Mtanzania ana kibarua michuano ya Ulaya

CHAMA la Mtanzania, Sabri Kondo anayekipiga BK Hacken ya Sweden, Alhamisi hii watakuwa na kibarua cha kutafuta pointi tatu mbele ya Shelbourne FC ili kutafuta nafasi ya kufuzu michuano ya UEFA Conference League. Kondo alisajiliwa msimu huu akitokea Coastal Union, alipoitumikia kwa mkopo wa msimu mmoja akitokea Singida Black Stars. Chama hilo linatafuta nafasi ya…

Read More

Kaizer Chiefs, Nabi shughuli imeisha

Taarifa kutoka Afrika Kusini zinabainisha kuwa, Kaizer Chiefs imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha wake, Nasreddine Nabi. Ripoti mbalimbali zilizochapishwa na vyombo vya habari nchini humo zinabainisha sababu ya Kaizer Chiefs kufikia uamuzi huo ni baada ya kubainika Nabi leseni yake ya ukocha ya CAF imekwisha muda wa matumizi, hivyo kumfanya asikubalike kuongoza timu…

Read More

Askofu Novatus Rugambwa afariki dunia Roma

Askofu Mkuu, Novatus Rugambwa, Mtanzania aliyewahi kuhudumu kama Balozi wa Baba Mtakatifu katika nchi mbalimbali duniani amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu huko Roma, Italia. Askofu Mkuu Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16, 2025 akiwa Roma,  alikokuwa akiishi baada ya kustaafu utumishi wake wa kidiplomasia. Askofu huyo alizaliwa Oktoba 8, 1957 mkoani Kagera na kuwekwa…

Read More

Chadema kugharamia elimu watoto wa marehemu Nyalusi

‎Iringa. Katika hatua inayoonyesha mshikamano wa kijamii na kisiasa, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeamua kugharamia masomo ya watoto wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Iringa Mjini, marehemu Frank Nyalusi. Akizungumza leo Jumatatu, Septemba 22, 2025, katika ofisi za chama hicho zilizopo Veta Manispaa ya Iringa, Katibu wa Chadema Kanda ya Serengeti, Jackson…

Read More

Alitekwa nyara na kuteswa kwenye njia mbaya ya uhamiaji hadi Saudi Arabia – Masuala ya Ulimwenguni

Wakati Jamal, mwanamume Mwethiopia mwenye umri wa miaka thelathini na mapema, alipofunga njia inayojulikana kama njia ya mashariki, hakuwa akifuata kazi, mali, au cheo. Alikuwa akimtafuta mpwa wake mwenye umri wa miaka kumi na sita, ambaye alitoweka alipokuwa akijaribu kufika Saudi Arabia kupitia mojawapo ya korido hatari zaidi za uhamiaji duniani. Kila mwaka, makumi ya…

Read More

Wasiotumia mizani ya kidigitali wapewa ole

Dodoma. Vyama vya ushirika kote nchini vimeagizwa kutumia mizani ya kidigitali wakati wa kupima mazao ya wakulima, ikiwa ni hatua ya kuondoa udanganyifu na kulinda maslahi ya wazalishaji hao. Agizo hilo limetolewa mwishoni mwa wiki na Mrajisi wa Vyama vya Ushirika, Dk Benson Ndiege, kupitia waraka aliowaandikia wenyeviti na wajumbe wa bodi wa vyama vya…

Read More

Sillah ashindwa kujizuia kwa Tepsie

WINGA wa zamani wa Azam FC, Gibril Sillah ameshindwa kujizuia na kummwagia sifa nyota wa timu hiyo, Tepsie Evans akisema makali na kipaji kikubwa alichonacho kitakuwa msaada mkubwa kwa kikosi hicho baada ya kuondoka kwake. Azam chini ya kocha Florent Ibenge imekita kambi jijini Kigali, Rwanda kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na imecheza…

Read More

Faida za Maji ya Nazi kwa Wagonjwa wa Gauti Unazopaswa Kujua

Gout ni ugonjwa wa kimetaboliki unaosababishwa na kuongezeka kwa kiwango cha asidi ya uric (uric acid) kwenye damu. Asidi hii ikizidi, hutengeneza fuwele ndogo zinazojikusanya kwenye viungo, hali inayosababisha maumivu makali, uvimbe na joto kwenye viungo, hasa vidole vya miguu, magoti na vifundo. Kwa mujibu wa Dkt. Nguyen Anh Duy Tung kutoka Kliniki ya Lishe…

Read More