Othman afanya mazungumzo ya amani kuelekea uchaguzi mkuu

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (Jumaza), ikiwa ni mwendelezo wa kuhamasisha amani nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mazungumzo hayo yaliyofanyika leo, Septemba 7, 2025, ukumbi wa Jamat-Khan Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, yameonesha Othman akisisitiza kwamba…

Read More

Makapu mzuka mwingi Mbuni FC

KIUNGO mkabaji wa zamani wa Yanga, Said Juma ‘Makapu’ ametua Mbuni FC kwa mkataba wa miezi sita, huku akisema anatarajio ya kufanya makubwa akiwa na timu hiyo kwa vile ameshaizoea Ligi ya Championship inayoshiriki timu hiyo. Kiungo huyo wa zamani wa timu ya taifa, Taifa Stars msimu uliopita aliichezea Geita Gold katika Ligi ya Championship…

Read More

APR, KMC zajiweka pazuri CECAFA Kagame Cup

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR na vijana wa Kinondoni, KMC zimejiweka pazuri kutuinga nusu fainali kutokana na kushinda mechi mbili za kwanza za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam. Jana Jumamosi, KMC ilichomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bumamuru ya Burundi, likifungwa na…

Read More

Mtanzania asalia Misri mwaka mmoja

MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto, amesema ameamua kusalia klabuni hapo kwa msimu mmoja ili kusikilizia ofa za Ligi Kuu nchini humo ambazo hazikufikiwa awali. Huu ni msimu wa pili kwa mshambuliaji huyo kuitumikia Makadi. Msimu uliopita alicheza miezi sita akitokea Mlandege na aliwahi kupita Paje Star ya Zanzibar na Lipuli U-20. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

MDM yaita wenye makovu kwenye njia ya mkojo

Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Mfumo wa Mkojo na Uzazi ya MDM ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeandaa kambi maalum endelevu kuanzia tarehe 8 Jumatatu kwaajili ya matibabu ya maradhi ya mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Dk Mathias Kimolo ambaye ni daktari bingwa…

Read More

Mtemvu azindua kampeni za Zungu Ilala

MWENYEKITI WA Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abass Mtemvu,amesema wamejipanga vyema kuhakikisha MgombeaUrais Dk.Samia Sukuhu Hassan anapata kura za kishindo mkoani humo. Ameyasema alipokuwa akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan Zungu alipo zindua kampeni za CCM katika jimbo la Ilala,Dar es Salaam, Jana. Mtemvu alisema Rais DK. Samia, amefanya mambo makubwa ya utekelezaji…

Read More

KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA ZAZINDULIWA RASMI LEO

Kampeni za Ubunge katika Jimbo la Mchinga, Kata ya Rutamba, zimezinduliwa rasmi leo kwa kushirikisha viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa, kampeni hizo zimezinduliwa rasmi kupitia Mbunge wa Jimbo hilo, Mama Salma Kikwete, akiambatana na mumewe, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, pamoja na wabunge kutoka…

Read More

Kilimo cha viungo chapata msukumo mpya

Nairobi. Wakulima wa mazao ya viungo Tanzania wamepata neema mpya kufuatia uamuzi wa kampuni ya Aavishkaar Capital kuwekeza Dola milioni 5 za Marekani (Sh12.5 bilioni) kwa ajili ya ukuzaji na uchakataji wa mazao hayo ili kukidhi mahitaji ya soko. Katika hafla ya kuelezea mpango huo mwishoni mwa wiki hii, ilielezwa kuwa fedha hizo zitawasaidia wakulima…

Read More