Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Mtetezi wa Mama unatarajia kufanya Kongamano litakalowahusisha wanachama wake zaidi ya 3000 kutoka Tanzania Bara na Visiwani, lenye lengo la

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi,WF, Dar es Salaam Baraza la Masoko ya Mitaji nchini Tanzania (CMT) limetafuta ufumbuzi wa migogoro ya umiliki na kucheleweshwa

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salumu Mwalimu amesema namna pekee ya kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani siyo kusubiria mabadiliko

Capetown. Mataifa ya Afrika yametakiwa kubadili mtazamo wa kutegemea kusaidiwa na mataifa yaliyoendelea na badala yake, yajikite katika kukuza ujasiriamali kwa kuwa na mikakati thabiti

Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya pili ya Mpango

Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya pili ya Mpango

Dar/Tunduru. Wakati Chama cha ACT-Wazalendo kikidai kimemuandikia barua Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Camilius Wambura kumtaka kusimamisha amri aliyoitoa kwenda kwa makamanda wa Polisi wa

Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, amesema kuwa kutokana na serikali kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika miundombinu na vifaa tiba vya kisasa, ni wakati sasa

Dar es Salaam. Katikati ya dhana kuwa kuimarika kwa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutawaathiri wamiliki wa daladala, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart),

Nairobi. Wakati Serikali ya Kenya chini ya Rais William Ruto ikipitia misukosuko kutoka kwa wananchi wake, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana ili kumkabili huku