Mahakama Kuu Yamhukumu Afisa wa Polisi kwa Kuhusika na Kifo
Global Publishers March 21, 2026 0 Comments Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Iringa, imemhukumu kifungo cha miaka miwili jela Sajenti Rogers Mmari baada ya kupatikana na hatia ya kosa la kuua bila kukusudia lililosababisha kifo cha Nashon Kiyeyeu (23). Hukumu hiyo imetolewa Machi 19, 2026 na Jaji Angaza Mwipopo baada ya kuridhika na ushahidi…