FANYENI TAFITI, TUMIENI TAKWIMU SAHIHI – WAZIRI MKUU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wahakikishe kila wakati wanafanya utafiti na kupata takwimu sahihi. “Maofisa Mawasiliano wote jengeni utamaduni wa kufanya tafiti, kupata takwimu sahihi kabla kuzisambaza kwa wananchi na kuhuisha taarifa za kisekta kwenye tovuti,” amesema. Ametoa wito huo leo…

Read More

Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa lugha wanayoielewa. Dkt. Mwigulu amesema bila kutumia njia na lugha rafiki kwa vijana, taarifa muhimu zinaweza zisifikie walengwa au kushindwa kuwavutia. Waziri Mkuu amesisitiza kuwa maudhui yanapaswa kuwa…

Read More

SERIKALI YAPONGEZA UBUNIFU USHIRIKI MASOKO YA MITAJI

 WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni za masoko ya fedha huku wakiimarisha utoaji wa huduma kwa njia ya kidigitali. Akizungumza Jumanne wakati wa sherehe ya 5 ya kuhitimisha kozi ya Cheti cha Sekta ya Dhamana na Shindano la Vyuo Vikuu na…

Read More

Mafunzo yaiwekea mkakati KVZ | Mwanaspoti

TIMU ya Mafunzo, imeanza kujinoa kwa ajili ya kumaliza vizuri msimu huu wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) katika mechi kumi zilizobaki ambapo itaanza na KVZ. Akizungumza na Mwanaspoti kuelekea mchezo wao dhidi ya KVZ utakaopigwa Machi 28, 2026 kwenye Uwanja wa Mao A, uliopo Mjini Unguja, Kocha Mkuu wa Mafunzo, Salum Ali Haji, ameweka wazi…

Read More

Mkandala ajifungia kuirejesha Coastal kibabe

KIUNGO mshambuliaji wa Coastal Union, Cleophas Mkandala amesema licha ya kiwango bora alichonacho kwa sasa, lakini hafurahishwi na matokeo ya jumla ya timu hiyo akikiri kuwa inahitajika nguvu ya ziada kujiweka pazuri. Pia staa huyo ameelezea kwamba, matarajio yake ni kuona Coastal Union ikimaliza Ligi Kuu Bara msimu huu nafasi sita za juu kwenye msimamo….

Read More

Mkandala ajifungia kuirejesha Coastal kibabe

KIUNGO mshambuliaji wa Coastal Union, Cleophas Mkandala amesema licha ya kiwango bora alichonacho kwa sasa, lakini hafurahishwi na matokeo ya jumla ya timu hiyo akikiri kuwa inahitajika nguvu ya ziada kujiweka pazuri. Pia staa huyo ameelezea kwamba, matarajio yake ni kuona Coastal Union ikimaliza Ligi Kuu Bara msimu huu nafasi sita za juu kwenye msimamo….

Read More

Watoto 123,000 wa kaya maskini wasaidiwa Kilimanjaro

Arusha. Zaidi ya watoto na vijana 120,000 wanaoishi katika kaya zenye mazingira magumu nchini wamepata msaada wa huduma za elimu, afya na ustawi wa familia baada ya Shirika la Compassion International Tanzania kutumia zaidi ya Sh119.7 bilioni katika mwaka wa fedha 2025/2026. Fedha hizo zimeelekezwa katika miradi na programu mbalimbali za maendeleo zinazolenga kuimarisha ustawi…

Read More

Watatu mbaroni Njombe Tuhuma za kuuza mbolea feki

Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuchakachua mbolea na kuwauzia wakulima mbolea bandia katika Halmashauri ya Mji wa Makambako, huku mfanyabiashara mmoja akitafutwa na polisi akidaiwa kuhusika katika mtandao huo. Watuhumiwa hao wanadaiwa kubadilisha mbolea aina ya Fomi na kuipakia katika mifuko ya mbolea aina ya DAP kisha…

Read More

Marekani kuivamia upya Iran mazungumzo yakishindikana

Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuanza kujiandaa kwa uvamizi wa ardhini kufuatia Tehran kukataa mpango wa amani uliowasilishwa hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa za kijeshi, Marekani imetuma wanajeshi karibu 7,000 katika ukanda wa Mashariki ya Kati, wakiwemo askari wa anga kutoka kikosi cha…

Read More