MFUMO WA IDRAS KUONGEZA UWAJIBIKAJI NA UWAZI KATIKA TAASISI ZA UMMA
Meneja wa Ukaguzi wa Sekta za Umma, kutokea Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bi. Rosemary Ruganuza,amezitaka taasisi za sekta ya umma kutumia kwa usahihi Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) ili kuongeza uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika ukusanyaji na usimamizi wa mapato ya Serikali. Kauli hiyo ameitoa leo Februari 25 Jijini Dodoma…