Pacome wa mwisho akifungwa kamba na Manara

NI zamu ya Pacome Zouzoua kufungwa kamba ya viatu na Haji Manara katika utambulisho wa wachezaji msimu huu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Msimu uliopita Manara alifanya hivyo kwa Stephane Aziz Ki, na pia aliwahi kufanya hivyo kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ wakati huo akiwa Yanga…

Read More

Majadiliano ya kukabidhiana madaraka yaanza Syria – DW – 10.12.2024

Wakati jumuiya ya kimataifa ikitoa wito wa kufanyika makabidhiano ya madaraka kwa njia ya amani, Qatar imetangaza kuwa wanadiplomasia wake walifanya mazungumzo na  kundi kuu la waasi nchini Syria la Hayat Tahrir al-Sham (HTS) , wakati mataifa kadhaa ya kanda hiyo yakijaribu kuanzisha mawasiliano na kundi hilo ambalo limefanikiwa kuuangusha utawala wa Bashar al-Assad. Kwa upande wake,…

Read More

Mwita aahidi Kuinua elimu Geita Mjini, ujenzi chuo cha VETA

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Chacha Mwita, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa kuwa mbunge, atahakikisha mkoa wa Geita unakuwa kinara wa ufaulu kitaifa kwa shule zilizopo katika Manispaa ya Geita. Akizungumza leo Jumanne, Oktoba 21, 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mtaa wa Tambukareli, Kata ya Kalangalala,…

Read More

Camara, Djigui wakomaliwa | Mwanaspoti

KIPA Patrick Munthary wa Mashujaa, ameweka wazi kuongeza ushindani wa kupambana kubaki ndani ya nafasi ya tatu kwa makipa wanaoongoza kwa kutoruhusu mabao kwenye Ligi Kuu (Clean Sheet). Munthary ana clean sheet 12 hadi sasa, ikiwa moja pungufu na alizonazo Diarra wa Yanga, mwenye 13 anayemfukuzia Moussa Camara wa Simba anayeongoza akiwa na 15. Akizungumza…

Read More

SIMBA AMJERUHI MWENYEKITI WA KIJIJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Mwenyekiti wa kijiji cha Amani kilichopo katika Kata ya Mundindi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe Issa Luoga amenusurika kuuwawa wakati akipambana na mnyama Simba wakati wakimsaka baada ya kugundua ameingia kijijini hapo.       Akizungumza akiwa katika hospitali ya kanisa Katoliki iliyopo Kata ya jirani Lugarawa, mwenyekiti huyo amesema katika kumsaka Simba huyo…

Read More