
MKURUGENZI WA JAMIIFORUMS MAXENCE MELLO AOMBA KUJIUZULU UJUMBE WA TUME YA ULINZI WA TAARIFA BINAFSI
:::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, @jamiiforums Maxence Melo, ameomba Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya kujiuzulu ujumbe wa Bodi katika Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijami wa Instagram wa Melo @macdemelo amechapisha taarifa inayosomeka “Leo, Septemba 06, 2025 nimemuandikia rasmi Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari juu…