TBS YAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 TANGU KUANZISHWA

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amezindua maadhimisho ya miaka 50 ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na kuliagiza shirika hilo kutumia maadhimisho hayo kama fursa ya kutangaza huduma zao. Uzinduzi huo umefanyika Septemba 18,2025 katika ofisi za TBS zilizopo Ubungo Jijini Dar es Salaam ambapo Dkt. Abdallah amesema shirika hilo…

Read More

Walimu 258 wenye ulemavu wapigwa msasa elimu jumuishi

Unguja. Serikali imesema walimu 258 wamepatiwa mafunzo ya elimu jumuishi na walimu wataalamu 92 wameajiriwa kuhakikisha watu wenye ulemavu wakiwemo wanawake wanapata elimu bila vikwazo. Hayo yameelezwa leo Jumatano Februari 25, 2026 na Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, ambaye pia ni Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa…

Read More

Kipa Yanga atimkia Mwanza | Mwanaspoti

KLABU ya Alliance Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), imedaiwa ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess kwa misimu miwili, lakini hakupata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mbele ya makipa Mghana Safiatu Salifu na Mnigeria Rita Akarekor kwa sasa…

Read More

Askofu Massawe aonya upofu wa roho

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Massawe amesema upofu wa roho umewafanya binadamu kujiona wapo juu ya Mungu hivyo kutojali haki za watu wengine. Amesema mwanadamu hupofushwa na tamaa za mwili, mali na madaraka, hivyo kunahitajika mwanga wa kumsaidia kuona kwa usahihi na kutenda yaliyo sahihi. Askofu huyo alitoa kauli…

Read More

WAAJIRIWA WAPYA ARDHI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Na Munir Shemweta, WANMM Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amewataka waajiriwa wapya wa Wizara hiyo kuwa wabunifu sambamba na kuwajibika ipasavyo ili kuboresha utendaji kazi katika maeneo waliyopangiwa. Mhandisi Sanga ametoa kauli hiyo tarehe 18 Septemba 2025 wakati wa Mafunzo ya Awali kwa waajiriwa wapya 312 watakaohudumu…

Read More

WMU YAJIIMARISHA KATIKA TATHMINI NA UFUATILIAJI.

…………… Na Sixmund Begashe -Dodoma  Wizara ya Maliasili na Utalii (WMU) kupitia Kitengo  cha Ufuatiliaji na Tathmini, imewakutanisha wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka idara, vitengo na  taasisi zake kwa lengo la kujadili na kujipanga katika kutekeleza shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini wa Sera, Mipango, Mpango Mkakati, Ilani ya Uchaguzi (2025), miradi na programu mbalimbali…

Read More

Makada 18 wa Chadema washikiliwa na polisi

Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikiliwa watuhumiwa 18, akiwamo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Felius Kinimi, wakituhumiwa kufanya mikusanyiko iliyo kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao leo Septemba 6, 2025, akisema wamekamatwa eneo la…

Read More