Hekaheka ya kusaka maji kilomita 24 Handeni

Tanga. Wakati maji yakigeuka lulu kwa wakazi wa Mkata Magharibi, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kwa Sadick Idd, safari ya kuyafuata imegeuka chanzo cha maumivu na msongo wa mawazo. Idd anasimulia Januari 21, 2026 alipata ajali alipofuata maji kwenye Bwawa la Sua, akiwa na baiskeli iliyobeba madumu matano. “Sikuwa na namna tangu Julai 2025 hatuna maji. …

Read More

CECAFA Kagame Cup 2025 utamu uko hapa

MICHUANO ya Kombe la Cecafa Kagame imeendelea kunoga huku baadhi ya wachezaji waliotwaa tuzo ya mchezaji bora wa mechi wakifunguka kuhusu ugumu wa michuano hiyo ambayo imefika hatua ya nusu fainali, itakayoanza kuchezwa kesho, Ijumaa. APR ya Rwanda, Singida BS na KMC za Tanzania ndizo timu za kwanza kutinga hatua hiyo kabla ya mechi za…

Read More

Gamondi autaka ubingwa Cecafa Kagame Cup

KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi ametangaza kuwa lengo kubwa kwenye michuano ya Cecafa Kagame Cup 2025 ni kuipa timu yake ubingwa akiitumia pia kama sehemu ya maandalizi ya mashindano ya kimataifa na msimu mpya wa Ligi Kuu Bara. Gamondi, aliyewahi kuinoa Yanga, ameanza jana, Jumanne safari yake na Singida kwenye mchezo wa Kundi…

Read More

BRECOL Yatangaza Ajira ya Quantity Surveyor – Omba Sasa

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More

Watishiwa mapanga wakipambana na ukatili wa kijinsia Pangani

Tanga. Kamati za Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (Mtakuwa) katika Kata ya Madanga, Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, zimeeleza kukabiliwa na vitisho vya kujeruhiwa kwa mapanga wakati zikitekeleza majukumu ya kushughulikia watuhumiwa wa ukatili wa kijinsia. Akizungumza leo Jumatano Februari 25, 2026 kwa niaba ya wenyeviti wa kamati hizo,…

Read More

Mbaroni akidaiwa kumuua mtoto mchanga baada ya kujifungua

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji, akiwemo mwanamke anayedaiwa kumuua mtoto wake mchanga baada ya kujifungua. Akizungumza na waandishi wa habari leo Machi 6, 2026, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema jeshi hilo linamshikilia mkazi wa Mlima, wilaya ya Kilombero, Elizabeth Leonard Colnery (17),…

Read More