Waumini Wajitokeza Kumuaga Kardinali Pengo Katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu – Video

Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Waumini na viongozi mbalimbali wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa Polycarp Pengo katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu jijini Dar es Salaam. Ibada ya kuaga imeambatana na huzuni, vilio na sala maalum za kumuombea marehemu, huku waumini wakikumbuka mchango wake mkubwa katika kuliongoza Kanisa Katoliki na kulihudumia taifa…

Read More