Mashambulio mabaya na huduma zinazoanguka zinasukuma Sudan karibu na janga – maswala ya ulimwengu

Kulingana na ripoti za eneo hilo, kufyatua risasi nzito na kushambuliwa mwishoni mwa wiki iliyopita huko El Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini, uliwauwa raia wasiopungua sita na alama zilizojeruhiwa zaidi, na kusababisha uhamishaji mpya kutoka mji uliokuwa umezingirwa tayari. Sudan imekuwa ikizungukwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vya kikatili Kati ya…

Read More

BHOJANI AMWOMBEA KURA RAIS DK.SAMIA KISUTU

MGOMBEA Udiwani wa Kata ya Kisutu, Tousif Bhojani, amewataka wananchi wa kata hiyo kumpa kura za kishindo  mgombea urais kwa kitekiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi mkuu wa Okotoba 29 mwaka huu.  Ameyasema hayo Dar es Salaam, leo baada ya kurejesha fomu ya uteuzi wa  udiwani katika Ofisi…

Read More

Unataka kulipiwa mahari? Soma masharti ya Sheikh Kishki

Dar es Salaam. Kama Machi Mosi, 2026 ulisikia tangazo la kulipiwa mahari na umejipanga na mwenza wako, basi huna budi kufahamu masharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo. Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu…

Read More

TAKUKURU YATOA MASHINE ZA KUHUDUMIA WATOTO NJITI AMANA

****** Na Mwandishi Wetu Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imetoa msaada wa mashine mbili za kisasa za kutoa joto kwa watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Amana. Msaada huo ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za afya nchini, hususan kwa watoto wanaozaliwa kabla ya…

Read More

SALMA KIKWETE AANZA KAMPENI RASM LINDI

……………. Mgombea ubunge wa Jimbo la Mchinga mkoa wa  Lindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), . Salma Rashid Kikwete, amezindua rasmi kampeni zake jana 7 septemba,2025, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Uzinduzi huo umefanyika katika kata ya Rutamba Manispaa ya Lindi na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi pamoja na viongozi mbalimbali wa chama na…

Read More