Tuimarishe Lishe, Tupunguze Magonjwa Sugu

…………… NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM KATIBU Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi amewataka wadau kushirikiana na Serikali katika kuimarisha hali ya lishe nchini ili kupunguza kasi ya kuenea kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Amesema ulaji usio faa na mitindo mibaya ya maisha vimechangia kuongezeka kwa magonjwa…

Read More

La Niña Inafifia, Wataalamu wa WMO Wanaonya Kwamba El Nino Inaweza Kuweka Rekodi Mpya za Joto Ulimwenguni – Masuala ya Ulimwenguni

Shule ya Bula Central mjini Bula, Camarines Sur, Ufilipino, imesalia na mafuriko wiki moja baada ya Tropical Storm Trami kuleta mvua kubwa na upepo mkali katika sehemu kubwa ya nchi mnamo 2024. Mifumo ya hali ya hewa kali kama hii inaonyesha aina ya hatari za hali ya hewa zinazohusishwa na ongezeko la joto la bahari…

Read More

Wanawake wa TRA Morogoro Wawafariji Watoto Yatima na Wazee

Kuelekea ya Siku ya Wanawake Duniani, wanawake wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Morogoro wametembelea na kutoa msaada katika kituo cha kulelea watoto yatima  RAYA, MGOLOLE  pamoja na kituo cha kulelea wazee cha Fungafunga kilichopo Manispaa ya Morogoro. Ziara hiyo imelenga kuonyesha upendo, mshikamano na kuwafariji watoto pamoja na wazee wanaohitaji msaada katika…

Read More

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote wa baraza la mawaziri katika hatua ya kushtukiza. Taarifa kutoka kwa msemaji wake imesema serikali imeacha rasmi kutekeleza majukumu yake, huku Randrianirina akitarajiwa kumteua Waziri Mkuu mpya na…

Read More

Jua tofauti za mitazamo kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Kwa muda mrefu, wanaume na wanawake wamekuwa na mitazamo tofauti kuhusu namna wenzao wanavyofikiri, kuhisi na kutenda. Mitazamo hii mara nyingi imejenga vichekesho, mshangao, migogoro na wakati mwingine kutoelewana katika uhusiano. Wanawake, kwa upande wao, wamekuwa wakieleza kuwa wanaume hawawezi kuzieleza hisia zao vya kutosha. Kwao, mwanaume huonekana kufunga milango ya moyo…

Read More