Maboresho mifumo ya kodi yanukia

Dar es Salaam. Machungu yanayowakabili wafanyabiashara huenda yakapata mwarobaini, baada ya Serikali kutangaza mpango wa kuunda kamati ya maboresho ya mifumo ya kikodi. Kamati hiyo itakayoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhusisha wajumbe kutoka sekta ya umma na binafsi, inatarajiwa kuja na mapendekezo yatakayofumua mifumo ya kikodi itakayohusisha sera na sheria. Msingi wa kuundwa…

Read More

TPDC Yajipanga Kupanua Vituo vya CNG Kukabiliana na Uhitaji

SHIRIKA la Petroli Tanzania (TPDC) limetoa ufafanuzi juu changamoto iliyojitokeza hivi karibuni ya kuwepo kwa msongamano wa magari kwenye vituo vya kujazia gesi ya CNG vilivyosababishwa na changamoto ya hitilafu ya umeme kwenye kituo cha Uwanja wa ndege Akizungumza na waandishi wa habari leo Octoba 3,2024 Kaimu Mkurugenzi wa biashara ya petroli na gesi Emmanuel…

Read More

Wadau wajadili mabadiliko ya ufadhili, mwelekeo wa utekelezaji Dira 2050

Dar es Salaam. Wadau wa Maendeleo Tanzania wamefanya mkutano wa pamoja kujadili juu ya mabadiliko ya mazingira ya ufadhili na uwekezaji katika miradi ya maendeleo na hatua zinazohitajika kufanikisha utekelezaji Dira ya Maendeleo 2050. Majadiliano hayo yanafanyika wakati ambao Tanzania na mataifa mengine wanakabiliwa na upungufu wa fedha za misaada ambazo awali zilikuwa zikitumika kutekeleza…

Read More

CCM YAFURAHIA WAFANYAKAZI 350 WANAOENDELEA KUFANYA KAZI NA DP WORLD, HAKUNA ALIYEFUKUZWA

Na Said Mwishehe Michuzi TV CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama CPA Amoss Makala kimepongeza uwekezaji mkubwa uliofanyywa na Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam sambamba na uwekezaji  wa DP World ambao umewezesha kumalizwa kwa msongamano wa kontena bandarini. Akizungumza leo Agosti 28,2024 alipofanya ziara ya kutembelea Bandari…

Read More

Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

Geita. Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali…

Read More

Baa, gesti mitaani zinavyovuruga maadili

Dar/Mikoani. Kwa muda mrefu, kumekuwapo mjadala kuhusu kuporomoka kwa maadili, hususan ya vijana nchini, hali inayochangiwa na kuwapo mwingiliano wa mambo katika mazingira ya kijamii, kiuchumi, kisiasa na kiteknolojia. Miongoni mwa hayo ni mabadiliko ya kijamii, ikiwamo mifumo ya malezi, ambayo wazazi wengi hivi sasa ni kama hawana muda wa kuwa karibu na watoto wao…

Read More

Airtel Tanzania; Ushirikiano baina ya sekta binafsi na umma kuchochea Ukuaji Endelevu wa Kidijitali

Na Mwandishi Wetu USHIRIKIANO wa kimkakati kati ya sekta binafsi na umma unatambuliwa zaidi kuwa ni chombo muhimu kwa kufanikisha faida za muda mrefu kitaifa. Kwa kutumia ufanisi na ubunifu wa sekta ya mawasiliano sambamba na usimamizi bora wa serikali katika majukumu ya kimaendeleo, ushirikiano kama huu unaharakisha uwekezaji katika miundombinu, kuboresha utoaji wa huduma…

Read More

Kibonde: Kila Mtanzania atapanda ndege

Dar es Salaam. Kupanda ndege imekuwa ni ndoto ya kila mtoto. Hata hivyo, baadhi yao wanakuwa watu wazima bila kupanda usafiri huo kutokana na changamoto za kipato kitakachowawezesha kusafiri kutoka eneo moja kwenda jingine kwa haraka. Mgombea urais wa Demokrasia Makini (Makini), Coaster Kibonde ameahidi kutimiza ndoto ya Watanzania wengi kwa kufanya usafiri wa ndege…

Read More