
Polisi yaeleza sababu ya kuwashikilia waandishi wawili Arusha
Arusha. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linawashikilia waandishi wa habari wawili kwa tuhuma za kuendesha televisheni za mtandaoni (online TV) ambazo hazijasajiliwa kisheria. Waandishi hao ni Baraka Lucas, anayefanya kazi na Jambo TV, na Ezekiel Mollel wa Manara TV. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa leo, Jumapili, Septemba 7, 2025, na Msemaji Mkuu wa…