UN Yazindua Rufaa ya Kibinadamu ya Dola Milioni 300 kwa Lebanon – Masuala ya Ulimwenguni

Mnamo tarehe 5 Machi, maelfu ya watu, wakiwemo watoto wengi, walikimbia makazi yao kusini na vitongoji vya kusini mwa Beirut, huku wengi wakikusanyika mitaani au kujaribu kufikia maeneo salama. Watoto ni miongoni mwa walioathirika zaidi huku familia zikikabiliwa na kuhamishwa, kutokuwa na uhakika na ufikiaji mdogo wa huduma muhimu. Credit: UNICEF Lebanon na Naureen Hossain…

Read More

Ismail Mgunda hana presha Mashujaa

BAADA ya mshambuliaji wa Mashujaa, Ismail Mgunda kurejea kucheza Ligi Kuu Bara amesema anatamani kutajwa katika orodha ya wafungaji wenye mabao mengi msimu unaoanza Septemba 17. Mgunda katikati ya msimu uliyopita aliondoka Mashujaa akiwa amefunga mabao mawili kwenda kujiunga na AS Vita ya DR Congo ambako hata hivyo hakufanikiwa kutimiza ndoto kwa kile alichokitaja ni…

Read More

Nani kujaza nafasi ya Kiongozi Mkuu wa Iran?

Kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei katika mashambulizi ya anga ya Marekani na Israel, kumeiweka Iran njia panda wakati uongozi wa juu wa nchi hiyo ukianza mchakato wa kumtafuta mrithi wake. Viongozi kadhaa waandamizi waliokuwa karibu na Khamenei pia wameripotiwa kuuawa katika shambulizi hilo, akiwemo mshauri wake mkuu wa usalama, Ali Shamkhani,…

Read More

Pamba yazifuata mechi tatu Kenya

KIKOSI cha Pamba Jiji kinaondoka nchini leo Ijumaa kwenda Kenya kwa ajili ya kucheza mechi tatu za kirafiki za kujiweka sawa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Bara 2025-26. Kwa mujibu wa ratiba ya klabu hiyo inayonolewa na kocha Mkenya, Francis Baraza ni kwamba kesho Jumamosi itaanza kutesti mitambo dhidi ya Mara…

Read More

NRA kuunda Serikali yenye Wizara 10 ikishinda uchaguzi

Mirerani. Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Almas Kisabya amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, ataunda Serikali ndogo yenye wizara zisizozidi 10, lengo likiwa kufanikisha utendaji kazi. Kisabya ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni ya urais leo Ijumaa Septemba 12 mwaka 2025 mjini Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara. Amesema endapo atachaguliwa…

Read More

Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ashura Katunzi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kuzingatia viwango na kurasimisha biashara zao ili kujenga uaminifu na kuongeza ushindani sokoni. Amesema biashara nyingi ndogondogo zinakwamishwa na ukosefu wa kuzingatia viwango na kutofanya…

Read More

Simulizi ya shuhuda aliyestiri miili ya watu watano wa familia moja waliofariki ajalini, familia yampongeza

Tanga. “Katika mazingira ya ajali nilikuta tayari watu watatu wameshafariki dunia palepale ambao ni baba, Joshua na binti mmoja na wengine wakiwa ni majeruhi ambaye ni mama, na watoto wengine ambapo wakati tukitafuta njia ya kuwasaidia yule kijana na yeye akafariki dunia na baadaye tukiwa hospitali miili mingine ikaletwa yote nilipambana kuhakikisha kila kitu kinakwenda…

Read More