SERIKALI YATANGAZA KIMA KIPYA CHA CHINI CHA MSHAHARA SEKTA BINAFSI KUANZIA JANUARI 2026

SERIKALI imetangaza ongezeko la wastani wa asilimia 33.4 katika Kima cha Chini cha Mshahara kwa sekta binafsi, kutoka Shilingi 275,060/= hadi 358,322/=, hatua inayolenga kuboresha ustawi wa wafanyakazi na kuongeza tija katika uzalishaji. Kima hicho kipya kitaanza kutumika rasmi kuanzia Januari 1, 2026, baada ya kukamilika kwa mchakato wa tathmini na ushauri uliofanywa na Bodi…

Read More

Mahakimu watatu wanavyopambana kudai haki kortini

Dodoma. Mahakama Kuu, imewapa kibali, mahakimu watatu wa zamani wa mhimili huo, ili wafungue maombi ya kuomba kurejewa kwa uamuzi wa Tume ya Utumishi wa Mahakama wa kuwafuta kazi na hatimaye kubatilisha uamuzi huo. Uamuzi wa kuwaruhusu mahakimu hao wa zamani kufungua maombi hayo, ulitolewa Juni 18, 2024 na Jaji Fredrick Manyanda wa Mahakama Kuu…

Read More

MFUMO MPYA WA RAMANI KUZUIA MAJANGA WAZINDULIWA MOROGORO

Na Mwandishi Wetu, Morogoro Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge na Uratibu imezindua mfumo mpya wa kisasa wa ramani ya maeneo hatarishi, Tanzania Climate Vulnerability System (TVCVS), unaolenga kubaini mapema maeneo yanayokumbwa na majanga na kusaidia kupunguza athari kwa Wananchi na Taifa kwa ujumla. Akifungua mafunzo ya mfumo huo tarehe 16 Juni,…

Read More

CCM yakerwa ujenzi wa barabara kusuasua Geita

Geita.  Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita, kimekerwa na kasi ndogo ya ujenzi wa barabara za mradi wa Tactic zenye urefu wa kilomita 17 zinazojengwa kwa kiwango cha lami katika Manispaa ya Geita kwa gharama ya Sh22.5 bilioni ambazo ni mkopo kutoka Benki ya Dunia (WB).  Barabara zinazojengwa ni  Mkolani Mwatulole ambayo ujenzi wake…

Read More

CHALINZE YAFIKIWA NA ELIMU YA FEDHA

Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha Bw. Stanley Kibakaya, akitoa elimu ya fedha kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia taasisi za fedha zilizosajiliwa wanapochukua mikopo ili kuwawezesha kuondokana na mikopo umiza pamoja na umuhimu wa kuzingatia mapato na matumizi ili wajiwekee akiba, wakati Maafisa wa Wizara ya Fedha walipokuwa wakitoa elimu ya fedha…

Read More

ETDCO YAENDELEA KUTAFUTA FURSA JAPAN

Uongozi wa Kampuni ya ETDCO, Toyota Tsusho Corporation, Afisa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Japani, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo kuhusu ushirikiano katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya miundombinu ya umeme. Mazungumzo hayo yamefanyika katika ofisi za Toyota Tsusho Corporation, jijini Tokyo, Japan. Uongozi wa Kampuni ya ETDCO, Toyota Tsusho Corporation,…

Read More

Waliopoteza tiketi uhakika Kwa Mkapa

KIONGOZI wa N-Card Catherine Chami amewapa uhakika mashabiki waliopoteza tiketi zao ambazo walizikata kwa ajili ya mechi ya Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba iliyotakiwa kuchezwa Machi 8, 2025 bado wana nafasi ya kuingia uwanjani Benjamin Mkapa katika tarehe mpya iliyopangwa ya mechi hiyo Juni 25. Akizungumza na waandishi wa habari alisema kuwa,…

Read More