MKE WA RAIS MNANGAGWA AWASILI ARUSHA

…………. Mke wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Dkt. Auxillia C. Mnangagwa amewasili jijini Arusha na kupokelewa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb), Naibu Waziri, Mhe. Dunstan Kitandula, baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Sekretarieti ya Shirika la Utalii Duniani. Mhe.Mnangagwa anatarajiwa kushiriki Jukwaa la…

Read More

TGNP, WADAU WA MAENDELEO WAICHAMBUA BAJETI YA SERIKALI

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kutambua umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika michakato ya bajeti na michakato ya maendeleo kwa ujumla umekuwa ukishirikiana na wadau mbalimbali katika kuhakikisha kwamba wananchi wanashiriki ipasavyo katika michakato hiyo pamoja na kutathimini mipango ya maendeleo ya taifa letu. Hayo yamesemwa Ijumaa Juni…

Read More

Profesa Mkenda awapa kibarua hiki watafiti

Dar es Salaam. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema ni muhimu kufanya utafiti wa kisayansi kusaidia kukwamua changamoto za uzalishaji sekta mbalimbali ikiwemo elimu na kilimo, kwa lengo la kuchochea ustawi endelevu wa maendeleo kiuchumi. Amesema hayo jana Julai 10, 2024 jijini Dar es Salaam wakati akizungumza katika ufunguzi wa mkutano…

Read More

Umeme wakatika Muhimbili kwa saa 15, wagonjwa wahaha

Dar es Salaam. Wagonjwa wanaopokea huduma ya kuchuja damu ‘dialysis’ katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, MNH wamelalamikia jengo la watoto hospitalini hapo kukosa umeme kwa saa 15 mfululizo, hali iliyoathiri matibabu yao. Matibabu ya dialysis kawaida hujumuisha kutumia mashine kuchukua kazi ya figo kuchuja sumu, taka na maji kupita kiasi kutoka mwilini. Tiba hii huhitajika…

Read More

Kampuni ya CCCC yanadi fursa kwa wanafunzi DIT

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Ujenzi na Mawasiliano ya Serikali ya China (CCCC) imewahamasisha wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kuchangamkia fursa za ajira katika miradi mbalimbali inayotekelezwa na kampuni hiyo nchini. Akizungumza Agosti 14,2024 na wanafunzi wa fani ya uhandisi, sayansi na teknolojia ambao wanatarajia kumaliza masomo yao baadaye…

Read More

Sababu WPL kusogezwa mbele | Mwanaspoti

MSIMU mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) uliokuwa uanze rasmi Oktoba 2 baada ya mechi za Ngao ya Jamii zilizokuwa zipigwe kuanzia Jumanne ijayo, umesongezwa mbele na sasa itaanza Oktoba 9, huku sababu za kuahirishwa zikiwekwa wazi na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Klabu 10 zikiwamo nane zilizosalia msimu uliopita na mbili zilizopanda daraja…

Read More

Emirates bolsters commercial team, with key appointments across the Middle East and Africa

EMIRATES has announced several appointments in its commercial team across key markets in the Middle East and Africa to help further strengthen the airline’s leading position and support its long-term strategic initiatives. The rotation will enable seasoned outstation managers, including six UAE Nationals, to further enhance Emirates’ commercial capabilities in their respective markets by bringing…

Read More

Watuhumiwa ‘waliotumwa na afande’ wakamatwa

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam. Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku…

Read More