Zaidi ya bilioni moja wanahofia kupoteza ardhi na nyumba ndani ya miaka mitano – Masuala ya Ulimwenguni

Ugunduzi unakuja katika a Ripoti inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa ambayo inasisitiza haja ya dhamira thabiti ya kisiasa na sera shirikishi kuhusu haki za ardhi huku kukiwa na mwelekeo unaokua wa mabadiliko ya hali ya hewa, ulinzi wa viumbe hai, usawa wa kijinsia na mabadiliko ya vijijini. Katika kipindi cha miongo miwili iliyopita, serikali…

Read More

WASHINDI WAWILI WA MNADA WA PIKU WAKABIDHIWA ZAWADI

:::::::::: JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandao, limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wawili wa awamu ya nne ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo, washindi wawili bora waliibuka na zawadi mbalimbali kama ifuatavyo: Mshindi wa kwanza, Hamimu Madenge, Meneja wa Super Market ya Viva iliyopo…

Read More

Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha

Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara ndogondogo. Katika makuzi ni umri mzuri wa kujenga na kuzoesha kwa urahisi zaidi kuwa sehemu ya maisha ya mtu. Nchi ya Finland utoaji wa elimu ya umezingatia msingi huo, programu maalum kujifunza masuala ya fedha binafsi na kipato kwa vitendo maarufu…

Read More

FCC, ZFCC ZASAINI MKATABA KULINDA USHINDANI WA HAKI SOKONI

:::::::: Tume ya Ushindani (FCC) ya Tanzania Bara na Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar (ZFCC) zimetia saini mkataba wa makubaliano wenye lengo la kuhakikisha kuwepo kwa mazingira ya ushindani wa haki katika masoko na kulinda maslahi ya walaji ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Makubaliano hayo yamelenga kuimarisha ushirikiano wa kisheria, kitaalamu na…

Read More

Maandamano ya TLS yayeyuka, polisi wapiga kambi makao makuu

Dar/Mikoani. Maandamano ya mawakili wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) yaliyopangwa kufanyika nchi nzima leo Septemba 22, 2025 kupinga kushambuliwa kwa wakili Deogratius Mahinyila, yameyeyuka huku Jeshi la Polisi likiweka kambi kati ofisi za chama hicho. Maandamano hayo yalichochewa na tukio la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Read More

Sintofahamu madai ya kutoonekana hadharani kwa Netanyahu

Dar es Salaam. Kumekuwa na sintofahamu kubwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu hatima ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, huku madai yasiyothibitishwa yakisambaa, yakidai kuwa huenda kiongozi huyo amejeruhiwa, amejificha, au ameuawa. Katika siku za hivi karibuni, machapisho mengi kwenye majukwaa mbalimbali ya kijamii yamekuwa yakidai kuwa Netanyahu hajulikani alipo, hali iliyozua maswali mengi…

Read More

Aliyechezesha Dabi ya Kariakoo apewa Kombe la Dunia 2026

Mwamuzi Amin Mohamed Amin Omar wa Misri, aliyewahi kuchezesha mechi ya ‘Kariakoo Derby’ kati ya Yanga dhidi ya Simba iliyopigwa, Juni 25, 2025, amechaguliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kuchezesha fainali za Kombe la Dunia. Katika fainali hizo za Kombe la Dunia zitakazopigwa nchi tatu za Marekani, Canada na Mexico kuanzia Juni 11,…

Read More

UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI NI FURSA MPYA YA VIJANA KUINUKA

Na Pamela Mollel, Arusha. Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekezaji katika ufugaji wa kuku wa kienyeji, kwa kuwa ni biashara yenye faida kubwa na soko pana linalokua kila siku. Akizungumza na vijana waliomtembelea katika soko la Morombo jijini Arusha, mjasiriamali maarufu wa kuku, Mudy Musa, alisema ufugaji wa kuku wa kienyeji ni miongoni mwa…

Read More