AGAKHAN WAONESHA NIA YA KUANZISHA KITUO CHA KULEA WATOTO KARIAKOO
Meneja Mkuu Shirika la Masoko ya Kariakoo CPA. Ashraph Abdukarim amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa Chuo Kikuu cha Agakhan, mazungumzo hayo yamejikita kwenye uwekezaji wa miundombinu na uaznzishaji wa kituo cha kulea watoto katika Soko Kuu la Kariakoo. CPA. Abdulkarim amewaeleza viongozi hao kuwa shirika limeandaa eneo zuri na kubwa ambalo endapo mwekezaji…