Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Habari

WAJUMBE 3000 KUSHIRIKI KONGAMANO LA TAASISI YA ‘MTETEZI WA MAMA’ KIZIMKAZI’ ZANZIBAR

July 10, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Mtetezi wa Mama unatarajia kufanya Kongamano litakalowahusisha wanachama wake zaidi ya 3000 kutoka Tanzania Bara na Visiwani, lenye lengo la

Read More
Habari

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI MWAROBAINI WA MIGOGORO YA WAWEKEZAJI

July 10, 2025 Admin

Na. Peter Haule na Joseph Mahumi,WF, Dar es Salaam Baraza la Masoko ya Mitaji nchini Tanzania (CMT) limetafuta ufumbuzi wa migogoro ya umiliki na kucheleweshwa

Read More
Habari

Chaumma: Tukisubiri CCM watutungie sheria za kuwaondoa madarakani tutachelewa

July 10, 2025 Admin

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salumu Mwalimu amesema namna pekee ya kukiondoa Chama cha Mapinduzi (CCM) madarakani siyo kusubiria mabadiliko

Read More
Habari

Afrika yaonyeshwa njia ya kukuza uchumi wake

July 10, 2025 Admin

Capetown. Mataifa ya Afrika yametakiwa kubadili mtazamo wa kutegemea kusaidiwa na mataifa yaliyoendelea na badala yake, yajikite katika kukuza ujasiriamali kwa kuwa na mikakati thabiti

Read More
Habari

WADAU WA SEKTA BINAFSI TABORA WATOA MAONI KUHUSU MKUMBI II

July 10, 2025 Admin

Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya pili ya Mpango

Read More
Habari

WADAU WA SEKTA BINAFSI TABORA WATOA MAONI KUHUSU MKUMBI II

July 10, 2025 Admin

Wadau wa sekta binafsi mkoani Tabora wamewasilisha maoni na mapendekezo yao kwa Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayoratibu maandalizi ya awamu ya pili ya Mpango

Read More
Habari

ACT Wazalendo yailima barua Polisi kuhusu taarifa za watiania, yajibu

July 10, 2025 Admin

Dar/Tunduru. Wakati Chama cha ACT-Wazalendo kikidai kimemuandikia barua Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Camilius Wambura kumtaka kusimamisha amri aliyoitoa kwenda kwa makamanda wa Polisi wa

Read More
Habari

Waziri Mhagama: Tiba Mtandao ni Msingi wa Huduma Bora za Afya

July 10, 2025 Admin

Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, amesema kuwa kutokana na serikali kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika miundombinu na vifaa tiba vya kisasa, ni wakati sasa

Read More
Magazeti

Mkakati huduma ya daladala baada ya mwendokasi

July 10, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katikati ya dhana kuwa kuimarika kwa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutawaathiri wamiliki wa daladala, Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Udart),

Read More
Habari

Wapinzani Kenya waungana kumkabili Ruto

July 10, 2025 Admin

Nairobi.  Wakati Serikali ya Kenya chini ya Rais William Ruto ikipitia misukosuko kutoka kwa wananchi wake, viongozi wa vyama vya upinzani wameungana ili kumkabili huku

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 21 22 23 … 3,724 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.