Wafanyabiashara Makambako wapewa wiki moja kuhamia Soko la Kiumba

Njombe. Wafanyabiashara wa mazao katika Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wamepewa siku saba kuanzia leo kuondoka maeneo yasiyo rasmi na kuhamia Soko la Kiumba lililojengwa maalumu kwa ajili yao. Agizo hilo limetolewa leo Jumanne Julai 16, 2024 na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako, Keneth Haule wakati akizungumza na wafanyabiashara hao.  Wafanyabiashara…

Read More

TANZANIA NA CHINA ZASISITIZA KUKUZA USHIRIKIANO

Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuongeza ushirikiano wa kimaendeleo kupitia ziara mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa juu wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kidiplomasia ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo, Baba wa Taifa Hayati, Mwl. J.K. Nyerere wa Tanzania na Mwenyekiti Mao Zedong wa China. Msisitizo huwa umetolewa wakati Naibu…

Read More

Kesi za Ulimwenguni zinaongezeka kama watoto milioni 30 wanakosa chanjo, shirika la afya la UN linaonya – maswala ya ulimwengu

Viongozi walisema milipuko ya ulimwengu inaongeza kasi kwani mamilioni ya watoto wanabaki chini ya miaka iliyofuata ya miaka ya COVID 19 Usumbufu unaohusiana na janga. “Vipimo vinabaki kuwa moja ya virusi vya kupumua vinavyoambukiza zaidi,“Alisema Dk Kate O’Brien, WHOMkurugenzi wa chanjo, chanjo na biolojia. “Mtu mmoja anaweza kuambukiza hadi wengine 18. Watu wengi hufikiria surua…

Read More

DC Mpogolo asisitiza usimamizi wa maadili kwa wanafunzi

Dar es Salaam. Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amewataka walimu ndani ya wilaya hiyo kusimamia suala la  maadili ya wanafunzi. Amesema walimu wanapaswa kusimamia suala la maadili kuanzia mavazi wanayovaa na tabia za wanafunzi hao, ambapo wapo baadhi yao wanatembea na vitu vyenye nchi kali zikiwamo bisibisi. Kauli hiy inakuja ikiwa ni wiki…

Read More

Mama wa bosi Alliance afariki kabla ya kumuaga mwanaye

Katika hali isiyo ya kawaida mama mzazi wa aliyekuwa mmiliki na mkurugenzi wa Kituo cha Michezo cha Alliance kilichopo jijini Mwanza, James Bwire, aliyefariki dunia Januari 25, 2025 naye amefariki. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Ijumaa, Januari 31,2025, Mwenyekiti wa Kituo cha Alliance, Stephano Nyaitati amethibitisha kifo cha mama mzazi wa Bwire aitwaye Nchagwa Manga….

Read More