Othman aahidi elimu itakayojenga ushindani Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema mfumo wa elimu utakaoundwa na serikali ya chama hicho utawezesha wanafunzi wa Zanzibar kushindana na si kuwa wasindikizaji. Amesema ACT-Wazalendo ikishika madaraka katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 imedhamiria kuhakikisha Zanzibar inakuwa Taifa lililoelimika ili kuendana na hali ya…

Read More

RIPOTI MAALUMU: Nyuma ya pazia anguko la viwanda Tanga

Kijana Bakari Rajabu (siyo jina halisi), mkazi wa Majengo jijini Tanga, anaishi maisha ya shida. Mahabusu na jela zimekuwa kama nyumbani kwake. Lakini, kwa maneno yake mwenyewe, hakupenda maisha haya. “Nimelazimika kuingia katika uhalifu ili niishi. Ninaishia jela au mahabusu. Lakini watu hawaelewi. Mimi sipendi kuwa hivi,” anasema Hata hivyo, Bakari, ambaye ndoto zake baada…

Read More

Vifo ajali ya lori, Coaster Mbeya vyafikia 16

Mbeya. Idadi ya vifo katika ajali iliyotokea jana Juni 5, 2024 imeongezeka na kufikia watu 16, huku miili minane ikitambuliwa na ndugu zao na majeruhi wengine wakiendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Ajali hiyo iliyotokea katika mteremko wa Simike, eneo la Mbembela lilihusisha lori lililofeli breki na kugonga magari mawili, ikiwamo…

Read More

Samia ataja mikakati Tanzania kupata nishati safi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametaja mikakati ya kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa na nishati safi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ikiwa pamoja na kuhakikisha wananchi wote wanafikiwa na umeme. Ameyasema hayo leo Novemba 29, 2024 alipokuwa akishiriki mjadala wa wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jijini…

Read More

NMB Yaendeleza Kuimarisha Uhusiano wa Kibiashara Zanzibar

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano na wateja wake visiwani Zanzibar kupitia mikutano ya ana kwa ana na wateja wakubwa, sambamba na kutoa elimu kuhusu masuluhisho mbalimbali inayoyatoa kwa wafanyabiashara. Ujumbe wa benki hiyo, ukiongozwa na Meneja Biashara wa NMB Zanzibar, Bi. Naima Said Shaame, akiwa ameambatana na Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara, Dickson…

Read More

Taoussi ashtukia jambo Azam FC

KASI ya Simba na Yanga katika Ligi Kuu Bara katika mechi za hivi karibuni Lihi Kuu Bara, imemshtua Kocha wa Azam, Rachid Taoussi na kuwataka mastaa wake kutofanya makosa kwenye mechi zijazo ili kuendelea kuleta ushindani msimu huu. Kitendo cha Simba kuifunga Kagera Sugar mabao 5-2, huku Yanga ikiifunga Tanzania Prisons mabao 4-0 kimeifanya Azam…

Read More