
Tanzania Yazindua Matokeo ya Tathmini ya Kitaifa ya Hatari za Mabadiliko ya Tabianchi
Serikali kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI, kwa kushirikiana na Shirika la Mitaji ya Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCDF) kupitia Programu ya LoCAL, na kwa msaada wa Umoja wa Ulaya, Norway, Ubelgiji na Ireland, imezindua rasmi ripoti ya kwanza ya aina yake ya Tathmini ya Hatari na Uwezekano wa Kuathirika na Mabadiliko ya…