MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA

 :::::::::  Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya kaulimbiu ya “Kuibua Uvumbuzi wa Pamoja na Afrika.” Mkutano huo ulifungwa rasmi na Waziri…

Read More

CMSA YAJIVUNIA KUWEKA ALAMA YA MAFANIKIO KATIKA MAENDELEO YA MASOKO,YAZINDUA MAUZO STAWI BOND

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA. Nicodemus Mkama amesema Tanzania imeweka alama kubwa ya mafanikio katika maendeleo ya masoko ya mitaji huku thamani ya uwekezaji katika masoko ya mitaji imeongezeka kwa asilimia 75.25.Ongezeko hilo hadi Agosti mwaka huu 2025 imefika Sh.trilioni 55.45 kutoka Sh. trilioni 31.64 Agosti 2021 na…

Read More

Mbele ya Wiki ya Mkutano Mkuu wa hali ya juu, Guterres anawasihi viongozi wa ulimwengu ‘kupata uzito-na kutoa’-maswala ya ulimwengu

Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya UN Jumanne huko New York, alionya kwamba mgawanyiko wa ulimwengu, mizozo na machafuko yameacha kanuni ya ushirikiano wa kimataifa kwa hatua yake dhaifu katika miongo. “Wengine huiita Kombe la Dunia la diplomasia,” Bwana Guterres alisema. “Lakini Hii haiwezi kuwa juu ya alama za kufunga…

Read More

Panga la CCM lafyeka nusu ya wabunge

Dar es Salaam. Zaidi ya nusu ya wabunge waliomaliza muda wao katika majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), hawatakuwa sehemu ya Bunge lijalo, baada ya kukwama katika michakato ya ndani ya uteuzi wa chama hicho. Katika michakato hiyo ya uteuzi, iliyofanywa na Kamati Kuu (CC) na hatimaye Halmashauri Kuu ya chama hicho (NEC), wabunge 133,…

Read More

Zingatia haya kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha

Kila siku tunafanya uamuzi wa kifedha ambao ni sehemu muhimu ya safari ya kila mtu katika kuendesha maisha na pia kuelekea ustawi wa kifedha. Hata hivyo, watu wengi mara nyingi hupuuzia umuhimu wa kupanga, kufanya utafiti, na kulinganisha watoa huduma au bidhaa kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha. Tabia hii inaweza kusababisha matumizi yasiyo ya…

Read More