HELLO MR.RIGHT MSIMU WA 06 WAZINDULIWA RASMI

ONESHO la Hello Mr Rights kuja na mpango wake baada ya miaka 10 ijayo ya onesho hilo wanatamani kuunganisha vijana wengi wanaotaka wenza na ikiwezekana kuweka historia mpya ya kuwafungisha ndoa za pamoja. Akizungumza na Wanahabari Jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa onesho hilo msimu wa sita, Mkurugenzi wa Masoko na Maudhui wa Startimes…

Read More

ANTI BETTIE: Nimechoka kuibiwa pesa na mke wangu, nipe mbinu kumdhibiti

Anti, kuna vitu hadi vinatia aibu kuvisema hadharani, unajua mke wangu ananipiga ndole (kuchomoa pesa) kila ninaporudi nyumbani na kuvua suruali. Kuna wakati natamani nilale na suruali maana nikivua tu ananisachi. Nimesema, nimelalamika mpaka nimechoka, ningekuwa ninakunywa pombe angekuwa anasema nimepoteza nilipokuwa baa au nilipoolewa, kwangu amekosa kisingizio. Ninarudi na akili zangu timamu na ninajua…

Read More

MRADI WA ELIMU WA CORE KUBORESHA NA KUWAJENGEA UWEZO WALIMU WA SHULE ZA AWALI NCHINI

WIZARA Ya Elimu,Sayansi na Teknolojia itaendelea Kushirikiana na Wadau Mbalimbali wa Elimu hususani Taasisi na Mashirika Kuhakikisha Mazingira rafiki Kwa Kujifunzia na Ufaulu Unaongezeka Mashuleni. Akizungumza na Wanahabari  wakati wa  akizindua Mradi wa Elimu wa  Mafunzo kwa Walimu wa Shule za Awali  ( CORE) kupitia Shirika la Montessori  Mwakilishi Kutoka Wizara ya Elimu ambae ni…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro dunaini

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More

Viwanja vya Ligi Kuu Bara 2024-2025

KWA mujibu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), msimu huu wa 2024-2025, Ligi Kuu Bara itachezwa kwenye viwanja 13 vilivyopo mikoa 10 tofauti. Katika orodha ya viwanja hivyo ambavyo vimetajwa kwenye ratiba ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025, Mkoa wa Dar es Salaam ndiyo wenye utajiri wa viwanja kutokana na kuwepo vinne kati…

Read More

Serikali Kuendelea Kuwekeza Kwenye Nguvu Kazi Yenye Ujuzi

Na Mwandishi Wetu, Michuzi Tv WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kuwekeza katika kujenga nguvu kazi yenye ujuzi wa kisasa, ubunifu na maadili, ili iweze kushindana katika soko la ajira la kikanda na kimataifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam leo Oktoba 11, 2025 katika ufunguzi wa Kongamano la…

Read More