Wanaojifungua wahimizwa kutumia kikamilifu likizo ya siku 90

Dar es Salaam. Wanaojifungua  nchini wamehimizwa kutumia kikamilifu muda wa mapumziko wa miezi mitatu baada ya kujifungua ili waweze kuwa karibu na watoto wao katika kipindi muhimu cha mwanzo wa maisha. Wito huo umetolewa wakati kukibainika baadhi ya wanawake, hasa walioajiriwa katika sekta binafsi na wanaojiajiri, wamekuwa wakirudi katika shughuli zao za kazi mapema kabla…

Read More

Deusdedity Okoyo mbioni kujiunga na Mbeya City

UONGOZI wa Mbeya City upo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa Deusdedity Okoyo aliyekuwa akiichezea KMC msimu uliopita ili kuongeza nguvu kwenye eneo la kiungo cha kati. Kama uhamisho wa Okoyo utakamilika atakutana na ushindani wa wachezaji wengine wanaotajwa kujiunga na kikosi hicho Omary Chibada anayedaiwa kutokea Kagera Sugar, Jeremie Ntambwe Nkolomoni ambaye ni…

Read More

TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI YA TAIFA GROUP KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA HIVI KARIBUNI

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi wa Taifa Group Limited (“Taifa Group”) tunapenda kukanusha kwa dhati na kwa uwazi tuhuma zisizokuwa na msingi zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu tanzu za Tancoal Energy Limited (TANCOAL) na Williamson Diamonds Limited (WDL) Tuhuma hizo zinahusu ununuzi wa hisa katika Tancoal na WDL.  Madai hayo…

Read More

Sasisho la kibinadamu la Gaza, mauaji zaidi huko Sudani, na kumaliza kutokujali nchini Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Migomo mingi mara moja hadi Ijumaa iliripotiwa katika Jabalya al Balad na vitongoji vya Nazla, Ofisi ya UN kwa Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu (Ocha) alisema katika yake Sasisho la hivi karibuni. Kama matokeo, karibu watu 900 waliripotiwa kukimbia kuelekea kitongoji cha Sheikh Radwan na Jiji la Gaza Magharibi. Kifungu salama, misaada zaidi UN na…

Read More

Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar

Unguja. Huenda mwarobaini wa kata, washa ya umeme, ikapatikana baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwekeza Sh800 bilioni katika miundombinu hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia waya za baharini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Kwa upande wa Unguja, zipo waya mbili, moja ya megawati 45 iliyowekwa mwaka 1980 na imeshatumika hadi kufikia asilimia…

Read More

Mzigo Mkubwa Upo Meridianbet Leo

JUMATANO ya kibabe hii hapa ambapo leo ni siku ya kupiga mkwanja wa maana na wakali wa ubashiri Meridianbet kwani mechi nyingi za kukupatia pesa zipo. Suka jamvi lako la ushindi siku ya leo. Mechi za Carabao leo hii Everton atamleta kwake Mansfield Town ambao wanakipiga League One kule Uingereza. Everton wao wapo EPL huku…

Read More

Mtumbuka: Ni muda wa kung’ara Tanzania Prisons

BAADA ya kushindwa kung’ara msimu uliopita akiwa na kikosi cha Mashujaa, winga Emmanuel Mtumbuka amesema ni wakati wa kufanya vizuri na kuonyesha uwezo wake baada ya kutimkia Tanzania Prisons ya Mbeya. Mtumbuka aliyedumu Mashujaa kwa mwaka mmoja baada ya kujiunga nayo msimu uliopita akitokea Stand United ya Shinyanga, alishindwa kupata uhakika wa namba na sasa…

Read More

Polisi yawatawanya Bawacha kwa mabomu ya machozi Musoma

Musoma. Polisi Mkoa wa Mara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi na wanachama wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), waliokuwa wanajaribu kukusanyika kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Awali, Bawacha walipanga kufanya maadhimisho hayo kitaifa mjini Musoma leo Jumapili, Machi 8, 2026 kabla ya Jeshi la…

Read More

Opah tumaini jipya Hispania | Mwanaspoti

SD Eibar ya Ligi ya Wanawake Hispania imeboresha eneo la ushambuliaji kwa ajili ya msimu huu ikimsajili nyota wa Kitanzania, Opah Clement ambaye ana rekodi nzuri Ulaya. Opah kabla ya kujiunga na timu hiyo msimu uliopita aliichezea FC Juarez ya Mexico lakini hakuwa na msimu mzuri alicheza mechi sita bila kufunga bao wala asisti. Lakini…

Read More