TBS YAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amezindua maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na kuliagiza shirika hilo kutumia maadhimisho hayo kama fursa ya kutangaza huduma zao. Uzinduzi huo umefanyika Septemba 18,2025 katika ofisi za TBS zilizopo Ubungo Jijini Dar es Salaam ambapo Dkt. Abdallah amesema shirika hilo…