WAZIRI SIMBACHAWENE KUBADILISHA MAISHA YA WANANCHI WA KIBAKWE KWA KUJA NA MKAKATI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene amewataka wananchi wa Kibakwe kuendesha kilimo cha biashara kwa kutumia miundombinu ya umeme iliyopo huku akiwaahidi kuwaletea mradi mkubwa wa kimkakati wa umwagiliaji. Mhe. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wananchi kwa…

Read More

Dakika 20 zinavyoweza kuokoa macho yako

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Macho leo, Oktoba 9, 2025 matumizi ya vifaa vya kielektroniki ikiwemo simu yametajwa kutishia usalama wa macho, huku wataalamu wa afya wakipaza sauti wakitaka Serikali ichukue hatua za haraka ili kunusuru hali mbaya inayoweza kujitokeza katika miaka michache ijayo na kulinda afya ya macho. Matumizi hayo ya…

Read More

Mtanzania anakitaka kiatu Misri | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Oscar Evalisto anayekipiga Makadi FC amesema mipango yake msimu huu ni kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwenye ligi hiyo. Hadi sasa mshambuliaji huyo amecheza mechi tatu akifunga mabao matatu na asisti moja akiisaidia timu hiyo kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi. Akizungumza na Mwanaspoti, Evalisto amesema anatamani ananyakue tuzo hiyo…

Read More

Kocha Minziro awatuliza mashabiki Pamba Jiji 

LICHA ya Pamba Jiji kushindwa kukusanya pointi za kutosha katika mechi kumi ilizocheza hadi sasa katika Ligi Kuu, kocha wa Pamba Jiji, Fred Felix ‘Minziro’ amesema kuna mabadiliko makubwa ndani ya kikosi hicho akiamini muda mfupi ujao kila kitu kitabadilika na watu kusahau machungu. Minziro ameiongoza Pamba Jiji kwenye mechi mbili kati ya kumi zilizochezwa…

Read More

MERIDIANBET YAUNGANA NA DUNIA NZIMA KUPINGA UKATILI KWA WANAWAKE

LEO hii tarehe 25 Novemba Meridianbet inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake Kupitia Kampeni yao ya “PINGA UKATILI, SIMAMA NA MWANAMKE” Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet, imeungana na dunia nzima kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, inayofanyika kila mwaka tarehe 25 Novemba ambapo katika kuadhimisha siku hii…

Read More

WASTAAFU WAASWA KUWA MAKINI NA MATAPELI

Afisa Mkuu Mwandamizi Idara ya Uendeshaji wa Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro akitoa elimu ya kujipanga kuhusu maisha ya kustaafu iliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa. Na. Eva Ngowi, WF, Rukwa Serikali imewaasa Wastaafu na Wastaafu watarajiwa kuwa makini na matapeli, kuanzisha biashara wasizokuwa na uzoefu…

Read More

Usafiri wa anga ni kichocheo cha ukuaji uchumi-DK.Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema sekta ya utalii ina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa nchi kupitia usafiri wa anga ambao ni kichochea kikuu cha ukuaji wa uchumi. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipofungua Kongamano la sita la usafiri wa anga Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Hoteli…

Read More

Sera ya ndani na ya kigeni ya Trump inakataa ajenda yake ya “Amerika ya kwanza” – maswala ya ulimwengu

Mikopo: WMO/Karolin Eichier. Habari za UN Maoni na Alon Ben-meir (New York) Jumatano, Februari 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Februari 05 (IPS) – Katika chini ya wiki mbili ofisini, Trump alitoa alama za maagizo ya mtendaji ambayo kwa kweli itadhoofisha badala ya kuongeza ajenda yake ya “Amerika ya Kwanza” na uongozi…

Read More