Waandamanaji Kenya wachoma magari, balozi zatoa tahadhari

Dar es Salaam. Matukio ya waandamanaji wa Gen Z kuchoma moto mali na ulipuaji wa mabomu ya kutoa machozi yanaendelea kushuhudiwa nchini Kenya. Manadamano hayo yanayofanywa ikiwa ni muendelezo wa kile walichokianza wiki mbili zilizopita, hoja yao kubwa ikiwa ni kukataa muswada wa fedha kwa mwaka 2024, Rais William Ruto kutangaza kutousaini na kuurudisha bungeni….

Read More

SUA kutumia wataalamu wa ndani kukuza bayoteknolojia

Morogoro. Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kimejipanga kuwatumia wataalamu wa ndani kutumia bayoteknolojia ili kusaidia kupata majibu ya kisayansi katika uzalishaji wa mazao nchini. Kauli hiyo imetolewa mwanzoni mwa wiki hii na Makamu mkuu wa chuo hicho, Profesa Raphael Chibunda mjini Morogoro baada ya kutoka kwenye mkutano wa Chama cha Wataalamu wa Sayansi…

Read More

Taifa Stars yapewa kundi laini Chan 2024

Tanzania imepangwa katika kundi B la mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (Chan) 2024 zitakazofanyika Agosti mwaka huu ambalo litaundwa na timu za Mauritania, Madagascar, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika droo ya fainali hizo iliyochezeshwa leo, Taifa Stars imejikuta ikiangukia katika kundi hilo ambalo timu zote zilizopo hakuna…

Read More

Machungu ya vivuko boti zikitumika, nane zakamatwa

Dar es Salaam. Makali ya upungufu wa vivuko kati ya Magogoni na Kivukoni yanaendelea kuwatesa wananchi ambao licha ya kuonywa na mamlaka, wameendelea kuvushwa na boti zinazohatarisha usalama wao.  Taarifa ya Kikosi cha Polisi Wanamaji iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana, inathibitisha adha wanayopitia wananchi hao kutokana na kutofanya kazi kwa vivuko vya Mv Magogoni…

Read More

MRADI JUMUISHI WA KUHIFADHI MISITU NA KUBORESHA MNYORORO WA THAMANI YA MKAA, WAZINDULIWA BAGAMOYO MKOANI PWANI-

MKOA wa Pwani umekuwa sehemu ya kuchagiza mabadiliko hasi ya tabia nchi , pamoja na uharibifu wa mazingira, kutokana na uwepo wa soko kubwa la mkaa unaotumika zaidi Jiji la Dar es Salaam. Hayo aliyaeleza Kaimu Katibu Tawala Mkoani Pwani, upande wa Menejiment,Ukaguzi na Ufuatiliaji, Nsajigwa George alipokuwa akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Pwani kuzindua…

Read More

Uadilifu wa viongozi wa umma waongezeka

Dar es Salaam. Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji mstaafu, Sivangil-wa Mwangesi amesema hali ya maadili nchini imekuwa ikiimarika kutokana na kuongezeka kwa uadilifu kwa viongozi wa umma. Jaji Mwangesi amesema hilo limepimwa kwa kuangalia uzingatiaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Namba 13 ya mwaka 1995 na ujazaji wa matamko…

Read More

Jaji Warioba alivyotofautiana na Sokoine agizo la Nyerere

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesimulia mambo  aliyoyasimamia pasina kuyumba, ikiwemo la kukataa kutekeleza agizo la mkuu wa nchi, Mwalimu Julius Nyerere. Mambo hayo yalitokea wakati Warioba akiwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu akiwa Edward Sokoine.  Nyerere alikuwa Rais. Ni simulizi aliyoitoa leo Jumatatu, Septemba 30,…

Read More

Polisi yatoa kauli miili miwili kuokotwa mkoani Dodoma

Dodoma. Jeshi la Polisi limetoa taarifa kuhusu matukio ya miili ya wanawake wawili kuokotwa katika Kata ya Mkonze jijini Dodoma, likiwataka waliopotelewa na ndugu kujitokeza kuutambua mmoja. Mwili huo ni wa mwanamke anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 25 hadi 30 uliopatikana kwenye korongo katika Mtaa wa Miganga, kata ya Mkonze Jumapili Julai…

Read More