Nchi zinazoipakana na Bahari ya Hindi zatakiwa kuimarisha usalama majini
Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar, Makame Machano Hajj, ameeleza umuhimu wa kuimarisha ukaguzi wa vyombo vya majini kwa usalama wa baharini na kupigia debe nchi wanachama wa Hati ya Makubaliano ya Ukaguzi wa Meli katika Bahari ya Hindi (IOMOU) kuongeza juhudi katika ukaguzi. Katika hotuba yake ya…