Mgogoro wa kibinadamu ‘unazidi’ nchini Afghanistan wakati vita vinapozuka katika Mashariki ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Mzozo wa Mashariki ya Kati unaongeza matatizo na ukosefu wa utulivu kwa Afghanistan huku bei ya bidhaa tayari ikipanda katika “uchumi ambao tayari ni dhaifu”, kulingana na Georgette Gagnon, Afisa Msimamizi wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo.UNAMA), ambaye mamlaka yake yanasasishwa baadaye mwezi huu katika Baraza la Usalama. Wakati huo huo, njia ya…

Read More

Wananchi 3,000 Iringa kunufaika na huduma za kibingwa za tiba

Iringa. Madaktari bingwa 45 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasili mkoani Iringa ambako watatoa huduma za kibingwa na kibobezi kwa wananchi takribani 3,000, ambao wamekuwa wakilazimika kusafiri nje ya mkoa kufuata huduma hizo. ‎Akizingumza leo Septemba 23, 2025 wakati wa kuwapokea madaktari hao watakaoweka kambi mkoani hapa, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amesema uwepo…

Read More

Mahakama Kuu yahalalisha Tume ya matukio ya Oktoba 29

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imeidhinisha uhalali wa  Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya  Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, baada ya kutupilia mbali shauri lililokuwa likipinga uhalali wake. Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa, Machi 13, 2026 na Jaji Awamu Mbagwa, aliyesikiliza…

Read More

Jukwaa la vijana lazinduliwa Mtwara, Waziri ahimiza ushiriki wa sekta binafsi

Mtwara. Katika juhudi za kuendelea kuwezesha vijana jukwaa la vijana nchini limezinduliwa mkoani Mtwara limefunguliwa mahususi kutoa elimu ya fedha na mafunzo ya ujasiriamali yatakayowasaidia kujishughulisha kiuchumi na kujiingizia kipato. Ufunguzi wa jukwaa hilo linalowaunganisha vijana nchi nzima ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation. Katika uzinduzi huu ulioongozwa na…

Read More