Mahakama Kuu Yafungua Kikao cha Mwaka, Jaji Kiongozi Asisitiza Uwajibikaji

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani, amewasisitiza Majaji, Mahakimu na Wakurugenzi wa Mahakama ya Tanzania kuhakikisha wanatekeleza mikakati inayowekwa na vikao mbalimbali pamoja na kuwasilisha utekelezaji wake kwa wakati. Dkt. Siyani ametoa rai hiyo leo tarehe 25 Februari, 2026…

Read More

Wananchi walalamikia kero ya maji Barabara ya Dodoma–Iringa

Dodoma. Wananchi waishio pembezoni mwa barabara kuu ya Dodoma – Iringa katika kata za Manzase na Fufu wameiomba Serikali kuboresha ujenzi wa barabara hiyo ambayo imekuwa kero wakati wa mvua. Wananchi hao wamelalamikia athari za mvua zinazokwamisha mawasiliano, kusababisha maji kujaa kwenye makazi yao na kuhatarisha usalama wa watumiaji wa barabara. Wakizungumza leo Jumatano Februari…

Read More

Mkakati kulinda Ziwa Tanganyika na Victoria

Kigoma. Mamlaka ya Ziwa Tanganyika (LTA) imesaini mkataba wa ushirikiano na Tume ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa jinsi ya kudhibiti rasilimali za maji, kilimo, sekta ya uchukuzi, kuunganisha shughuli za kiuchumi na maisha ya watu wanaozungukwa na maziwa hayo. Akizungumza leo Februari 25, 2026 mjini Kigoma, baada ya…

Read More

David Kihenzile Aanza Ujenzi wa Ofisi za CCM Mufindi Kusini

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments MBUNGE wa Mufindi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameanza zoezi la kujenga ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo zima, hatua itakayosaidia kutoa huduma bora kwa wanachama na wananchi. Akizungumza leo katika ziara yake ya mwendelezo katika jimbo lake, Kihenzile amesema kuwa zoezi hilo…

Read More

Watishiwa mapanga wakipambana na ukatili wa kijinsia Pangani

Tanga. Kamati za Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (Mtakuwa) katika Kata ya Madanga, Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, zimeeleza kukabiliwa na vitisho vya kujeruhiwa kwa mapanga wakati zikitekeleza majukumu ya kushughulikia watuhumiwa wa ukatili wa kijinsia. Akizungumza leo Jumatano Februari 25, 2026 kwa niaba ya wenyeviti wa kamati hizo,…

Read More

Yanga yatuma salamu Msimbazi ikiichapa JKT Tanzania 5-0

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wameendelea kuthibitisha ubora wao katika ligi hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa nane mfululizo kufuatia kuwachapa Maafande wa JKT Tanzania mabao 5-0, mechi iliyopigwa leo Jumatano Februari 25, 2026 kwenye Uwanja wa KMC, Dar. Ushindi huo mnono unaifanya Yanga kama kutuma salamu kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo…

Read More

BRECOL Yatangaza Ajira ya Quantity Surveyor – Omba Sasa

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More