Meridian Bonanza Yaleta Nguvu Mpya ya Ushindi Meridianbet

Global Publishers March 22, 2026 0 Comments Soko la michezo ya kubashiri limepata burudani mpya inayotikisa anga la ushindi, Meridian Bonanza. Mchezo huu umeingia kwa kishindo ukiwaletea wabashiri msisimko, ubunifu na fursa kubwa za kushinda. Kwa yeyote anayependa kubashiri na ndoto ya kuona ushindi wa uhakika, Meridian Bonanza ni mchezo wa kucheza na kushuhudia ushindi…

Read More

Tume ya haki za binadamu yachunguza vurugu kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Madai ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kushambuliwa wanachama wake na Polisi wakiwa Mahakama Kuu walipokwenda kuhudhuria kesi ya uhaini ya Mwenyekiti wao, Tundu Lissu, yameisukuma Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) kuanzisha uchunguzi. Chadema, katika taarifa yake ya Septemba 15, 2025, imelaani kitendo cha Jeshi la Polisi…

Read More

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 ,MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AVIFUNDA VYAMA VYA SIASA HANDENI

  Na; Mwandishi Wetu – Handeni Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imevitaka vyama vyote vya siasa katika Wilaya ya Handeni kuhakikisha vinazingatia kanuni, taratibu na sheria zilizowekwa wakati wa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani, uwazi na kwa mujibu wa sheria. Akizungumza katika kikao kazi na wawakilishi…

Read More

Ligi Kuu yaipa jeuri Yanga, yatoa kauli ya kutisha

UMEIONA ratiba ya Ligi Kuu Bara? Basi bingwa mtetezi Yanga imeiona kisha bosi mmoja mzito wa klabu hiyo, ametoa tamko, wako tayari kwa msimu huku akiringia hesabu walizonazo kutokana na kikosi hicho kinachoendelea kujifua kwa sasa kambini Avic Town, Kigamboni Dar es Salaam. Bosi aliyeyasema hayo ni Rodgers Gumbo, akiliambia Mwanaspoti wameipokea ratiba ya ligi…

Read More

KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More

Polisi walivyoyazima maadhimisho ya Chadema

Dar/Mikoani. Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hayakufanyika, baada ya viongozi wake wa ngazi ya kanda kujikuta mikononi mwa polisi, huku wengine wakizuiliwa kufika eneo la tukio. Hata hivyo, alipotafutwa Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, kuzungumzia matukio hayo, simu yake iliita bila kupokelewa, na hata alipotumiwa…

Read More