Dk Mwinyi kuchukua fomu Agosti 30, wasanii kunogesha

Unguja. Baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kutoa ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu, mtiania urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi anatarajia kuchukua fomu Agosti 30, 2025. Siku hiyo baada ya kuchukua fomu, Dk Mwinyi ambaye ndiye Rais wa Zanzibar anayemaliza awamu ya kwanza ya utawala wake, atazungumza na…

Read More

Papa Leo kufanya ziara nchi nne za Afrika

Dar es Salaam. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Pope Leo, anatarajiwa kuanza ziara rasmi katika mataifa manne ya Afrika kuanzia Aprili 13 hadi 23, 2026, ikiwa ni safari yake ya tatu ya kitume nje ya Italia tangu aanze uongozi wake. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Holy See Press Office, Papa Leo atatembelea mataifa ya…

Read More

Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

  Dar es Salaam, 27 August 2025 — Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders. The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable…

Read More

MAJIKO BANIFU TEKNOLOJIA YA KISASA INAYOTUMIA MKAA KIDOGO

 ::::::::: Imeelezwa kuwa majiko banifu yanayotolewa kwa bei ya ruzuku na Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ni majiko yanayotumia kiasi kidogo cha mkaa kulinganisha na majiko mengine ya mkaa.  Hayo yamebainishwa na Wataalam kutoka REA wanaoendelea kutoa elimu kwa wananchi katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Dkt….

Read More

Bado Watatu – 14

Hebu fikiria kuwa wewe ni mpelelezi. Kuna mtu amenyongwa na wasiojulikana, lakini aliyenyongwa siku hiyo, ndiye yule ambaye alishanyongwa hadi akafa miaka miwili iliyopita kwa hukumu ya mahakama kutokana na kosa la kuua! Uchunguzi wa polisi unaonyesha kuwa mtu aliyegunduliwa amemnyonga mwenzake naye alishauawa kwa kunyongwa miaka miwili ilipita!

Read More

Panga pangua ya Samia | Mwananchi

Dar es Salaam. Rais  Samia Suluhu Hassan ameendelea kuimarisha safu yake ya utendaji kwa kufanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa balozi, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa taasisi za umma pamoja na kuimarisha mahusiano ya kimataifa. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 18,2025  na Katibu Mkuu Kiongozi, Moses Kusiluka, mabadiliko hayo yanagusa maeneo…

Read More