MFUMO WA “ONGEA NA WAZIRI” WAIMARISHA MAWASILIANO KATI YA SERIKALI NA WANANCHI
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema mfumo wa “Ongea na Waziri” ni daraja muhimu kati ya serikali na wananchi unaolenga kusikiliza moja kwa moja maoni, kero na mapendekezo ya wananchi kuhusu huduma za afya. Amesema mfumo huo, uliozinduliwa rasmi Januari 26, 2026, unalenga kuongeza uwazi na uwajibikaji katika utoaji wa huduma za afya na…