TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI YA TAIFA GROUP KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA HIVI KARIBUNI

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi wa Taifa Group Limited (“Taifa Group”) tunapenda kukanusha kwa dhati na kwa uwazi tuhuma zisizokuwa na msingi zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu tanzu za Tancoal Energy Limited (TANCOAL) na Williamson Diamonds Limited (WDL) Tuhuma hizo zinahusu ununuzi wa hisa katika Tancoal na WDL.  Madai hayo…

Read More

Mahakama yabatilisha hukumu aliyemuua mkewe, mtoto

Arusha. Mahakama ya Rufani imebatilisha mwenendo wa kesi na kufuta hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Omary Matonya baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Moshi Daudi na mtoto wao, Mohamed Omary. Upande wa mashitaka uliieleza mahakama kuwa Omary alimchinja mkewe na mtoto huyo akidai kuwa mkewe alikuwa na mahusiano na kaka yake…

Read More