Watoto ni tunu, tuwaenzi, tuwalinde na kuwatunza

Dar es Salaam. Watoto ni zawadi ya kipekee kutoka kwa Mungu na ni hazina ya jamii yoyote ile. Ndani yao kuna ndoto, matumaini na mustakabali wa kizazi kijacho. Watoto wanapozaliwa, huja na mioyo isiyo na chuki, malengo ya maisha ambayo bado hayajachafuka na uwezo mkubwa wa kujifunza na kuleta mabadiliko. Kwa msingi huo, ni wajibu…

Read More

PROF. KITILA ATAJA SABABU ZA WATANZANIA KUMCHAGUA DK. SAMIA

::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Prof. Kitila Alexander Mkumbo amesema watanzania wanayo kila sababu ya kumchagua mgombea Urais anayetokana na CCM Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa alizofanya katika awamu yake ya kwanza ikiwemo kuwahakikishia watanzania Amani, Usalama na Utulivu. Akizindua kampeni katika…

Read More

DKT. SERERA AVUTIWA NA USHIRIKI WA NEMC KWENYE MAONESHO YA IATF

Naibu Katibu Mkuu wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Serera amelipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa namna ambavyo linatoa elimu kwa wadau mbalimbali wakiwemo wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Barani Afrika yanayotambulika kama Intra African Trade Fair (IATF) yanayoendelea jijini Algiers nchini…

Read More

Nafasi ya watoto katika kukuza uchumi wa familia

Dar es Salaam.Katika jamii nyingi za Kiafrika, hasa Tanzania, familia zimekuwa na mtazamo kwamba kila mwanafamilia ana jukumu la kusaidia ustawi wa kaya. Watoto, licha ya kuwa bado wanalelewa, wamekuwa wakihusishwa katika shughuli mbalimbali za kiuchumi kama sehemu ya mchango wao kwa maendeleo ya familia. Uchangiaji huu unajitokeza kwa njia tofauti, na mara nyingi huendeshwa…

Read More

Mwenza wako ana haki kukuchunguza

Canada. Tufuatane katika kisa cha kufikirisha na kusisimua hata kuogopesha japo kinafundisha kitokanacho na upendo wa kweli. Kawaida, wanandoa, hulala pamoja. Hili haliepukiki wala kujadilika katika maisha ya ndoa. Siku moja, baba alikosa usingizi lakini akakaa kimya kuchelea kumuamsha mwenzie. Alistuka. Akiwa hana hili wala hili, mkewe aligutuka usingizini. Alianza kumnusa vidole. …

Read More

Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia

Bwana Yesu Asifiwe watu wa Mungu. Karibuni katika ujumbe wa neno la Mungu tuliopewa unaosema ‘Tumia mamlaka uliyopewa na Mungu kuyashinda magumu ya dunia’. Ni matumaini yangu ujumbe wa leo utabadilisha maisha yako, hutawaza kama mwanzo, hautateseka na mambo yanayoonekana yanakulete hofu katika maisha. Mungu akubariki na uweze kuelewa na kuchukua hatua. Katika maisha haya…

Read More