TRA yajizatiti huduma kwa wafanyabiashara wadogo

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wadogo na wa kati mkoani Dar es Salaam wametakiwa kuchangamkia dawati la uwezeshaji biashara lililozinduliwa likilenga kuimarisha biashara zao. Dawati hilo limezinduliwa leo Septemba 27, 2025 na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. Dawati hilo…

Read More

Mamilioni ya Waafrika wako hatarini kupata kisukari

Wataalamu wanaonya kuwa ugonjwa huo unaweza kuwa utafiti zaidi zaidi ya watu katika miongo ijayo kama vyanzo vinavyosababisha havitafanyiwa kazi. Mlinzi Sibusiso Sithole, mwenye umri wa miaka 51, alipogunduliwa kuwa ana aina ya aina ya Type 2 miaka 13 ilikua mshtuko kwake. Alikuwa akitembea mail sita kila siku kwenda na kutoka kazini kila siku ,…

Read More

Sababu radi kupiga Dar, jinsi ya kujikinga

Dar es Salaam. Katika kipindi hiki cha mvua, ili kujikinga na radi unapaswa kuepuka kukaa chini ya miti. Epuka kukaa katika eneo la wazi kama ufukweni au uwanjani, kwa sababu radi ikipiga huwa inatafuta kitu kirefu; kwa hiyo kama uko uwanjani wewe ndiyo unakuwa mlengwa. Vilevile, kama upo ndani ya nyumba jiepushe kukaa karibu na…

Read More

Vijana 3,967 waomba fedha kuendeleza biashara zao

Dar es Salaam. Benki ya CRDB imepokea maombi 3,967 kutoka kwa vijana wajasiriamali nchini kupitia mradi wake wa Go Green na Imbeju ili wapate mitaji ya kuendeleza mawazo yao ya kibunifu, huku mikoa 10 ikiwa kinara, ikiwemo Dar es Salaam na Mwanza. Programu hiyo ilizinduliwa Februari 12 mwaka huu ikiwa na lengo la kuwawezesha vijana…

Read More

Januari Makamba Atoa futari kwa taasisi za dini Tanga.

Na Mashaka Mhando, TANGA MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Januari Makamba, ametoa msaada wa futari kwa taasisi nane za kidini jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono waumini katika mwezi mtukufu wa Ramadhan. Zoezi hilo lililofanyika Leo Machi 16 Jijini Tanga, limenufaisha taasisi za TAMTA, Maawal Chumbageni, Zahara Rashad, Shamsi…

Read More

Mavunde aja na kampeni ya mtaa kwa mtaa

Dodoma. Kampeni za Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtumba, Anthony Mavunde zimevuta watu wengi huku wananchi wakitamani viongozi wengine kufanya kama anavyofanya ushawishi kwa mtindo huo. Mavunde ambaye ni Waziri wa Madini, leo Alhamisi Septemba 11, 2025 anaingia siku ya nane katika kampeni zake akitembelea makundi ya mama lishe, bodaboda, wajasiriamali na viongozi wa dini…

Read More

Kocha Yanga ameshindikana, agoma kutabasamu 

KOCHA wa Yanga, Romain Folz ni kama kashindikana katika ishu ya kucheka, kwani mapema leo asubuhi amekuwa gumzo katika mkutano mkuu wa klabu hiyo, baada ya kugoma kabisa kutabasamu kwenye majaribio mawili tofauti aliyofanyiwa na wanajangwani. Iko hivi. Folz ametua na benchi la ufundi katika mkutano mkuu huo unaofanyika kwenye Ukumbi wa Super Dome, Masaki…

Read More