Mwezi wa toba; fursa ya kutakasika au kusubiri hukumu ya tume?
Naanza uchambuzi huu kwa kuweka wazi msimamo wangu: ninaafiki rai ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Emmanuel Nchimbi, kwamba tusizidi kuyachimbua kwa kina matukio ya Oktoba 29, 2026 ili kuepusha kuendeleza majeraha ya kitaifa. Hata hivyo, kwa kuwa tupo katika kipindi ambacho dini kuu mbili nchini, Ukristo na Uislamu zinaadhimisha mfungo…