DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF

Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna ambavyo linatoa elimu kwa wadau mbalimbali wakiwemo wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika yanayotambulika kama Intra African Trade Fair (IATF) yanayoendelea jijini Algiers nchini…

Read More

Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia

Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…

Read More

Mwenza wako ana haki kukuchunguza

Canada. Tufuatane katika kisa cha kufikirisha na kusisimua hata kuogopesha japo kinafundisha kitokanacho na upendo wa kweli. Kawaida, wanandoa, hulala pamoja. Hili haliepukiki wala kujadilika katika maisha ya ndoa. Siku moja, baba alikosa usingizi lakini akakaa kimya kuchelea kumuamsha mwenzie. Alistuka. Akiwa hana hili wala hili, mkewe aligutuka usingizini. Alianza kumnusa vidole. …

Read More

Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia

Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu. Karibuni katika ujumbe wa neno la Mungu tuliopewa unaosema ‘Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia’. Ni matumaini yangu ujumbe wa leo utabadilisha maisha yako, hutawaza kama mwanzo, hautateseka na mambo yanayoonekana yanakulete hofu katika maisha. Mungu akubariki na uweze kuelewa na kuchukua hatua. Katika maisha haya…

Read More

Daktari kwenye mistari ya mbele ya tetemeko la ardhi la Afghanistan – maswala ya ulimwengu

Nyumbani mwake huko Jalalabad, takriban kilomita 50 mbali na kitovu, Dk Sahak na mkewe walitoka nje ya chumba chao kupata watoto wao wanane tayari kwenye barabara ya ukumbi. “Mara moja nilifikiria juu ya Herat,” daktari wa Afghanistan katika miaka yake ya marehemu aliniambia, akizungumzia matetemeko ya ardhi ambayo yaliharibu mkoa wa magharibi wa nchi hiyo…

Read More

TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI

 Na Pamela Mollel, Arusha Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili, yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arusha katika Viwanja vya General Tire. Wananchi wa ndani na wageni kutoka mataifa mbalimbali wametakiwa kujitokeza kushiriki na kushuhudia tukio hilo kubwa la michezo. Akizungumza wakati wa uzinduzi, Mwenyekiti wa mbio hizo Glorious Temu…

Read More