Ambulance lagongana na Lori, mgonjwa afariki

Na Mashaka Mhando, Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linafanya uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha kifo cha mgonjwa mmoja na kujeruhi watu wengine wanne, baada ya gari la wagonjwa (Ambulance) kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Tukio hilo limetokea leo Machi 1, 2026, majira ya saa 6:10 usiku katika eneo…

Read More

Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More

JIONI YA BARAKA FAMILIA YA OYA YASHIRIKI IFTAR NA JAMII

Taasisi ya Oya Micro-crediti imeandaa futari maalum kwa wateja wake na jamii kwa ujumla tukio lililolenga kuimarisha mshikamano wa kijamii. Mwezi Mtukufu wa Ramadhan ni wakati wa kutafakari, kushukuru, na kushirikiana na jamii katika kujitoa kwenye mambo mablimbali. Kwetu OYA, tunaamini kuwa mafanikio ya kweli hayapimwi tu kwa ukuaji wa biashara, bali pia kwa mchango…

Read More

Wananchi walalamikia kero ya maji Barabara ya Dodoma–Iringa

Dodoma. Wananchi waishio pembezoni mwa barabara kuu ya Dodoma – Iringa katika kata za Manzase na Fufu wameiomba Serikali kuboresha ujenzi wa barabara hiyo ambayo imekuwa kero wakati wa mvua. Wananchi hao wamelalamikia athari za mvua zinazokwamisha mawasiliano, kusababisha maji kujaa kwenye makazi yao na kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Wakizungumza leo Jumatano Februari…

Read More

Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Global Publishers March 12, 2026 0 Comments Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama kubwa za matengenezo. Kupuuza tatizo dogo leo inaweza kumaanisha tatizo kubwa kesho. Hapa kuna mambo muhimu yasiyotakiwa kupuuzwa kwenye gari lako: 1️⃣ Breki – Moyo wa UsalamaBreki ni…

Read More

Masoko mapya 13 kujengwa Ubungo

Dar es Salaam. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameahidi ujenzi wa masoko 13 katika Wilaya ya Ubungo yatakayochochea uchumi wa wananchi na Taifa. Aidha, amewaahidi wafanyabiashara ndogondogo wa Ubungo jijini Dar es Salaam kwamba biashara zao zitarasimishwa ili kuwawezesha kupata mikopo na kupunguza urasimu wa kupata leseni. Mgombea…

Read More

Serikali yatoa ahadi ulinzi wa bahari IORA ikiadhimisha miaka 29

Dodoma. Tanzania imesema ulinzi wa bahari na rasilimali zake utaendelea kupewa kipaumbele, hasa katika kipindi hiki ambacho Dunia inapitia changamoto ya mabadiliko ya tabianchi. Kauli hiyo imetolewa leo, Jumamosi, Machi 7, 2026, na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira anayeshughulikia Mazingira, Balozi Baraka Luvanda, wakati wa maadhimisho ya Siku…

Read More

DK.SAMIA AMWAGIA SIFA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKIOMBA KURA RUANGWA

*Amshukuru kwa ushirikiano, kujituma,uzalendo wake kwa wakati wote wakifanyakazi pamoja.  *Azungumzia pia maendeleo yaliyopatikana Ruangwa katika miaka mitano iliyopita  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruangwa MGONBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa kumchagua Kassim Majaliwa kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka 15. Akizungumza…

Read More