimwenguni

Wataalam walioteuliwa na baraza walionyesha ukiukaji mkubwa wa haki za msingi nchini Irani, zilizounganishwa na maandamano maarufu kufuatia kifo cha Mahsa Amini mnamo 2022. Sara Hossein, mwenyekiti wa Ukweli wa kutafuta ukweli juu ya Iranalisema kuwa wakati wa maandamano ya amani, “watoto waliuawa na kujeruhiwa vibaya baada ya kufutwa kazi na risasi zilizo na pellets…

Read More

KenGold ndoto mpya Ligi Kuu

PAMOJA na kukubali kilichoikuta, KenGold imesema itafuatilia njia zilizotumiwa na Mtibwa Sugar na Mbeya City kuhakikisha inarejea tena Ligi Kuu, huku ikitoa msimamo kwa nyota waliosimamishwa kwa tuhuma za utovu wa nidhamu. Timu hiyo yenye maskani yake wilayani Chunya mkoani Mbeya, imeshiriki Ligi Kuu msimu mmoja na kushuka daraja na msimu ujao itacheza Championship kujitafuta…

Read More

Mawasiliano yakatika Kizangaze, kaya 22 zikiyakimbia makazi Same

Same. Mawasiliano ya barabara katika eneo la Kizangaze, Kijiji cha Mpirani, Kata ya Maore, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro, yamekatika baada ya kingo za daraja la Kizangaze kusombwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani humo. Kukatika kwa daraja hilo kumesababisha kata nne za Maore, Ndungu, Kihurio na Bendera kukosa mawasiliano. Hali hii…

Read More

Madalali wa viwanja, Silaa katika vita mpya

Dar es Salaam. Licha ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupiga marufuku uuzaji wa ardhi kupitia kampuni za madalali zenye mabango katika maeneo mbalimbali nchini, wadau wamesema hatua hiyo haitakuwa muarobaini wa utapeli na migogoro katika sekta ya ardhi. Marufuku ya uuzaji wa ardhi kupitia kampuni hizo za udalali, imetolewa jana Juni…

Read More

Wapalestina waukimbia mji wa Rafah – DW – 08.05.2024

Licha ya mayowe kutoka kwa jamii ya kimataifa kupinga mashambulio hayo ya ardhini, Israel ilipeleka vifaru vyake katika mji wa Rafah hapo jana Jumanne na wanajeshi wake wakakiteka kivuko kinachounganisha mji wa Rafah na Misri ambacho ni njia kuu ya kupitishia misaada kwenda katika eneo lililozingirwa la Palestina. Soma Pia: Guterres asema kushambulia Rafah itakuwa janga…

Read More

RC CHALAMILA ARUDISHA TABASAMU KWA MJANE BI ALICE HAULE

…………………. Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amehitimisha mgogoro wa nyumba kiwanja namba 819 Msasani beach uliomhusisha mjane wa marehemi Justice Rugaobula, Bi Alice Haule na Muhammed Mustafa Yusuf Ali ambapo amemkabidhi hati maalum iliyotolewa na wizara ya Ardhi ambayo inamtambilisha Bi Alice Haule ndiye msimamizi halali wa mirathi kisheria baada…

Read More

Vaibu Yanga Mzize akirejea kupiga mzigo 

KULE Malawi wiki iliyopita, Yanga ilisafiri ikiwa na mshambuliaji wake hatari, Clement Mzize, lakini hakucheza dhidi ya Silver Strikers katika mechi ya awali ya mkondo wa pili wa kuwania kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mzize alisafiri akiwa na kikosi hicho ambacho kilipoteza ugenini kwa bao 1-0, na kilichoelezwa ni kwamba nyota…

Read More