KAYA 980 KUUNGANISHWA NA MTANDAO WA GESI ASILIA – TPDC

–Serikali kupitia TPDC imetenga Shilingi Bilioni 5.3 kwa ajili ya mradi huu -Gesi asilia ni rafiki wa mazingira, nafuu na salama  –Wananchi wa Kata ya Mnazi Mmoja, Lindi wapewa elimu kuupokea mradi. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)  limeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa kuanza utekelezaji wa mradi…

Read More

Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mtoto darasa la pili

Tabora.  Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora linamshikilia mwalimu mmoja (jina limehifadhiwa) wa Shule ya Awali ya St. Doroth iliyopo Manispaa ya Tabora kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa shule hiyo anayesoma darasa na pili. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Julai 30, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amesema tayari wanamshikilia…

Read More

KWAPUA MPUNGA NA MECHI ZA LIGI YA MABINGWA LEO

BAADA ya kushuhudia mechi kibao za ligi zikipigwa wikendi hii, sasa ni zamu ya mechi za Ligi ya mabingwa ambazo zimekuja na maokoto ya kutosha. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Mechi za mapema kabisa ni mbili leo mojawapo ni hii ya AC Milan vs Club Brugge mechi ambayo itapigwa San Siro. Ikumbukwe Milan…

Read More

Madai ya Israel kukwamisha mazungumzo ya kusitisha mapigano – DW – 20.08.2024

Maafisa walio na karibu na mazungumzo hayo wanasema Israel inataka kuendeza uwepo wa kijeshi katika njia nyembamba kwenye mpaka kati ya Gaza na Misri ambayo inauita ukanda wa Philadelphia, pamoja na eneo ililoliunda linaloitenganisha Gaza Kaskazini na Kusini.Je, maeneo hayo yana umuhimu gani kwa Israel?  Haijabainika wazi iwapo udhibiti wa Israel wa njia hizi umejumlishwa…

Read More

Siri ya Matola kudumu muda mrefu Simba

USIKU wa jana Simba ilikuwa uwanjani ikiumana na Mbeya City katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini gumzo mtaani na hata mtandaoni ni ishu ya Seleman Matola, kocha msaidizi anayekaimu ukocha mkuu kwa sasa katika timu hiyo. Ndiyo, Matola ndiye aliyeiongoza timu katika mechi hiyo iliyopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo baada ya Dimitar Pantev…

Read More