TPA TANGA YAELEZA NAMNA INAVYOHUDUMIA SHEHENA ZA MAGARI ZINAZOPITA KWENYE BANDARI HIYO

Na Oscar Assenga,TANGA MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)  Bandari ya Tanga  imesema kwamba wanatumia umakini mkubwa na ufanisi katika kuhudumia shehena  mbalimbali zinazopita kwenye Bandari hiyo ikiwemo ya magari ambayo imekuwa ikiongezeka kila mara Hayo yalisemwa na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga  Bw. Peter Millanzi alipokuwa akitoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizosambaa…

Read More

KUPATWA KWA MWEZI KESHO SEPT 7

…………….. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tukio la kupatwa kwa Mwezi linalotarajiwa kutokea kesho tarehe 7 Septemba 2025. Kwa mujibu wa Taarifa hiyo imeeleza kuwa Hali ya kupatwa kwa Mwezi ni tukio linalotokea wakati Dunia inapita kati ya Jua na Mwezi na kusababisha kivuli cha Dunia kuwa katika uso wa…

Read More

Wastaafu CCM wampigia chapuo Samia, urais 2025

Dodoma. Viongozi wastaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Serikali wamemwelezea mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan, kama chaguo bora katika nafasi hiyo, huku wakiwataka wananchi kwenda kumpigia kura, ili aendelee kuliongoza taifa. CCM kinaendelea na kampeni katika maeneo mbalimbali, na tangu kilipozindua kampeni zake Agosti 28, tayari mgombea huyo urais amefanya kampeni…

Read More

Samia aahidi Pwani kuwa kitovu cha usafirishaji, viwanda

Pwani. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema akipata ridhaa ya miaka mitano mingine Serikali yake itajenga Bandari ya Bagamoyo na kuifanya Pwani kuwa kitovu cha usafirishaji na viwanda nchini. Samia amesema hayo leo Jumapili Septemba 28, 2025 wakati akihutubia mkutano wa kampeni mkoani Pwani katika Uwanja wa Mkuza wilayani Kibaha….

Read More

Haaland aipeleka Namungo fainali Tanzanite Pre-Season International

MABAO mawili yaliyofungwa na mshambuliaji wa Namungo, Abdulaziz Shahame ‘Haaland’ katika kila kipindi, yameifanya timu hiyo kufuzu fainali ya mashindano ya Tanzanite Pre-Season International. Namungo imeiondosha Tabora United kwa kichapo cha mabao 2-1, katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano hayo uliochezwa leo Septemba 6, 2025 kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara….

Read More

Wakati upi sahihi mzazi ‘kuingilia’ ndoa ya mwanawe?

Ndoa, kwa mtazamo wa kitamaduni na kidini, mara nyingi huonekana kama muungano wa watu wawili waliovuka mipaka ya familia walizotoka.Mara mtoto anapooa au kuolewa, inakubalika kuwa rasmi anaingia katika makubaliano yanayomtenganisha na wazazi wake na kumuunganisha na mtu mwingine anayewajibika kwake.Hili linatokana na imani kwamba ndoa ni taasisi huru ambapo wazazi hawapaswi kuingilia maamuzi ya…

Read More