
Namungo, City FC Abuja kufunga Tanzanite Pre-Season International leo
MCHEZO wa fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International, unatarajiwa kuchezwa leo Septemba 7, 2025 kati ya Namungo kutoka Ruangwa nchini Tanzania dhidi ya City FC Abuja ya Nigeria. Fainali hiyo itakayofanyika kuanzia saa 9:00 alasiri, itachezwa kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Namungo ilikuwa ya kwanza kufuzu fainali ya michuano hiyo…