Kichanga chatupwa kichakani, chaokolewa na mpita njia

Tabora. Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na saa chache baada ya kuzaliwa, ametupwa kichakani eneo ya Ipilili, Kata ya Nzega Magharibi, Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, akiwa amefungwa kwenye kiroba. Akizungumza kwa njia ya simu na Mwananchi leo Februari 27, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethitibisha kutokea kwa tukio hilo, akisema wanaendelea…

Read More

Mgombea wa CCM ashinda ubunge Peramiho

Songea. Mgombea ubunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Lazaro Bunungu ameshinda katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Peramiho, kwa kupata kura 69,002 kati ya kura 79,720, sawa na asilimia 87 ya kura zote zilizopigwa. Akitangaza matokeo hayo, msimamizi wa uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Peramiho, Exavery Luyagaza amesema kwa mamlaka aliyopewa kwa…

Read More

Mgogoro stendi ya daladala Buza wachukua sura mpya

Dar es Salaam. Mgogoro wa stendi ya daladala katika eneo la Buza, Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, umeingia hatua mpya baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Temeke kuingilia kati na kuagiza kurejeshwa kwa huduma katika stendi zilizokuwa zikitumika awali, huku uchunguzi wa kina ukianza mara moja. Mkuu wa Takukuru…

Read More

Watuhumiwa wa uchochezi watoweka baada ya dhamana, wasakwa

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limefafanua madai yanayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kupotea kwa watuhumiwa wanne wanaodaiwa kushikiliwa na jeshi hilo, likisisitiza kuwa, hakuna aliyepotea mikononi mwa polisi, bali baadhi yao wanatafutwa kwa kuvunja masharti ya dhamana na tuhuma za mauaji. Akizungumza na waandishi wa habari Februari 26, 2026 ofisini kwake Kamanda…

Read More

Pedro, Barker jeuri ipo hapa

IMEBAKI muda usiozidi saa 48 kabla ya Dabi ya Kariakoo haijapigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja, huku makocha wa Yanga na Simba kila mmoja ni kama ana jeuri ya kujivuni jeshi lake katika kumpa furaha huko Zanzibar. …

Read More

Dube aanika ukweli wa mabao yake

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube amesema hashindani na mtu bali anashindana na rekodi zake mwenyewe ndani ya ligi sambamba na kufikia mafanikio ya mataji akiwa ndani ya timu hiyo. Dube amefunguka hayo baada ya kupachika bao lake la tano msimu huu likiwa ni la 18 kwake kwenye mechi 25 za ligi alizocheza tangu amejiunga na…

Read More

Namba zambeba Depu, amfunika Sowah

STRAIKA mpya wa Yanga, Laurindo Dilson Aurelio ‘Depu’ ameendelea kudhihirisha sio mtu wa mchezo mchezo kutokana na kasi yake ya ufungaji mabao Ligi Kuu Bara, akifunika mastaa kadhaa waliowahi kusajiliwa dirisha dogo na kutisha kwa kutupia mipira kambani. …

Read More