Historia ya Karimjee Hall na Familia Iliyochangia Uhuru wa Tanganyika
Global Publishers February 27, 2026 0 Comments UKUMBI wa bunge uliokuwa unatumika jijini Dar es Salaam kabla ya kuhamia Dodoma unaitwa Karimjee Hall. Kwa kifupi, majina hayo yanatokana na familia ya Karimjee ya Madhehebu ya Bohra, iliyoongozwa na Jivanjee Budhabhoy mwaka 1825, iliyotoka huko Cutch Mandvi, India na kuja Afrika Mashariki na hatimaye kuishi Zanzibar….