Samia kuzuru makumbusho, kunguruma bungeni Angola

Angola. Ikiwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan nchini Angola yenye lengo la kukuza na kuimarisha zaidi uhusiano wa kihistoria baina ya nchi mbili hizi, asubuhi atatembelea makumbusho ya Antonio Agostino Neto, muasisi wa Taifa la Angola. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Sharifa…

Read More

SERIKALI YAUNDA KAMATI YA UCHAMBUZI VIWANGO VYA PENSHENI

Peter Haule, WF, Dodoma SERIKALI imesema kuwa imeunda kamati ya kukusanya na kuchambua maoni na mapendekezo ya viwango vya nyongeza ya pensheni ili kuwezesha maandalizi ya rasimu ya Waraka wa Baraza la Mawaziri kuhusu nyongeza ya pensheni kwa wastaafu wanaolipwa na Hazina. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck…

Read More

Serikali kutumia Sh57 trilioni mwaka ujao wa fedha

Dodoma. Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/2026 imeonyesha ongezeko la asilimia 13, ikikua kutoka Sh50.29 trilioni katika mwaka wa fedha 2024/25 hadi kufikia Sh57.04 trilioni, ikiwa na vipaumbele sita. Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 ilikuwa Sh49.34 trilioni. Hata hivyo, Februari 14, 2025 Bunge lilipitisha bajeti ya nyongeza ya jumla ya…

Read More

Gambo, Makonda uso kwa uso mbele ya Katibu Mkuu CCM

Arusha. Katika kile kinachoonekana kama juhudi za viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushusha mvutano wa kisiasa kati ya Mbunge wa sasa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ambaye anatajwa kuweka nia yake kulitwa jimbo hilo. Mapema leo, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel…

Read More

Mabaki ya mifugo iliyochinjwa yanavyogeuka kitoweo Dar

Dar es Salaam. Katika jiji la kibiashara la Dar es Salaam, karibu kila sehemu ya kuku, mbuzi au ng’ombe sasa imekuwa fursa ya biashara na mlo. Kuanzia miguu, utumbo, vichwa, ashua, matiti ya ng’ombe, kongosho na hata ngozi, sehemu za mifugo ambazo zamani zilikuwa zikitupwa, sasa zinauzwa kwa wingi kwenye vibanda vya barabarani, hasa katika…

Read More

MAJALIWA: WATANZANIA TUENDELEE KUDUMISHA AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuendelea kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu na uvunjifu wa amani. Pia amewasihi waimarishe malezi kuanzia ngazi ya familia ili kuepuka athari za mmomonyoko wa maadili nchini na kuhakikisha mienendo ya vijana na wanajamii wote inazingatia mila, desturi na…

Read More

Navarro ndo basi tena Azam FC

MATAJIRI wa Azam FC, wamedaiwa wapo katika mchakato wa kuachana na mshambuliaji raia wa Colombia, Franklin Navarro, kwa makubaliano ya pande zote mbili baada ya nyota huyo kushindwa kuonyesha makali yake na kutimiza matarajio yaliyowekwa kwake tangu alipojiunga na timu hiyo. Navarro mwenye miaka 25, alianza kwa kuondolewa katika usajili wa wachezaji wa kigeni wanaotumika…

Read More

Wiki ya Wananchi, kishindo cha vaibu

KILELE cha wiki ya Mwananchi kimehitimishwa kwa kishindo, huku kila shabiki akitoka meno nje akitamba mambo freshi na msimu mpya uanze. Yanga ilifanya tamasha hilo leo ambapo kilele chake kilikuwa palepale Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam na mashabiki wa klabu hiyo kufurika kwa wingi. *Vinywaji kibao*Mapema tu ilikuwa mashabiki wakiwa wanaingia uwanjani,…

Read More