Kazi ipo eneo la kushuka daraja BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mchuano umehamia kwa  timu zitakazoshuka daraja kazi ikiwa kwa timu tano zinazochuana zisishuke. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 30, Jogoo (28), Ukonga Kings (27), Crowns (27) na Chui (25), zipo katika mtihani huku tatu kati ya hizo ndizo zitakazoshuka daraja….

Read More

Fahamu matunda tiba, kulingana na hali yako

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa, mabadiliko ya mwili na afya ni jambo la kawaida, lakini katika yote ni vyema ukafahamu namna bora ya kuondokana na mabadiliko hayo, bila kuathiri utendakaji kazi wa viungo vingine vya mwili. Wapo wanaoamini unywaji wa pombe hupunguza msongo wa mawazo, vinywaji vyenye kafeini ni tiba ya uchovu (energy…

Read More

Daktari bingwa wa watoto Kibosho adaiwa kujiua

Moshi. Wakati mfanyabiashara maarufu mjini Moshi na Dodoma, Ronald (35) Malisa akitarajiwa kuzikwa kesho, daktari bingwa wa watoto wa Hospitali Teule ya Kibosho, Magreth Swai (30) naye anadaiwa kujiua kwa kujinyonga. Daktari huyo ambaye ni mkazi wa Longuo, wilayani hapa anadaiwa kujiua Julai 10, 2025 kwa kujinyonga kwa kutumia waya wa antena alioufunga kwenye nondo…

Read More

MIKOA, HALMASHAURI ZAAGIZWA KUSHIRIKI MAONESHO YA VIWANDA

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameagiza mikoa na hamlashauri zote nchini kuhakikisha viwanda vilivyo katika mamlaka zao vinashiriki katika maonesho ya biashara ya kimataifa. Dkt. Biteko amesema hayo leo Septemba 26, 2024 Jijini Dar es salaam wakati akimwakilisha Makamu…

Read More

Sababu watoto kuzaliwa bila njia ya haja kubwa

Dar es Salaam. Idadi ya watoto wanaozaliwa na changamoto kwenye njia ya haja kubwa, kitaalamu ‘anorectal malformation’ (ARM) imetajwa kuongezeka nchini. Ili mfumo wa haja kubwa ukamilike unapaswa kuungana na utumbo mkubwa na kuwe na uwazi. Katika uwazi huo ni lazima kuwe na valvu iliyosheheni mishipa ya fahamu ambayo kazi yake kubwa ni kuratibu shughuli…

Read More

Washtakiwa wapiga makofi wakihukumiwa faini ya Sh40,000

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu Watanzania 64 kulipa faini ya Sh40,000 kila mmoja au kwenda jela miezi sita, baada ya kupatikana na hatia ya kuondoka ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kwenda Afrika Kusini bila kufuata taratibu za uhamiaji. Waliohukumiwa adhabu hiyo katika kesi ya jinai namba 31302 /2024 …

Read More