Grayson Msingwa: Hatutavumilia Matumizi Mabaya ya Usajili wa Meli – Video
Global Publishers February 27, 2026 0 Comments Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa Serikali imethibitisha kuwa meli iliyokamatwa nchini El Salvador ilikuwa imesajiliwa Tanzania kupitia upande wa Zanzibar, huku ikieleza kuwa tayari hatua za kisheria na kiutawala zimechukuliwa. Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Serikali, Grayson Msingwa, amesema tukio hilo lisitumike kuichafua nchi kwani meli…