ECW Inatoa Elimu Kamili Dhidi ya Matatizo Yote, Lakini Ufadhili Zaidi Unaohitajika – Masuala ya Ulimwenguni

Wanafunzi hutangamana na Mkurugenzi Mtendaji wa ECW, Yasmine Sherif, wanaposhiriki katika kipindi cha tiba ya sanaa katika shule inayofadhiliwa na ECW huko Kyiv, Ukrainia. Kwa ushirikiano na UNICEF Ukraine na Caritas Ukraine, shule inatoa msaada muhimu wa afya ya akili na kisaikolojia. Mkopo: ECW na Mwandishi wa IPS (umoja wa mataifa) Jumanne, Septemba 17, 2024…

Read More

Angalizo watumiaji mafuta ya kujikinga na miale ya jua

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya ya ngozi wametoa tahadhari kufuatia ongezeko la kasi la biashara ya bidhaa za kukinga miale ya jua, maarufu kama ‘sunscreen’, wakisisitiza kuwa kuna umuhimu wa ngozi kupata miale ya jua kwa kiwango cha kutosha kila siku. Biashara ya bidhaa hizo imeonekana kushamiri kwenye maduka ya vipodozi na mitandaoni ambapo…

Read More

Kisa Wydad, Ayoub aandaliwa miaka miwili Simba

UBORA aliouonyesha kipa wa Simba, Ayoub Lakred kwenye mechi alizocheza tangu atue umewakuna vigogo wa timu hiyo ambao wamepanga kumpa mkataba mpya utakaomfanya abaki kwa miaka miwili na kuzuia dili la kujiunga na Wydad Casablanca ya nchini kwao. Ayoub alitua Simba mwanzoni mwa msimu huu kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea katika Klabu ya FAR…

Read More

JKT Queens yaendeleza rekodi za vipigo WPL

ACHANA na msimamo ulivyo wa Ligi ya Wanawake, JKT Queens ikiwa kileleni na pointi 38, timu hiyo inaongoza kwa kutoa vichapo kama ilivyo kauli mbiu yao ‘Kichapo cha Kizalendo’. Msimu huu imetoa vipigo vitanpo hadi sasa sawa na ilivyotoa msimu uliopita wote na tayari imefunga mabao 56 ikiwa timu pekee iliyofunga mabao kuanzia 50 kwenye…

Read More

Kampuni 11 za Tanzania zaanza kunufaika biashara AfCFTA

Dar es Salaam. Kampuni 11 za Tanzania zimeanza kunufaika na ufanyaji wa biashara katika Eneo Huru la Biashara la Bara la Afrika (AfCFTA). Kampuni hizo zimeanza kutumia fursa kwa kusafirisha bidhaa za kahawa, katani, viungo, karanga na tumbaku kwenda nchi mbalimbali Afrika ikiwemo Nigeria, Ghana, Algeria na Morocco. Hayo, yamebainishwa na Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More

Kinda Mtanzania anakiwasha Mali | Mwanaspoti

WAKATI Golikipa wa Yanga na timu ya taifa ya Mali, Djigui Diarra akiwa tegemezi kwenye kikosi cha wananchi, Kinda la Tanzania, James Octavian anakiwasha kwenye akademi ya ABM Foot. Nyota huyo anacheza nafasi mbalimbali uwanjani kiungo mshambuliaji, winga na kiungo mkabaji akiwa na uwezo wa kucheza namba zote kwa ufasaha. Akizungumza na Mwanaspoti, Octavian alisema…

Read More

Mageuzi mapya kwa ushirika | Mwananchi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuimarishwa kwa ushirika na matumizi ya Tehama katika uendeshaji wake, ndizo nyenzo zitakazowezesha ukuaji wa sekta hiyo iliyopitia milima na mabonde. Amesema kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 nyuma, sekta hiyo haikuwa ikifanya vizuri, naye akiwa miongoni mwa waliokuwa wanaichukia. Katika kufanikisha uimarishwaji wa ushirika, mkuu…

Read More

Josiah aachiwa msala Tanzania Prisons

KLABU ya Tanzania Prisons imefikia makubaliano ya kumpa mkataba hadi mwisho wa msimu huu aliyekuwa kocha wa Geita Gold, Amani Josiah, ikiwa ni muda mfupi tangu timu hiyo ya Maafande iachane na Mbwana Makata na msaidizi wake, Renatus Shija. Taarifa kutoka ndani ya Geita Gold zimeliambia Mwanaspoti, Josiah amewaaga viongozi na wachezaji wa kikosi hicho,…

Read More