Warioba ajitosa kusaka suluhu INEC, Chadema

Dar es Salaam. Jawabu la swali kuhusu mwafaka kati ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, linatafutwa chini ya usimamizi wa Jaji Joseph Warioba na wazee wenzake. Hatua hiyo imekuja baada ya Chadema kutohudhuria kikao wala kusaini kanuni hizo ilipoalikwa pamoja…

Read More

Museveni aahidi mabilioni kwa nyota wa Uganda CHAN

Wakati timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’ ikianza kupeperusha bendera ya taifa hilo kwenye Fainali za Chan 2024 dhidi ya Algeria, Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni ametoa ahadi nono ya fedha kwa timu hiyo. Taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Uganda (Fufa) leo, imeeleza kuwa The Cranes itavuna Sh1.2 bilioni kwa…

Read More

MKUU WA MISHENI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI YA SADC NCHINI MSUMBIJI AENDELEA KUKUTANA NA WADAU WA UCHAGUZI NCHINI MSUMBIJI

Ujumbe wa Mhe. Dkt. Karume kwenye mikutano hiyo uliwajumuisha Wajumbe wa Troika kutoka Tanzania, Zambia na Malawi, Sekretarieti ya SADC akiwemo Mkurugenzi wa Organ , Prof. Kula Ishmael Theletsane na Wajumbe wa Baraza la Ushauri wa masuala ya Uchaguzi la SADC (SEAC). Wajumbe wa Troika kutoka Tanzania walioshiriki ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

Watoto hawa hatarini kupata utapiamlo, tatizo liko hapa

Shinyanga. Watoto wasionyonyeshwa kikamilifu kwa miezi sita na wanaoanzishiwa vyakula mbadala mapema, wapo katika hatari ya kupata tatizo la utapiamlo, wataalamu wa afya wameonya. Imeelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuchangia mtoto kupata utapiamlo, hii moja kwa moja inasababishwa na ulaji usiofaa na magonjwa yanayompata mtoto. Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha asilimia 86 ya watoto…

Read More

Likizo za madaktari, wauguzi wote zafutwa Iran

Tehran, Iran. Wakati mapigano kati ya Iran na Israel yakizidi kushika kasi, taarifa kutoka Iran na Gaza zimezua hofu mpya kuhusu hali ya kibinadamu na usalama wa kikanda. Iran imeamua kuwaita kazini madaktari na wauguzi wote waliokuwa likizo, huku ikiendelea na mashambulizi dhidi ya maeneo ya kijeshi ya Israel. Wakati huohuo, Gaza imeshuhudia kile kinachoelezwa kuwa…

Read More