JESHI LA POLISI LINDI LAWAKAMATA NG’OMBE 300 WALIOHARIBU MAZAO KIJIJI CHA NAMKATILA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jeshi la Polisi mkoani Lindi limefanikiwa kukamata zaidi ya ng’ombe 300 katika kijiji cha Namkatila, wilaya ya Ruangwa, kwa kosa la kuharibu mazao kwenye shamba la mmoja wa wananchi wa kijiji hicho. Tukio hili lilitokea tarehe 19 Agosti 2024, na linadhihirisha juhudi za polisi katika kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kutawala katika maeneo ya kilimo…

Read More

Mzize: Kundi gumu lakini subirini muone

LICHA ya kutokuwa sehemu ya kikosi kilichosafiri kwenda Algeria kwa mechi ya pili ya makundi dhidi ya JS Kabylie, mshambuliaji Clement Mzize amewasifu wenzake kwa kuanza vizuri nyumbani na kuwatumia salamu na  kuwataka wafanye vyema ugenini ili waende robo fainali. Mzize amesema watakapofanya vyema katika mechi hiyo ya leo watakuwa na kila sababu ya kuisaka…

Read More

CRDB yatoa gawio la Sh51 bilioni, Serikali yatia neno

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imetoa gawio la Sh51.7 bilioni kwa Serikali, ikiwa ni ongezeko la asilimia 12.8 ya gawio lililotolewa mwaka 2022 la Sh45.8 bilioni. Taarifa iliyotolewa na benki hiyo Juni 21, 2024 imeleza gawio hilo limetokana na matokeo mazuri ya fedha ambayo benki imeyapata kwa mwaka 2023. Akikabidhi gawio hilo serikalini, Mwenyekiti…

Read More

TANGANYIKA PACKERS CCM NI FULL HOUSE, SALUTE KWA DK. SAMIA

Said Mwishehe,Michuzi TV  NI maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwemo wanachama wa CCM,wakereketwa na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza katika Viwanja vya Tanganyika Packers kushuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za Chama hicho tawala. Katıka viwanja hivyo ambavyo uzinduzi huo wa kampeni za CCM zinafanyika, kuna mabango mengi yenye ujumbe …

Read More

Zigo la Mchengerwa Wizara ya Afya hili hapa

Dar es Salaam. Uteuzi wa Omary Mchengerwa kuwa Waziri wa Afya, umeibua maoni mapya kutoka kwa wadau wa sekta hiyo, wakibainisha maeneo muhimu yanayohitaji msukumo wake wa haraka. Miongoni mwa mambo yanayomsubiri Mchengerwa aliyeteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Novemba 17, 2025 ni usimamizi makini wa utoaji wa huduma za afya kupitia Bima ya Afya…

Read More

NFRA kununua tani milioni 1.7 za nafaka

  WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umesema kuwa umepanga kununua tani 1,750,000 za nafaka mbalimbali kutoka kwa wakulima nchini kwa ajili ya mauzo ya ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …(endelea). Kati ya tani hizo, NFRA tayari imeshasaini mkataba wa kuuza tani 1,150,000 katika nchi za Jamhuri ya Congo…

Read More

Serikali Yaweka Mkazo Katika Kujenga Uwezo wa Viongozi wa Mitaa kwa Ufanisi wa Miradi ya Maendeleo

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Imeelezwa kuwa na viongozi wa serikali za mitaa wenye ufanisi mkubwa na uadilifu mkubwa katika utendaji wa kutumia rasilimali zilizopo kuongoza jamii itasaidia nchi kuwa na ufanisi mkubwa sana katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Mhe, Festo Dugange wakati alipomuwakilisha Waziri…

Read More

Wabunge waibuka sakata la kukosekana kwa uzio katika shule

Dodoma. Kilio cha ujenzi wa uzio kwa shule msingi na sekondari leo limechukua nafasi kubwa baada ya wabunge wengi kusimama wakihoji lini shule zitajengewa uzio. Maswali ya wabunge yaliibuliwa leo Jumanne Aprili 21, 2025 kufuatia swali namba 107 lililoulizwa na Mbunge wa Temeke, Doroth Kilave ambaye ameuliza kuna mpango gani wa kutenga fedha kujenga uzio…

Read More

Zungusha na ushinde katika Promosheni ya Mwezi wa Pesa

Meridianbet inaleta msimu wa sikukuu wenye furaha kupitia promosheni ya Mwezi wa Pesa. Promosheni hii inalenga kutoa zawadi kubwa kwa wachezaji kupitia michezo maarufu ya sloti ya Playson. Kuanzia Desemba 1 hadi Desemba 25, wachezaji wanapewa nafasi ya kushinda zawadi za nasibu kwa kila dau linalokubalika kwenye michezo inayoshiriki. “Tunataka msimu huu wa sikukuu uwe…

Read More