Ndoto ya Ndugai ujenzi hoteli ya nyota tano Dodoma yatimia
Dodoma. Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA Africa Region), kimeingia mkataba wa miezi 22 na kampuni ya CRJE East Africa Limited kwa ajili ya ujenzi wa hoteli ya nyota tano jijini Dodoma itakayokuwa hoteli ya kwanza ya aina hiyo katika jiji hilo. Hoteli hiyo, itakayoendeshwa na kampuni ya Pristine and…